EWURA yatangaza bei mpya za mafuta ya Julai, 2022. Petroli, Dizeli zapanda

Kwaiyo pro NATO na wewe sahivi unataka tukanunue mafuta ya baei rahisi kwa urusi,[emoji16]
 
Si walidai wanawekeza bln 100 kwenye ruzuku ya mafuta ili yapungue bei!
Kwani hujasoma hilo jedwali la bei za mafuta! Wameandika bei kabla ya ruzuku na bei baada ya ruzuku, kwahiyo unaweza kuona kama wasingepewa hela za ruzuku mafuta yangeuzwaje!?
 
Kikwete na kampuni zake zaafuta watatumaliza, Samia hafai kuwa rais kabisa yuko mikononi mwa mafisadi papa wakisingizia vita ya Ukraine wa lkati mafuta ya urusi yanapatikana kwa bei raisi
 
Mkuu sina connection kwa mama.
Wasukuma wangu wametupwa nje wanalia na kusaga meno nami nilikuwa naponea migongoni mwao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi ni kipindi cha kujenga urafiki wa karibu na Wazanzibari aka wa Pemba, Wasukuma tupa kule kwa Sasa, ukiwakosa Wapemba angalu tafuta Wakwere wa Chalinze kidogo Mambo yako yanaweza nyooka vizuri!!
 
Kale ka nyongeza ka 23% naona kakifunikwa kwenye bei ya wese, hapa ndo maamuzi magumu yanatakiwa kufanyika kutafuta mafuta ya bei chee ya mrusi kwa kumwekea beberu uso wa mbuzi.
 
Parking fee inakuwa implemented kwa ajili ya ku discourage msongamano wa magari maeneo ya katikati ya mji na si vinginevyo. Kutoza parking fee kwenye maeneo ya pembezoni mwa mji kwenye barabara za mitaani na pembeni ya maduka na maeneo ya huduma kama baa, mahoteli, mabenki nk. ni uporaji wa mchana kweupe.
 
Kauli ya Magu? Mm nawezaje kumuamini Magufuli?

Afu kuhusu mafuta zenj, hebu soma tena vizuri hizo Bei na kilichoandikwa. Umeleta ww mwenyewe lakini umeshindwa kusoma kwa makini. Hakuna sehemu mafuta yanauzwa 2924 kwa petrol Wala 3500 kwa diesel. Narudia tena soma vizuri ulichokileta hapo
 
Mlishaambiwa mkiona mziki mzito
Pakini magari yenu

Ova
Mkuu hivi hizi bei zinawahusu wenye magari tu? Mafuta kupanda bei inamhusu kila mtu hata ambae hana gari kwa kuwa gharama ya safirishaji wa bidhaa utaongezeka na bidhaa zitaongezeka Bei.
Muuza ndizi mabibo Kama alikua analeta fuso pale kwa mil 1, Sasa hivi ataleta kwa mil 1.2
 
Kusoma hujui kabisa? Mbona hayo majedwali yameandikwa kwa kiswahili?
 
So tunayo haki ya kugoma kulipa kwa mujibu wa sheria.
Shida wanabeti siku hizi maana wamewekewa malengo kwa siku hivyo ni rahisi kuweka namba yeyeto.
Nimewahi kuwa daladala kuchek kwenye system limepigwa cheti route ambayo halijawahi kwenda tena kwa tarehe likiwa juu ya mawe gereji.
 
Hio ni fidia ina maana yamekuwa subsidized hivyo inaprove point yangu kwamba mafuta yamepanda.

Leo Bakhresa akifidia bei ya mafuta yakashuka toka hio 3000 Kuja 1500 inamaanisha Soko la Dunia hayajapanda?
 
Mama anafungua nchi…tumepigwa.
 
Unafki ndo Jambo tunaloliweza sisi wantanzania watu wanasahau mapema Sana...Magufuli alipatia kwenye miundombinu tu japo nako huko alitupiga hasa
Hata kuleta Discipline Magufuli alijitahidi, na kukusanya pesa.

Ila Magu alikuwa akitafuta pesa kwa Akili ya CCM na genge lake, budget muhimu muhimu kama Afya na Elimu zilitupwa huko.

Kama Mtu alikuwa Ana Guts za kupunguza Bajeti hadi ya Elimu unategemea atamsaidia Masikini kujikwamua na Majanga?
 
Tumefika Patamu Lita 2 za mafuta Tshs 7000 hadi mama akijakushitukia hu mchezo watu watakuwa wameshaumia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…