Exclusive: Developing Story ya Mwanafunzi aliyeua Mwalimu ( Patron ) Shule ya Kiislamu ya QIBLATEIN Kawe

Waachane na kufundisha vijana habari za kwenda kujiunga alshabab hao.
 
Imani zingine bhana,eti mafunzo maalimu ya kujihami dhidi ya dini yetu duh
 
Detective Gentamycine.
 
huyu ameua kwa kukusudia , sababu ni

1.mwalimu alimkandamiza chini shingoni kwa mguu lakini baadae akamwachia , na Hawa wote hawakuwa na siraha mikononi mwao, hapa nilitegemea labda mwanafunzi angempiga labda kwa kutumia viungo vyake vya mwili , kwa kuwa hakuwa na siraha . angelifanya hivyo Basi ingekuwa au ingetafsiriwa ameua kwa kujihami . angeweza sema labda walikuwa wanapigana ndipo akamzidi nguvu mwal.

2.haijulikani yalitokea majibizano gani au ukinzani upi kutoka kwa mwanafunzi mpaka mwal. akaamua kumdhibiti kwa kutumia viungo vya mwili (hapa ikumbukwe hakutumia silaha).

3. baada ya mwal. kumdhibti mwanafunzi akiwa chini mwal. aliamua kumuachia (ikumbukwe mwal. hakuendelea kumdhibiti pale chini alimdhibiti kwa muda kiasi then akamuachia, hapa inaweza kutafsiriwa kwamba mwalimu alipoona dogo kapoa hasira ndipo akaona amuachie .

4.ikumbukwe hakuna mtu aliyekuja kuamulia huo ugomvi , au aliyekuja ku interfere , ni mwal ndie aliyeamua kumuachia dogo , ili ainuke aende kwa wenzie kuswali , baada ya kumdhibiti. hivyo hapa inaweza kutafsiriwa mwal. hakuwa na nia ya kumdhuru mwanafunzi Bali kumdhibiti tu.

5.itatafsiriwa kaua kwa kukusudia ,ukisoma na kuzingatia uchambuzi hapo juu namba 1-4, kwa sababu mwalimu hakuwa na siraha na Tena hakuna mtu aliyekuja kumwambia mwal. muachie dogo ,Ila NI yeye mwalimu aliamua kumuachia baada ya kujiridhisha usalama wake .

kosa NI baada ya kuachiwa, mwanafunzi alitembea umbali kiasi Fulani , kutafuta silaha kwa kuinua magidoro ya wenzake. (hapa ndipo tendo la kukusudia lilipoanzia) akakiona silaha na kutembea kwa hatua kadhaa Hadi akamfikia mwal. na kumshambulia Hadi kufa.

hitimisho. kaua kwa kukusudia .
 
tupunguze fikra hasi. Hawa watoto wanaoangalia movie za vita na mapigano toka akiwa na mwaka mmoja, unashangaa anajuaje kukata koromeo?
Sio kweli,nitajie movi walau moja tu inayoonesha mtu akiuliwa kwa kukatwa koromeo,movi kama hizo utazio kwa IS,alshabab, Al-qaida nk.hivyo watoto wanaoneshwa huko mashuleni ili kuwaanda kuwa jihadist wakubwa
 
Ujinga wangu unauzidi wa Mama yako?
Huna haja ya kujibizana nao. Wakongwe tumeshaelewa umefanya kazi nzuri na uwakilishaji wako ni ule unaohitaji maksi 100%. Tanzania hakuna waandishi wa habari wa ukweli na umefanya kazi nzuri kuziba hilo pengo kwenye hii habari.
 
Dah kuna ukwel kabsa hapa. Nakumbuka nikiwa shule ya bweni huko kanda ya ziwa, kuna mwamba mmoja alikuwa mtu wa dini sana jamaa anatokea nyanda za juu kusini uko. Siku moja tulikuwa na ubishani wa mambo ya dini tena makali sana, jamaa alinitishia kunichinja😂😂 tena alimaanisha kabsa kwamba ata nikimshinda nguvu atanivizia usiku anichinje. (tulikuwa tunalala room moja). Sasa kuna jamaa yang na yy ni ndugu yake katika iman akaniambia achana na yule jamaa dini imemkaa kweli isitoshe jamaa ni mzima sana kweny hzo karatee, pili ata hii Elim haitaki kabsa anafosiwa tu na wazazi wake Tena jamaa alikuwa ananiambia kama unataka kummaliza adui yako fasta kata koromeo na ukitaka afe kwa uchungu kata nyuma ya shingo, nikawa najiuliza hawa vijana wadogo hiv haya mafunzo wameyatoa wapii? . Kwahyo anayepuuza machapisho kama haya atakuwa hajakutana nao.
 
Duuh inasikitisha sana ,Poleni ndugu,jamaa na marafiki kwa msiba.
 
Hii dini hatari sana,mtoto mdogo kajuaje kimshambulia mtu kwenye koromeo kama sio mafunzo ayapatayo!?
Watu wote wanashambulia wenzao koromeo ni wa dini gani? Hivi hapo ni suala la dini au mtu?
 
Hyo nadhani alikuwa patron tu..au mwl wa madrasa...
 
1. Umekutana nae wapi
2.kipindi hiki kila mtoto anaogopa ushahidi hususa katika hiyo kesi
3.Tatu sio rahisi mtoto yeyote akuelezee tukio la mauaji simple bila kumuandaa kisaikolojia
USIPENDE KUTUNGA TUNGA VITU VYA KIPUZI KAMA HIVI
 
K
Be kuna wapumbavu wanakuita baba mjinga na chizi kama wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…