Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni mzaha wa kupandisha na kushusha. Hawa wakifa kuzimu moja kwa mojaDiesel Dar ilikuwa 3200, sasa kuwa 3131 si wamepunguza 70 tu?
Au ni ya msemo kuwa "tengeneza tatizo" wachokozeke" halafu "leta suluhisho" wafurahi na kusifia, kama weweMama Anaupiga Mwingi
Siyo kwa Tanzania aseee, leo kuna binti kalipa nauli 2000 alipanda kituo A akashuka kituo D konda kamrudishia 1000 binti kadai 500 konda hakumjibu kagonga gari ikaondoka, abilia wengine wakapotezea.Abiria kuweni na ushirikiano lipeni mia nne bei zamani, msiwe watoto mayai kila kitu kufanyiwa.
Wee jinga nn umeona punguzo gani wew hapoBora tu yashuke. Naona kuna punguzo waatani wa shs 300.
Ipo nawew babuSasa nawasubiri latra wafanye yao kwenye NAULI!
Mijitu mengi Sana Tena wa humu humu wanapiga vigelegeleTumechezwa shere... Halafu kuna wajinga wanashangilia...[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kumbe na wee babu huna akili Bei gan imeshuka hapoWatoe 50 kwenye daladala
Inategemeana na aina ya macho uliyonayoSioni Jipya
Wee jinga nn kwahyo nikikuletaa mchanga nikuuzie laki 350000 kutoka 250000 utafurahiaaaEWURA mambo safi.
Tupunguze safari zisizo za lazima
Ni hivi, kusingekuwa na ruzuku bei mpya ingekuwa 3300. Hakuna aliyedanganya hapoEWURA hii bei ya 3300 petrol wameitoa wapi?[emoji848][emoji849][emoji849]
Huo ni uongo na ni kwa ajili ya kuwapumbaza watu Kama nyie.Ni
Ni hivi, kusingekuwa na ruzuku bei mpya ingekuwa 3300. Hakuna aliyedanganya hapo
Wapi nilipokuagiza mchanga?Wee jinga nn kwahyo nikikuletaa mchanga nikuuzie laki 350000 kutoka 250000 utafurahiaaa
Sawa mwerevu. Karibu JF.HV wee mjing nn unafikiriaa tu kuwa mafuta yanafanyiwa matembezi Kwanza imekuaje ukawa jamii forum wew pimbi
upuuzi mtupuMamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya ya mafuta zinazoanza kutumika Juni mosi, huku kukiwa na unafuu kutoka na ruzuku ya shilingi Bilioni 100 iliyotolewa na Rais Samia mapema mwanzoni mwa mwezi huu.
Bei mpya zilizotangazwa na EWURA zinaonesha kuwa petrol itauzwa 2994 badala ya 3301 punguzo la Shilingi 306 huku Dizeli ikiuzwa kwa 3131 badala ya 3452, punguzo la 320 kwa mkoa wa Dar es Salaam.
View attachment 2246240View attachment 2246241View attachment 2246242
Halafu in fact hawajalitatua maumivu ya mafuta kuwa bei juu bado yako palepaleWanatengeneza tatizo wenyewe, wanatatua tatizo wenyewe. Pathetic!!!
Halafu eti raia wanashangilia [emoji848][emoji848][emoji848]Halafu in fact hawajalitatua maumivu ya mafuta kuwa bei juu bado yako palepale