Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848]Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni mosi, huku kukiwa na unafuu kutoka na ruzuku ya shilingi Bilioni 100 iliyotolewa na Rais Samia mapema mwanzoni mwa mwezi huu.
Bei mpya zilizotangazwa na EWURA zinaonesha kuwa petrol itauzwa 2994 badala ya 3301 punguzo la Shilingi 306 huku Dizeli ikiuzwa kwa 3131 badala ya 3452, punguzo la 320 kwa mkoa wa Dar es Salaam.
View attachment 2246240View attachment 2246241View attachment 2246242
Kwani mafuta ni sh ngapi na kesho yatakua sh ngapi?Bora tu yashuke. Naona kuna punguzo waatani wa shs 300.
Bado bei ya 2994(3000) ni kubwa ni bei ambayo haikuwahi kuwepo miezi mingi nyuma. Dar wastani wa mafuta kwa muda mrefu ni 2100-2300Sasa nawasubiri latra wafanye yao kwenye NAULI!
Mwendo wa kutengeneza tatizo na kutoa solution...Tumechezwa shere... Halafu kuna wajinga wanashangilia...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kenyata alitoa zaid ya 100 bilion na mafuta bado ni Ksh 150 = TSh 2988 kwa pesa ya Tanzania
Wajanja wamezipiga. Yaani bil 100 kwa mwezi 1 zinapunguza bei kwa sh 300 tu,??
Ewura wametoa taarifa ya uongo ili kuonyesha kua punguzo ni kubwa.
Punguzo ni shilingi 150.
Hapa nilipo nilikuwa nanunua petrol kwa sh 3211 sasa nitanunua kwa 2994Kwani mafuta ni sh ngapi na kesho yatakua sh ngapi?
Ukijua hapo ndio punguzo hilo
Ujinga sio huo tu, hii Dar, ni sehemu gani mafuta ya Petrol yalikuwa yakiuzwa kwa sh 3,301?
Nieleweshwe ninapokwama kwenye hizi namba, mimi kila nilikopita nikiona mabango yakisema sh 3,148 na sehemu chache sh 3,140.
Sasa hilo punguzo la sh 306 linatoka wapi ikiwa wameshusha kufikia sh 2,994? Ambapo pia ukijumlisha hizo namba mbili siipati hiyo 1 mwisho mwa 3301.
2994 + 154 = 3,148
Punguzo ni sh 154 kwa Dar. Sh 152 zimekwenda na maji.
Kuwa na akiliHapa nilipo nilikuwa nanunua petrol kwa sh 3211 sasa nitanunua kwa 2994
Hata kama kweli hiyo 100bn imetoka, basi hesabu inasema karibu 40bn imekwenda kwa maji!Wahuni washakwenda nazo tayari[emoji28][emoji119]
Hata kama kweli hiyo 100bn imetoka, basi hesabu inasema karibu 40bn imekwenda kwa maji!
Wanatengeneza tatizo wenyewe, wanatatua tatizo wenyewe. Pathetic!!!Tumechezwa shere... Halafu kuna wajinga wanashangilia...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Usi chanyanye watanzania wote na hao majuha tafafhali.Sijawahi kuona raia wapumbavu kama Watanzania asee. Yani mnashangilia eti "mama anaupigwa mwingi?" Hizo Billion 100 amezitoa mfukoni mwake au?
Aaahh huu ni ujinga mkubwa kabisa.
Inawezekana zimetoka kweli ila zikaingia kwao kisha wakawaambia baadhi ya watoza ushuru kuwa ile 100bn inatokana na ile tozo yenu hivyo sahauni hiyo kitu.Kulikua hakuna haja ya kutoa hizo pesa wakati mchawi alikua kodi, serikali ingepunguza makodi yake yasiyokua na maana kuna kodi zingine ni kutukandamiza tu. Hakuna pesa iliyotoka wanacheza na mind zetu tu, ili mseme mama anaupiga mwingi