richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,023
Nchi inaendeshwa kimchongo mchongoKuna watu bado mnaiamini CCM eti bei ingeshuka?
Kama waliweza kuingiza kura zilizopigwa tayari kwenye mabegi na vkapu mchana kweupe na polisi wakiwepo watashindwa kuwazuga eti kuna ruzuku?
Kutoka mbezi mpaka kinyerezi kuna vituo vya wese si chini ya 6,now ni mwendo wa vitz tuHuoni sahv kuna kasi kubwa sana
Ya vituo vya mafuta kujengwa....
Njiaa ya tandale kuna vituo vingi vya mafuta, pita goba uone napo
Tokea magomeni kwenda moroco ona
Napo,njia ya kwenda kawe pale mlalakuwa jeshini napo kuna kituo kinawekwa,haya njia panda ya kawe maringo kuna kituo kinawekwa..
Mafuta deal
Ova
Bado aumize kichwa namna ya kupambana na mfumuko wa bei yeye ndio anatamani tozo ziongezeke hadi kwenye ving'amuzi kuzidi kuwaongezea mzigo wananchi,halafu kituko sasa anataka kupunguza kodi kwenye kamari!Awamu hii KILA kitu bei juu sio soda, mkate, dawa, bidhaa zote , halafu pesa Hakuna ukiipata haina thamani,
Elf 10 ni SAwa na mia 500.
Magu pesa ilikuwa ngumu kupata lakini vitu bei chini.
Yule jamaa pale wizaarani anachojua ni kuongeza sifuri tu kwenye bajeti, hana ubunifu kabisa wa kubuni chanzo vya mapato zaidi ya kukamua wananchi.
Mimi natamani Sana ifike hiyo Bei ili kila kitu kisimame ndo wananchi tutapata akili ya kujua nyeusi na nyeupi maana kwa sasa KIJANI wamejimilikisha nchi wanafanya wanachotaka kwa kujua wananchi wengi karibu wote MAZUZU.Mkuu, Sio inawezekana
Nawaambieni, Petrol kufikia mwezi wa 1 -2 , Petrol itauzwa 10K.
Sawa kwa mtazamo wako Ila naye ni moja ya Viongozi walioharibu uchumi wetu kuliko uhalisia ya yanayosemwa, Jambo pekee naweza msifu Magufuli ni miundombinu na maamuzi magumu(japo Kuna wakati alitanguliza Chuki na ubaguzi) Kama angerekebisha hapo na kutawala kwa usawa nadhani angeweka rekodi ambayo kuvunjwa kwake ingechukua miaka zaidi ya 50.Hamna Kiongozi pale .. ni hewa kabisa, mtupuuuu .
Ukimuuliza Bilion 100 zimefanya nn?? Sasa mwezi wa nane ,wanatangaza Tena mpya..mwezi wa kumi, kumi na mbili , mwakani yaan Kila baada ya miezi miwili EWURA haoooo!!
Hamna kitu, tumepigwa Sanaa, kwenye nyakati kama hizi za Crisis Huwa UNAHITAJIKA KUA NA RAIS MWENYE AKILI, MBUNIFU, MISIMAMO, MWENYE UTHUBUTU NA KUJIAMIN ,MZALENDO .!!
SASA KAMA WAFANYABIASHARA WANDANI SAHIZI BEI WANAJIPANGIA WANAVYOTAKA, NCHI IMEKOSWA BEI ELEKEZI ,,,, ATAWAWEZA HAWA MABWANYENYE!????
Tukisema Magufuli Alikua Mwamba, muwe mnatuelewa !!.
Unafki ndo Jambo tunaloliweza sisi wantanzania watu wanasahau mapema Sana...Magufuli alipatia kwenye miundombinu tu japo nako huko alitupiga hasaMagufuli angeenda kupigana Huko ukraine?
Huyo unayemuita mwamba alikuta sukari Chini ya 2000 akaipandisha bei mpaka karibia 3000 haku kuwa na Vita wala Tatizo lolote,
Mazao ya wakulima kama mbaazi yakashuka mpaka kilo 200 watu wamemsusia.
Akaenda Korosho zao aliloliacha Kikwete kama dhahabu linaingizia Nchi mabilioni ya Hela akaliharibu haribu watu wakamsusia.
Tumbaku na Vitu kibao aliharibu.
Tatizo la Watanzania uwezo wenu wa kukumbuka ni siku 5 tu nyuma.
Imeongezeka kutoka ngap hadi ngapi?. maana jedwali linaonesha imeshuka.
Alafu Tanzania ikafikaje uchumi wa kati? Au aliwahinga world bankSawa kwa mtazamo wako Ila naye ni moja ya Viongozi walioharibu uchumi wetu kuliko uhalisia ya yanayosemwa, Jambo pekee naweza msifu Magufuli ni miundombinu na maamuzi magumu(japo Kuna wakati alitanguliza Chuki na ubaguzi) Kama angerekebisha hapo na kutawala kwa usawa nadhani angeweka rekodi ambayo kuvunjwa kwake ingechukua miaka zaidi ya 50.
Siasa tupu mzeeAlafu Tanzania ikafikaje uchumi wa kati? Au aliwahinga world bank
Ili wengi mbeti huko,pesa ziende njeBado aumize kichwa namna ya kupambana na mfumuko wa bei yeye ndio anatamani tozo ziongezeke hadi kwenye ving'amuzi kuzidi kuwaongezea mzigo wananchi,halafu kituko sasa anataka kupunguza kodi kwenye kamari!
Hao world bank na IMF walikuwa wanamwogopa sana Magufuli hadi wakaamua wafanye siasa za kuitaja Tanzania kuingia uchumi wa kati?Siasa tupu mzee
Yaani unazungumza vitu vidogo sana. Jaribu kurudisha akili zako vizuri.Kweli kabisa maana majanga yote tuliyopata kama Tetemeko la kagera na Ile Ajali ya Mwanza mahela kibao yalikuja kama Rambirambi Magu hajakula hata sh 10 hela zote zilifaidisha wahanga.
Ama nasema uongo ndugu zangu π€£π€£
Wanatuonesha imeshuka pale ilipoanzia kupanda π€£π€£hapo imeshuka kwa kupanda π€£π€£π€£
Wafanya biashara wa mafuta wana lao jambo,wamedhamiria kufanya biashara sahvKutoka mbezi mpaka kinyerezi kuna vituo vya wese si chini ya 6,now ni mwendo wa vitz tu
πππ Ingia kupatana uangalie 100 series zinauzwaje.Mtu hawezi nunua vietee awe na mawazo ya mafuta...
Wa crown sawaaaa
Si huwa tunawaambia hakuna Rais hapa na mnabisha. Rais huwa hapimwi kwa kuvaa suti na kupanda ndege, Rais hupimwa kwa changamoto anazopitia na response yake na mikakati endelevu. Huwezi beba mtu mwenye elimu haieleweki imepatikaje, timeline na mtiririko wake havieleweki ukampachika cheo kutimiza usawa wa kijinsia kisha ukampa nafasi ya juu ya nchi "kwa kudra za Mwenyezi Mungu" ukatarajia maajabu. Sanasana akiweza ni kusoma hotuba anayoandikiwa, kuigiza jambo ambalo hata Ebitoke anaweza na kusafiri.
India inanunua mafuta bei nafuu kutoka Urusi na inauza tena soko la dunia, inanunua pia makaa ya mawe kwao. China inanunua gesi nafuu kwao. Tanzania haiwezi nunua kwa Urusi kwa sababu HAINA AKILI, nchi nzima ni vilaza watupu. Nchi zenye akili huwezi ongoza bila maono ukabaki. Ujerumani na nchi kibao za Ulaya zinanunua gesi Urusi, anayesema hatuwezi nunua kwao kisa sanctions mbona hao wazungu walioweka sanctions bado energy sources wananunua uko na isitoshe nishati haina sanctions kivile. Sanasana tatizo hapa ni SWIFT ya kufanyia malipo, ila mbona India wanalipa kwa njia mbadala. Hapa ndio akili zinatakiwa kuwa na alternatives.
Nenda Urusi agiza mafuta subiri tankers zije. Mambo ya vibari na mikataba ndio tujue umuhimu wa kuwa na mikataba inayotupa advantage