EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

Kuna watu bado mnaiamini CCM eti bei ingeshuka?

Kama waliweza kuingiza kura zilizopigwa tayari kwenye mabegi na vkapu mchana kweupe na polisi wakiwepo watashindwa kuwazuga eti kuna ruzuku?
Nchi inaendeshwa kimchongo mchongo
 
Kutoka mbezi mpaka kinyerezi kuna vituo vya wese si chini ya 6,now ni mwendo wa vitz tu
 
Bado aumize kichwa namna ya kupambana na mfumuko wa bei yeye ndio anatamani tozo ziongezeke hadi kwenye ving'amuzi kuzidi kuwaongezea mzigo wananchi,halafu kituko sasa anataka kupunguza kodi kwenye kamari!
 
Mkuu, Sio inawezekana

Nawaambieni, Petrol kufikia mwezi wa 1 -2 , Petrol itauzwa 10K.
Mimi natamani Sana ifike hiyo Bei ili kila kitu kisimame ndo wananchi tutapata akili ya kujua nyeusi na nyeupi maana kwa sasa KIJANI wamejimilikisha nchi wanafanya wanachotaka kwa kujua wananchi wengi karibu wote MAZUZU.
 
Sawa kwa mtazamo wako Ila naye ni moja ya Viongozi walioharibu uchumi wetu kuliko uhalisia ya yanayosemwa, Jambo pekee naweza msifu Magufuli ni miundombinu na maamuzi magumu(japo Kuna wakati alitanguliza Chuki na ubaguzi) Kama angerekebisha hapo na kutawala kwa usawa nadhani angeweka rekodi ambayo kuvunjwa kwake ingechukua miaka zaidi ya 50.
 
Unafki ndo Jambo tunaloliweza sisi wantanzania watu wanasahau mapema Sana...Magufuli alipatia kwenye miundombinu tu japo nako huko alitupiga hasa
 
Alafu Tanzania ikafikaje uchumi wa kati? Au aliwahinga world bank
 
Bado aumize kichwa namna ya kupambana na mfumuko wa bei yeye ndio anatamani tozo ziongezeke hadi kwenye ving'amuzi kuzidi kuwaongezea mzigo wananchi,halafu kituko sasa anataka kupunguza kodi kwenye kamari!
Ili wengi mbeti huko,pesa ziende nje
 
Serikali kwa mwezi hupata wastani wa Tshs bilion 350-400 kwa kodi /ushuru unaotokana na petrol,diesel na mafuta ya taa.
Wastan wa kodi/ushuru kwa kila lita moja ya mafuta hayo ni Tshs 940,na wastan wa matumizi ni lita 400 kwa mwezi.
Hivyo kusanyo hilo ni sawa na asilimia almost 30 ya kusanyo la mwezi ( Trilion 1.3)....
 
Kweli kabisa maana majanga yote tuliyopata kama Tetemeko la kagera na Ile Ajali ya Mwanza mahela kibao yalikuja kama Rambirambi Magu hajakula hata sh 10 hela zote zilifaidisha wahanga.

Ama nasema uongo ndugu zangu 🀣🀣
Yaani unazungumza vitu vidogo sana. Jaribu kurudisha akili zako vizuri.
 
Tatizo tunategemea misaada kutoka nchi za Magharibi na Bi mkubwa hawezi kwenda nao kinyume ujasiri huo hana,wewe si unaona juzi alisema safari ndizo zinampa hela za miradi ila kiujumla life gumu.

Naona ndani ya mwezi huu nauli mpya zitatangazwa.
 
Gari linarudi kuwa anasa very soon. Ikiendelea hivi wengi tutayaona magari kama anasa tu. Kwamba 10ltrs ni 32,000 kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…