Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

Pole sana
 
We sindio msagaji[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshinde shetani mkuu mke wa mtu noma hapa duniani mpaka mbinguni

Pisi ziko nyingi na hazijaolewa mkuu
 
Mzabzab, Mzee wa kupambania, Kitoabu kuna jimbo lipo wazi huku karibuni mchangamkie fursa kutangaza sera zenu kabambe...[emoji143]

Msisahau mwenye kisu kikali ndiye mla nyama pekee...[emoji1732][emoji847]
 
Alichepuka nikamuacha akawa na mtu, baada ya miezi akanitafuta analia kaumizwa turudiane nikakataa,alinilazimisha turudiane mwaka mzima bado nikakataa,aka move on,nikamkumbuka nikataka turudiane Akasema NOOO...kaolewa
Duhh! Pole
 
Sijawahi kua na x wala kufanya sex



[emoji848][emoji317]
Your browser is not able to display this video.
 
hehehehe hongera mzee
 
Inaonekana ulimpenda sana huyu mwamba, kosa lilikuwa ni kukubali mrudiane na wakati alikuacha kwa dharau

Ila ulipata uzoefu nafikiri hata ikitokea siku andunje anazingua hautarudia kosa.

A bitter experience makes us a better person
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…