Toa picha ya muuaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sioni Jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa picha ya muuaji[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sioni Jipya
Kenya inatofauti gani kwa rushwa na TanzaniaUnatolea mfano nchi iliyooza kwa rushwa? Wakenya wamezipga hizo fedha
Kwahiyo tunaposema bil 100 za Samia zilipaswa kupunguza bei ya mafuta kwa zaidi ya sh 300 usituletee utetezi kwa kuleta mfano wa nchi ya Kenya.Kenya inatofauti gani kwa rushwa na Tanzania
Mama Anaupiga Mwingi
Imepungua kwa 300?? Au kwa 150?Wajanja wamezipiga. Yaani bil 100 kwa mwezi 1 zinapunguza bei kwa sh 300 tu,??
Punguzo ni shilingi 150 sio 300.Yani punguzo ni Tsh 300 hahahaha! Mafuta ya petrol hayatakiwi kuvuka Tsh 2800 hii ndio bei inayotakiwa kuwepo sokoni ni lazima watibu tatizo kwa kuondoa mlolongo wa tozo zilizopo na kuondoa kodi zilizo ongezwa ! Kinyume na hapo ni kutengeneza tatizo na kulitatua kidogo halafu mnajisifia kuupiga mwingi.......kwani mwanzo mafuta yalikuwa Tsh ngapi? Na nauli zitashuka kwa Tsh ngapi?
Hizi ni ngonjera flani hivi.
Walijua watatoa ruzuku kwa nini wapaishe nauli?
Leo wamepunguza bei issue ya nauli inasimamia wapi?.
Ewura wametoa taarifa ya uongo ili kuonyesha kua punguzo ni kubwa.Imepungua kwa 300?? Au kwa 150?