EX ananiomba pesa. Ushauri wenu please

Kanuni ya nani?
Swali lako linaonesha huwezi kufanya abstract thinking, hivyo wewe si Alpha Male.

Alpha Male anatakiwa kuweza kufanya abstract thinking.

Wewe umekaa kupiganapigana kishamba tu, ndiyo maana unauliza "nani" umpige.
 
Mwanamke ombaomba ambaye hajaolewa ana options 4 tu

1. Auze nyapu

2. Atafute kazi ya kumuingizia kipato

3. Amwombe baba yake mzazi, huyu ndiye aliyemleta duniani. Na ndiye mwenye jukumu la kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa

4. Atue shida zake kwa Mungu wake
 


Hiko ndio kilimweka kwako haha
So lazima aendelee kufata

Akiwa na nyege ataenda Moyo wake ulipo

Akiwa na shida atakuja kwenye ATM yake
 
Hiko ndio kilimweka kwako haha
So lazima aendelee kufata

Akiwa na nyege ataenda Moyo wake ulipo

Akiwa na shida atakuja kwenye ATM yake
Sikuwahigi kumpa hela yeye ndiyo alikuwaga ananipa
 
Mbona ameomba hela bila maelezo na wewe umemuuliza sh.ngapi? halafu unatuuliza sisi kama ana akili au hana!!! wewe tuma tu mambo ya akili mtajuana mbele ya safari
 
Halafu 2023 hapo, huyo bado hana vigezo vya kuwa Ex
 
Mpe
Tena uwe unampa mara kwa mara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…