Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Awamu hii KILA kitu bei juu sio soda, mkate, dawa, bidhaa zote , halafu pesa Hakuna ukiipata haina thamani,
Elf 10 ni SAwa na mia 500.
Magu pesa ilikuwa ngumu kupata lakini vitu bei chini.
Yule jamaa pale wizaarani anachojua ni kuongeza sifuri tu kwenye bajeti, hana ubunifu kabisa wa kubuni chanzo vya mapato zaidi ya kukamua wananchi.
Elf 10 ni SAwa na mia 500.
Magu pesa ilikuwa ngumu kupata lakini vitu bei chini.
Yule jamaa pale wizaarani anachojua ni kuongeza sifuri tu kwenye bajeti, hana ubunifu kabisa wa kubuni chanzo vya mapato zaidi ya kukamua wananchi.