Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Yepi hayo mkuu?A bitter experience makes us a better person,, nimependa sana hili neno nje ya mada
Nilipitia nyakati ngumu sana wakati fulani hivi,, basi kwa uchungu na maumivu yale yamenifanya leo kuwa bora zaidi,
ππ pathetic indeedWrite your reply...Kurudiana na ex hutegemea Mambo kadha wa kadha.
Kwanza kabisa Ni mliachana namna gani( kwa vurugu ama kwa amani) na Ni Nini haswa kilichosababisha mkaachana.
Ili mi sionagi Kama Ni busara Kurudiana na mtu ambaye tayari mlishazinguana mkaachana.It sounds very pathetic.
Thank u for sharing with usIt was a bad idea kurudiana na yule msichana. At first sikujua hili na mambo yalienda vizuri hadi nikapanga kwenda kujitambulisha.
Kumbe hakua amebadilika. Kilichofuata ni stress juu ya stress. I am a man but I admit yes iliniumiza but finally nikahandle vizuri
Nilipata funzo kubwa sana from that incident na ni mwaka sasa maisha yangu yamebadilika sana.
Dina, thank you, ulizingua but umesaidia sana kunibadilisha.
Thank u so muchNdugu fata moyo wako ila X acha aitwe x
Binafsi mpk anakuwa x ujue mlishindwana mimi nilimwomba msamaha x wangu ila nilimwacha sababu ya wivu tu coz bado ninampenda nikaamua nirud ila yale yote nisiyoyapenda bado anayo nikaona WTF sitakufa mm nikaamua nitulie zangu tu
Alhamdulilah saiv anajicommentisha na viemoj vya love japo nimepata mwingine ila bado nampenda ninachijifunza mimi ni kupenda coz sio mtu wa wanawake kbs nipatapo mtu na sticky mpk azingue yeye
Tafuta mwingine
βEnjoy while it lastsβMuulize mshamba mmoja wa Kariakoo yeye imekuwa ngumu ku move on.Kila siku kutishia EX wake atarudi Shinyanga utafikiri amemleta Dar.
Enjoy while it lasts.
Siku nikiweza nitasimuliaYepi hayo mkuu?
If u donβt mind pls share with us
Namba A ni nzuri kuliko E, E ikiharibika unatupa haitengenezwi ila A ukarabati ni simple tu. Zimwi likujualo...... [emoji3578]We vuta chombo kipya mtoto namba E achana na hizo carina namba A
Fact na kuunga mkono kama ntakosa nywele au kucha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Changamoto Zipo Mwanzo Matamu Kama Asali, Katikati.......Mwisho Machungu Kama Shubiri
Oa Uzae Naye Utatulia Tu, Ama Atakutuliza
Mwingine kama mimi nitasema tafuta pesaSio mda kuna jamaa atasema...
USIOE
KATAA NDOA
Canβt wait na pole sanaSiku nikiweza nitasimulia
Sio mda kuna jamaa atasema...
USIOE
KATAA NDOA
Jamaa ako hapo kitandani kalala na malaya mbwa tu.Sasa mimi kwa upande wangu Kurudiana na Ex wangu nimefanya maamuzi mazuri than ever.
I met him Dec 2012 tukaanza mahusiano tukajikongojaa weee 2017 tukaanza vijiugomvi ugomvi kutokana utoto wangu 2018 nikapata mimba kwa another boyfriend sasa hapo nikamwambia alijiskia vibaya mno.
Tulikaa mwaka mmoja na nusu hatuzungumzi if am not mistaken basi bwanaa kule kwa baba mtoto picha likanza nikaanza kupigwa matukio[emoji23]aiseee nilimkumbuka myEx alivyokuwa ananilea ma kunidekeza kam mtotoo.
Sasa nikawa naishi nae tu kwa Lengo la kumsogeza mtoto akifika 2 yrs niondoke nikaanze upya maishaa oooh mambo yalizidi kuwa mengi bwana nikaondoka kabla hata hiyo miaka miwili haijaisha nakumbuka niliondoka mtoto alipofika mwaka na miezi mitatu.
After them nikarudi home nikamtafuta ex ila before nilipokuwa kwa baba mtoto tulikuwa tunawasiliana mara kadhaa ananipa moyo wa kumvumilia ila ilishindikana[emoji119]
September 2021 nikarudiana na my Ex rasmi[emoji7]
Em nifupishe story mie yule Ex wangu ndio kanikumbutia mda huu na Sijawahi kujuta kwa ajili yake nampenda mno[emoji7][emoji3531] Mungu Baba anitunzie yeye Ooh Nyieee Tunapendana Sana[emoji3059][emoji3059]
Nimalizie kipengere Muhimu shida n matatizo yapo ila tumekubaliana kuvumiliana na kuwa pmoja katika nyakati zote hata iweje [emoji4].
πππππ Paragraph ya mwisho jamaniYule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
Miami au Ihemi ya Iringa?Kurudiana na EX wakati mwingine mazingira huchangia..!! Haya umeachana na mtu wako HUko Rombo, mkaachana mara paap mnaonana mpo labda MIAMI kila mtu hakujua kama mwenzie yupo maeneo hayo. Huko lazima mtarudiana
Wa chuo bado uko nayeTusio na Ex tuna comment wapiiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahahahahahahaaaaaaa...!! dah..! nimecheka kama mwehu.!! Eti yule msenge hawezi kusafiri hata Kenya tu hapo..!! Dah..!! VIVA JF wallahMiami au Ihemi ya Iringa?
Yule msenge hawezi kusafiri hata Kenya tu hapo.
Mlongo udesi..!!Tusio na Ex tuna comment wapiiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]