The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Ukimfundisha mbwa kung'ata lazima siku asipokuelewa akufanyie practicalHii dini hatari sana,mtoto mdogo kajuaje kimshambulia mtu kwenye koromeo kama sio mafunzo ayapatayo!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimfundisha mbwa kung'ata lazima siku asipokuelewa akufanyie practicalHii dini hatari sana,mtoto mdogo kajuaje kimshambulia mtu kwenye koromeo kama sio mafunzo ayapatayo!?
Kwani ktk yanayosemekana kuwa ni mahojiano kati ya mleta mada na mwanafunzi shuhuda kaeleza kuwa nje na masomo ya dini na elimu dunia kuna mafunzo gani mengine wanayofundishwa?una hakika wanafundisha haya unayoyadai?
Referring Kingunge na mbwa wake.Ukimfundisha mbwa kung'ata lazima siku asipokuelewa akufanyie practical
Nubhakesye Bhitalagulu.Naisoma nikiwa Bitaragulu hapa...Safi sana Sokoro.
Dah kuna ukwel kabsa hapa. Nakumbuka nikiwa shule ya bweni huko kanda ya ziwa, kuna mwamba mmoja alikuwa mtu wa dini sana jamaa anatokea nyanda za juu kusini uko. Siku moja tulikuwa na ubishani wa mambo ya dini tena makali sana, jamaa alinitishia kunichinja😂😂 tena alimaanisha kabsa kwamba ata nikimshinda nguvu atanivizia usiku anichinje. (tulikuwa tunalala room moja). Sasa kuna jamaa yang na yy ni ndugu yake katika iman akaniambia achana na yule jamaa dini imemkaa kweli isitoshe jamaa ni mzima sana kweny hzo karatee, pili ata hii Elim haitaki kabsa anafosiwa tu na wazazi wake Tena jamaa alikuwa ananiambia kama unataka kummaliza adui yako fasta kata koromeo na ukitaka afe kwa uchungu kata nyuma ya shingo, nikawa najiuliza hawa vijana wadogo hiv haya mafunzo wameyatoa wapii? . Kwahyo anayepuuza machapisho kama haya atakuwa hajakutana nao.
Hii ni hatari sana kwa usalama wa taifaHili andiko liwe halisi ama lisiwe halisi ila lina beba ukweli kwa 75%. Km ulifuatilia maelezo ya yule dogo wa Bihawana sec (km nimekosea jina la hii shule nirekebishwe tafadhali) aliyekuwa na ushirika na al shababu walio ua wanachuo pale Galisa Kenya utakubaliana na mleta mada.
Wakasingizia Jamaa Mgonjwa wa Akili kumbe Jamaa alikuwa anapinga Mkewe kuliwa na Kiongozi wake wa kiimaniMbona hujaleta kisa cha padre aliyepigwa nyundo
Udini unakusumbua wew mkatoliki na hii ni fiction Acha chuki na kupotosha ukweli
Chizi kaona jalala
Hapa Sasa imejiweka pembeni kwa hapo mwanzo Bora umesema Polisi a Hata hakimu wasitumie bandiko kuwa ndiyo kigezo kikuu cha kuchunguza na kuamua kesi hii.Wakati wengi wetu tumeshatoka Bwenini ghafla tukamuona Patron ( Mwalimu ) amerejea Bwenini na Kumkuta Mohammed Jabir akiwa amelala ndipo Mwalimu akapandwa na Hasira na kuanza Kumvuta Mohammed Jabir kutoka Kitandani huku akimpiga, akimtukana na Kumkandamiza kwa chini Shingoni na Mguu wake Hali iliyomfanya alipomuachia Mohammed Jabir alipandwa na Hasira Kali na kwenda Kuinua Kitanda cha Mmoja wa Mwanafunzi anayemjua kuwa na Kisu na kuja nacho Kumshambulia Patron ( Mwalimu ) na muda mfupi tukaona Mwalimu Kaanguka nasi kuingiwa na Uwoga na kuwahi Kumuita Mlinzi ( huku Mohammed Jabir akiwa kama Mtu aliyechanganyikiwa ) ndiyo baada ya muda Mwalimu ( Patron ) akapakiwa katika Gari kukimbizwa Hospitali ambapo baadae tukaambiwa kuwa Amefariki dunia.
Naona umetunga tena uongo Ili upate komenti za vilaza wenzio.Mwanafunzi Shuhuda: Ukweli ni kwamba huwa tunapewa Elimu hii ya Darasani kisha na ile ya Dini yetu ya Kiislamu ila kuna muda huwa tunapewa Mazoezi ya Kuwa Fiti na Kujilinda dhidi ya wale wanaocheza au wanaoitusi Imani yetu.
Hiyo ni manslaugher kwa maelezo ya mleta mada hicho kisu kingekuwa kipo mbali labda ndio ingekuwa kaua kwa kukusudiahuyu ameua kwa kukusudia , sababu ni
1.mwalimu alimkandamiza chini shingoni kwa mguu lakini baadae akamwachia , na Hawa wote hawakuwa na siraha mikononi mwao, hapa nilitegemea labda mwanafunzi angempiga labda kwa kutumia viungo vyake vya mwili , kwa kuwa hakuwa na siraha . angelifanya hivyo Basi ingekuwa au ingetafsiriwa ameua kwa kujihami . angeweza sema labda walikuwa wanapigana ndipo akamzidi nguvu mwal.
2.haijulikani yalitokea majibizano gani au ukinzani upi kutoka kwa mwanafunzi mpaka mwal. akaamua kumdhibiti kwa kutumia viungo vya mwili (hapa ikumbukwe hakutumia silaha).
3. baada ya mwal. kumdhibti mwanafunzi akiwa chini mwal. aliamua kumuachia (ikumbukwe mwal. hakuendelea kumdhibiti pale chini alimdhibiti kwa muda kiasi then akamuachia, hapa inaweza kutafsiriwa kwamba mwalimu alipoona dogo kapoa hasira ndipo akaona amuachie .
4.ikumbukwe hakuna mtu aliyekuja kuamulia huo ugomvi , au aliyekuja ku interfere , ni mwal ndie aliyeamua kumuachia dogo , ili ainuke aende kwa wenzie kuswali , baada ya kumdhibiti. hivyo hapa inaweza kutafsiriwa mwal. hakuwa na nia ya kumdhuru mwanafunzi Bali kumdhibiti tu.
5.itatafsiriwa kaua kwa kukusudia ,ukisoma na kuzingatia uchambuzi hapo juu namba 1-4, kwa sababu mwalimu hakuwa na siraha na Tena hakuna mtu aliyekuja kumwambia mwal. muachie dogo ,Ila NI yeye mwalimu aliamua kumuachia baada ya kujiridhisha usalama wake .
kosa NI baada ya kuachiwa, mwanafunzi alitembea umbali kiasi Fulani , kutafuta silaha kwa kuinua magidoro ya wenzake. (hapa ndipo tendo la kukusudia lilipoanzia) akakiona silaha na kutembea kwa hatua kadhaa Hadi akamfikia mwal. na kumshambulia Hadi kufa.
hitimisho. kaua kwa kukusudia .
Niambie Mkuu.Detective Gentamycine.
Asante sana Mkuu kwa hizi sincerely credits zako na kiukweli umenitia Moyo na kunipa Nguvu ya kuendelea Kuibua na mengineyo yaliyojificha na mtambuka kwa Watu ( JamiiForums Members ) kujua na Kuhabarika.Huna haja ya kujibizana nao. Wakongwe tumeshaelewa umefanya kazi nzuri na uwakilishaji wako ni ule unaohitaji maksi 100%. Tanzania hakuna waandishi wa habari wa ukweli na umefanya kazi nzuri kuziba hilo pengo kwenye hii habari.
Pumbavu.1. Umekutana nae wapi
2.kipindi hiki kila mtoto anaogopa ushahidi hususa katika hiyo kesi
3.Tatu sio rahisi mtoto yeyote akuelezee tukio la mauaji simple bila kumuandaa kisaikolojia
USIPENDE KUTUNGA TUNGA VITU VYA KIPUZI KAMA HIVI
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?Kuna mijitu mijinga inadanganywa inasema na ahsante
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?Maelezo mengi hayana msingi wowote ule popoma we
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?K
Be kuna wapumbavu wanakuita baba mjinga na chizi kama wewe?
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?Naona umetunga tena uongo Ili upate komenti za vilaza wenzio.