Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #141
Kweli kabisa. Ipo common factor kwa hao wawili, ni warembo wa mchongo.
UweeeMelanin skin girls asilimia kubwa huwaga ni Watamuu mnoo
Umenitupa babemy love 💖 Money Penny
UweeUlimbo mtupu, Jux asilaumiwe kunasa humu Money Penny 💕
Huyo caren mbona sura mbaya kama fishHuyo umeweka hapo wala sio ex wa jux...
Ex wake ni Karen Bujulu. And of course kwa muonokano wa nje Karen ni pisi kuliko mademu wote wa Jux aliowahi kuwa nao hadharani.
Tukirudi kwenye point kila mtu ana uhuru wa kupenda popote muhimu kuenjoy the moment.
halafu jux ni kaka wa makamo atakua mpumbavu kupelekeshwa na mapenzi at 35
kama umemuelewa sana ex wa Jux na una kaka ana mpunga basi muungashe nae. Maana binti anadanga tu mjini, ukitoa upisi kali hajulikani ana shughuli gani mjini
For Jux na contena jipya... ikawe heri, wafunge ndoa wakapate na watoto
Karen ni nan sasa?Ex huyu huyu anayedanga kwa mbunge wa mahenge????
Wenye hela wanahongwa harrier tena za kizamani???
Acha uongo bwana, Karen wala sio wa kishua, na page yake hana shughuli anayofanya sio employed wala self employed... hata uinfluencer umemshinda pamoja na kuwa na look matata mixer ngozi nzuriiiiii
Kumradhi bibieMimi ni mwanamke demu gan tena nikutane nae
Ndio jeKwahiyo unataka kusema Fatuma ni mzuri kuliko Ex wa Jux
DuHaujui? Au unauliza tu hao kutoa GOTI mashauri sana kwa hio akijishauri sana wakati huko nje anagawa GOTI piga chini
Aje?Waambieni Dada zenu watoe kitundu huruma
Kweli kabisaIt's a strategy ya kuongeza fan base.. Kwa msanii hiyo ni plus!
Ulishatembea nao ukafahamu uzuri wao?
Sio kazi yanguEndelea kushusha photo zao tuwapime vizuri
SauwaBeauty lies in the eyes of the beholder.
Mungu anakuooooona
Bora na wewe😂 nakupa kura
Kwenye kuchagua wapenzi wanaume hatuangalii uzuri tu.
We wadhani babu wakati anakuoa alikuona wewe ndo mrembo kuliko warembo wote aliowahi kukutana nao?
Bila shaka si kweli
Mbona hasira sana?Jux mwenye hata huyo wa sasa,atamgonga na kumwacha, mwamba hana time ya kuoa.
Mambo yao waachie wenyewe 😎
Kumradhi bibie
Unapenda watu wachangie threads zako,sasa hasira zimetokea wapi.Mbona hasira sana?
Anataka mwanamke mwenye dimples kwenye Mahips yake, nifanyaje?
Kama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa; Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha...www.jamiiforums.com
Unakuja na comment za makasirikoUnapenda watu wachangie threads zako,sasa hasira zimetokea wapi.