Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ela ya ruzuku bora wangenipa tu nifanyie mambo yangu maana sioni cha maana hapo.Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni mosi, huku kukiwa na unafuu kutoka na ruzuku ya shilingi Bilioni 100 iliyotolewa na Rais Samia mapema mwanzoni mwa mwezi huu.
Bei mpya zilizotangazwa na EWURA zinaonesha kuwa petrol itauzwa 2994 badala ya 3301 punguzo la Shilingi 306 huku Dizeli ikiuzwa kwa 3131 badala ya 3452, punguzo la 320 kwa mkoa wa Dar es Salaam.
View attachment 2246240View attachment 2246241View attachment 2246242
YesSioni Jipya
Hahahaha..Hata kama kweli hiyo 100bn imetoka, basi hesabu inasema karibu 40bn imekwenda kwa maji!
😂Siyo kwa Tanzania aseee, leo kuna binti kalipa nauli 2000 alipanda kituo A akashuka kituo D konda kamrudishia 1000 binti kadai 500 konda hakumjibu kagonga gari ikaondoka, abilia wengine wakapotezea.
HaaSioni Jipya
Gharama za maisha zilipandaHizi ni ngonjera flani hivi.
Walijua watatoa ruzuku kwa nini wapaishe nauli?
Leo wamepunguza bei issue ya nauli inasimamia wapi?.
Kwa Znz huwa hakuna sarakasi nyingi kwenye bei za mafuta.. Tofauti na Tanganyika ambapo kila Lita 1 ya mafuta ina utitiri wa Kodi na tozo mbali mbali zaidi ya 20🤔🙄 Wakati Bara bei ikiwa zaidi ya 3,000, Znz ilikuwa 2,600.Zanzibar bei zipoje?
Acha hasira mkuu...Sijawahi kuona raia wapumbavu kama Watanzania asee. Yani mnashangilia eti "mama anaupigwa mwingi?" Hizo Billion 100 amezitoa mfukoni mwake au?
Aaahh huu ni ujinga mkubwa kabisa.
Basi tufanye kua wameshusha shiling 500, maana kusingekua na Ruzuku bei mpya ingekua 3500!! Number ukizijua rahaa sana,unacheza nazo unavyotaka!!!Ni
Ni hivi, kusingekuwa na ruzuku bei mpya ingekuwa 3300. Hakuna aliyedanganya hapo
Yarudi 2,200Bado hiyo bei haitoshi yapungue mpaka 2500 kwa lita
Kule ni kwao hataki kuwaumiza ndugu zake yeye adui zake ni wabaraZanzibar ambayo haijaweka hata ruzuku ila bei zao zipo chini kuliko sisi.
Rais afanye ziara Zanzibar akajifunze kutoka kwa Mwinyi juu ya hili.