Pole sanaEx wangu nimeachana nae mwaka jana,now mke wa mtu..nampenda sana,,number yake ninayo but tangu ameolewa sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta...sijui hata nawaza nini...sijawahi kutembea na mke wa mtu and its against my morals,shetani ananiambia nipashe kiporo but navumilia..tangu nimeachana nae sijawahi kua na mwanamke zaidi ya kuruka na hoes...
We sindio msagaji[emoji23][emoji23][emoji23]Kwangu ilikua bad decision ever.....
Tuliachana kwa Amani akaenda kuanza mahusiano mapya, hayakudumu akarudi kwa samahani nyingi, kwa kua nilikua bado sijaingia kwenye mahusiano nikamrudia, hakukua na jipya zaidi ya yale yale yaliyofanya tuachane, hakujirekebisha, nikaona ananiongezea stress ikabidi nimuache kwa nguvu,
Kuna wale watu wakiwa nacho hawajui kukitunza na kukiacha hawataki, wanaweza wakakupa depression usipofanya maamuzi ya kikatili.
Mshinde shetani mkuu mke wa mtu noma hapa duniani mpaka mbinguniEx wangu nimeachana nae mwaka jana,now mke wa mtu..nampenda sana,,number yake ninayo but tangu ameolewa sijawahi kumtafuta hajawahi kunitafuta...sijui hata nawaza nini...sijawahi kutembea na mke wa mtu and its against my morals,shetani ananiambia nipashe kiporo but navumilia..tangu nimeachana nae sijawahi kua na mwanamke zaidi ya kuruka na hoes...
Alichepuka nikamuacha akawa na mtu, baada ya miezi akanitafuta analia kaumizwa turudiane nikakataa,alinilazimisha turudiane mwaka mzima bado nikakataa,aka move on,nikamkumbuka nikataka turudiane Akasema NOOO...kaolewaPole sana
haswaaa.We vuta chombo kipya mtoto namba E achana na hizo carina namba A
Mzabzab, Mzee wa kupambania, Kitoabu kuna jimbo lipo wazi huku karibuni mchangamkie fursa kutangaza sera zenu kabambe...[emoji143]Kilichofanya tuachane hakikubadilika hata baada ya kurudiana hivyo nikaona ya nn kujipa shida. Aliniacha kwa dharau, alikua kitombi kupita maelezo. Alirudi akaomba msamaha sababu nilikua nampenda bado nikakubali. Akaendeleza tabia zake nilikuja nikamtimua mazima.
[emoji16][emoji16][emoji16]Nilirudiana na x wangu akaniibia vitu vyote vya ndani ulaaniwe huko uliko na mkomwe wako kama Solar za mobisol
😂😂😂Mzabzab, Mzee wa kupambania, Kitoabu kuna jimbo lipo wazi huku karibuni mchangamkie fursa kutangaza sera zenu kabambe...[emoji143]
Msisahau mwenye kisu kikali ndiye mla nyama pekee...[emoji1732][emoji847]
Duhh! PoleAlichepuka nikamuacha akawa na mtu, baada ya miezi akanitafuta analia kaumizwa turudiane nikakataa,alinilazimisha turudiane mwaka mzima bado nikakataa,aka move on,nikamkumbuka nikataka turudiane Akasema NOOO...kaolewa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbavu zangu mieWe sindio msagaji[emoji23][emoji23][emoji23]
hehehehe hongera mzeeHapa lazima maamuzi ya kuoa yasiwepo kama wanawake wa kuoa ndo warahisi hivi. Mwanamke unaishi nae bila ndoa na wazazi wake wapo ila fresh tu.
Mke wangu nikikumbuka kile kipindi kumuita aje kwangu ilikuwa kazi nzito kweli. Kipindi chote cha uchumba sex tulifanya mara 2 sijui 3. Baada ya ndoa ndo nilimfaidi.
Polee mremboMwenzako niliangukia pua. Ex abaki kuwa Ex sitaki mazoea.
Inaonekana ulimpenda sana huyu mwamba, kosa lilikuwa ni kukubali mrudiane na wakati alikuacha kwa dharauKilichofanya tuachane hakikubadilika hata baada ya kurudiana hivyo nikaona ya nn kujipa shida. Aliniacha kwa dharau, alikua kitombi kupita maelezo. Alirudi akaomba msamaha sababu nilikua nampenda bado nikakubali. Akaendeleza tabia zake nilikuja nikamtimua mazima.
Naamini unatania mkuu😂Nakumbusha tu tafiti inasema ma Ex ni chanzo cha maambukizi VVU