Yakuuliza kama ana akili timamu au hana?we mpe helaMambo yapi?
Swali lako linaonesha huwezi kufanya abstract thinking, hivyo wewe si Alpha Male.Kanuni ya nani?
Uasherati na uzinzi ni dhambi kubwa sana.Dhambi anazo anaeua kina ally kibao
😂🤣😂Usikute unasumbua watu kumbe ushatuma na ya kutolea na samahani kwa kuchelewa nyingi kama umepitiliza muda wa kutuma maombi ya mkopo.
Kwa nini asipige, si anakutaka?Sijatuma na kapiga Tena simu
Habari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202
hatari sana enzi hizo nategesha redio masafa ya AM kuitafuta Kiss FM, redio imeongezewa antena ya waya kah!
MpeHabari za muda huu? Huyu mdada ni mtu niliyekuwa nae uhusiano Kwa years Toka 2019-2023 hapo ndipo ulikuwa mwisho wetu na aliyeniacha ni yeye na Mimi kwakua ni ALPHA MALE sijawahi shoboka nae sasa yeye Huwa ananipigia simu
Kila baada ya week 2 Huwa lazima anitafute nimeshazoea Hilo lazima hupiga simu Leo pia nilikuwa mbali na simu nikakuta missed call yake nikamwambia piga akapiga hatukuwana alikuwa kwenye kelele Sana.
Tukachat kidogo akaomba PESA je uyu mtu ana akili timamu kweli?View attachment 3114202