Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Ndugu fata moyo wako ila X acha aitwe x
Binafsi mpk anakuwa x ujue mlishindwana mimi nilimwomba msamaha x wangu ila nilimwacha sababu ya wivu tu coz bado ninampenda nikaamua nirud ila yale yote nisiyoyapenda bado anayo nikaona WTF sitakufa mm nikaamua nitulie zangu tu

Alhamdulilah saiv anajicommentisha na viemoj vya love japo nimepata mwingine ila bado nampenda ninachijifunza mimi ni kupenda coz sio mtu wa wanawake kbs nipatapo mtu na sticky mpk azingue yeye

Tafuta mwingine
 
Muulize mshamba mmoja wa Kariakoo yeye imekuwa ngumu ku move on.Kila siku kutishia EX wake atarudi Shinyanga utafikiri amemleta Dar.
Enjoy while it lasts.
 
A bitter experience makes us a better person,, nimependa sana hili neno nje ya mada

Nilipitia nyakati ngumu sana wakati fulani hivi,, basi kwa uchungu na maumivu yale yamenifanya leo kuwa bora zaidi,
Yepi hayo mkuu?

If u don’t mind pls share with us
 
Write your reply...Kurudiana na ex hutegemea Mambo kadha wa kadha.

Kwanza kabisa Ni mliachana namna gani( kwa vurugu ama kwa amani) na Ni Nini haswa kilichosababisha mkaachana.

Ili mi sionagi Kama Ni busara Kurudiana na mtu ambaye tayari mlishazinguana mkaachana.It sounds very pathetic.
😁😁 pathetic indeed
 
It was a bad idea kurudiana na yule msichana. At first sikujua hili na mambo yalienda vizuri hadi nikapanga kwenda kujitambulisha.

Kumbe hakua amebadilika. Kilichofuata ni stress juu ya stress. I am a man but I admit yes iliniumiza but finally nikahandle vizuri

Nilipata funzo kubwa sana from that incident na ni mwaka sasa maisha yangu yamebadilika sana.

Dina, thank you, ulizingua but umesaidia sana kunibadilisha.
Thank u for sharing with us
Na hongera kwa kuwa mtu bora sana
 
Ndugu fata moyo wako ila X acha aitwe x
Binafsi mpk anakuwa x ujue mlishindwana mimi nilimwomba msamaha x wangu ila nilimwacha sababu ya wivu tu coz bado ninampenda nikaamua nirud ila yale yote nisiyoyapenda bado anayo nikaona WTF sitakufa mm nikaamua nitulie zangu tu

Alhamdulilah saiv anajicommentisha na viemoj vya love japo nimepata mwingine ila bado nampenda ninachijifunza mimi ni kupenda coz sio mtu wa wanawake kbs nipatapo mtu na sticky mpk azingue yeye

Tafuta mwingine
Thank u so much

Niamini mkuu this means a lot to me
 
Muulize mshamba mmoja wa Kariakoo yeye imekuwa ngumu ku move on.Kila siku kutishia EX wake atarudi Shinyanga utafikiri amemleta Dar.
Enjoy while it lasts.
“Enjoy while it lasts”
 
Tuliachana tukiwa na mtoto 1 but now tupo vizuri baada ya kurudiana na tuna ndoa na watoto watatu, makosa tuliapa kuwa hatutorudia na ni kweli we are in fire [emoji91] of love [emoji7] not love fire [emoji91] get me.... Ex mtamu haswa ukimrudia
 
Sasa mimi kwa upande wangu Kurudiana na Ex wangu nimefanya maamuzi mazuri than ever.

I met him Dec 2012 tukaanza mahusiano tukajikongojaa weee 2017 tukaanza vijiugomvi ugomvi kutokana utoto wangu 2018 nikapata mimba kwa another boyfriend sasa hapo nikamwambia alijiskia vibaya mno.

Tulikaa mwaka mmoja na nusu hatuzungumzi if am not mistaken basi bwanaa kule kwa baba mtoto picha likanza nikaanza kupigwa matukio[emoji23]aiseee nilimkumbuka myEx alivyokuwa ananilea ma kunidekeza kam mtotoo.

Sasa nikawa naishi nae tu kwa Lengo la kumsogeza mtoto akifika 2 yrs niondoke nikaanze upya maishaa oooh mambo yalizidi kuwa mengi bwana nikaondoka kabla hata hiyo miaka miwili haijaisha nakumbuka niliondoka mtoto alipofika mwaka na miezi mitatu.


After them nikarudi home nikamtafuta ex ila before nilipokuwa kwa baba mtoto tulikuwa tunawasiliana mara kadhaa ananipa moyo wa kumvumilia ila ilishindikana[emoji119]

September 2021 nikarudiana na my Ex rasmi[emoji7]
Em nifupishe story mie yule Ex wangu ndio kanikumbutia mda huu na Sijawahi kujuta kwa ajili yake nampenda mno[emoji7][emoji3531] Mungu Baba anitunzie yeye Ooh Nyieee Tunapendana Sana[emoji3059][emoji3059]

Nimalizie kipengere Muhimu shida n matatizo yapo ila tumekubaliana kuvumiliana na kuwa pmoja katika nyakati zote hata iweje [emoji4].
Jamaa ako hapo kitandani kalala na malaya mbwa tu.
 
Yule manzi bana ni pasua kichwa.
Tulifunga mkataba ghafla.
Siku si nyingi mshale ukasoma full ikabd tutaftane kupunguza kibuyu.
Tukiwa katikati ya mirindimo ya pwani nkasukuma nyama nkashangaa wigi linaruka linaangukia uoande mwingine wa kitanda nmebaki na twende kilioni zinanishangaa.
Nkawazaaa, hv hii maisha mpka lini?
Nkafunga muamala mpka leo.
Popote ulipo uende salama.
Kunguni maji wahed kbsa bladihenken!
😂😂😂😂😂 Paragraph ya mwisho jamani
 
Back
Top Bottom