Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
CCM ni zaidi ya kirusi, wakati wanaongeza kodi kwenye bajeti walishanhilia Ila sasa haohao wanaanza kuliaBajeti inapopitishwa mnashangilia ikianza kutumika, mnaanza kupiga kelele tena?!!sioni cha ajabu tulishazoea tu hata ifikie lita sh.3000 sawa tu!!hadi hapo akili itakapotukaa sawa