Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Baada ya Selikari kutangaza ruzuku kwenye mafuta baadaye tulipata kusikia pia bei ya mafuta duniani imeshuka kiasi.
.
Hivyo kuongeza na hii ruzuku tulitegemea bei ingerudi kama awali lakini kinachoonekana ni mabadiliko ni kidogo sana kuliko yalivyopanda nini hasa shida Wakuu?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
.
Hivyo kuongeza na hii ruzuku tulitegemea bei ingerudi kama awali lakini kinachoonekana ni mabadiliko ni kidogo sana kuliko yalivyopanda nini hasa shida Wakuu?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app