Hamna Kiongozi pale .. ni hewa kabisa, mtupuuuu .
Ukimuuliza Bilion 100 zimefanya nn?? Sasa mwezi wa nane ,wanatangaza Tena mpya..mwezi wa kumi, kumi na mbili , mwakani yaan Kila baada ya miezi miwili EWURA haoooo!!
Hamna kitu, tumepigwa Sanaa, kwenye nyakati kama hizi za Crisis Huwa UNAHITAJIKA KUA NA RAIS MWENYE AKILI, MBUNIFU, MISIMAMO, MWENYE UTHUBUTU NA KUJIAMIN ,MZALENDO .!!
SASA KAMA WAFANYABIASHARA WANDANI SAHIZI BEI WANAJIPANGIA WANAVYOTAKA, NCHI IMEKOSWA BEI ELEKEZI ,,,, ATAWAWEZA HAWA MABWANYENYE!????
Tukisema Magufuli Alikua Mwamba, muwe mnatuelewa !!.