Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msemeshe tu bossNingemuuliza kwanini alighairi lakini tatizo kumsemesha ex siyo jadi yangu
hahahahaha, pole boss(Bora ni enjoy maisha mafupi ni simpo yanini ni teseke roho)😂😂😂😂kokote ulipo namsubire akuze awe mkwe wangu
Never....Yaan haiji tokeamsemeshe tu boss
hahahahahahahaAngel angel angel nimekuita mara 3 mtoto wa kinyiramba wewe aisee siwez kusahau mambo yako ktandan aisee unajua na unajua tena daaah..
anafaa, atatuliaMbona mnazungumzia Ex kama vile ni mmoja [emoji276]nje ya mada Mwanamke ambaye ana ex kuanzia 10 anafaa kweli kuwa mke [emoji276]?
Hata NTU anaweza kuwa mbwa ikiwa tabia zake ni za kimbwaIlikuwaje ukachumbia mbwa ilhali we ni ntu?
Unamsemea ex yupi mkuu, au alikuwa mmoja tu😝🤣🤣🤣Mi kiukweli sitaki hata kukumbuka hata lile zuri lake Moja 🤨
msameheme uende MbinguniNever....Yaan haiji tokea
Mume wa ndoaUnamsemea ex yupi mkuu, au alikuwa mmoja tu😝🤣🤣🤣
Mbele Kwa mbelemsameheme uende Mbinguni
nilishasema page ya 1 kasomeSEMA kwanza wewe
Hata NTU anaweza kuwa mbwa ikiwa tabia zake ni za kimbwa
na ulivyo wa hovyo ukajaMada za hovyo kabisa
Kaniaga anaenda kusalimia kwao kumbe kaenda kwa x wakehahahahaha, pole boss
ulichapwa wapi?
unataka kutukanana na money penny utaweza chenji yangu au?Wee ni falaa...