Exclusive: Developing Story ya Mwanafunzi aliyeua Mwalimu ( Patron ) Shule ya Kiislamu ya QIBLATEIN Kawe

Hili andiko liwe halisi ama lisiwe halisi ila lina beba ukweli kwa 75%. Km ulifuatilia maelezo ya yule dogo wa Bihawana sec (km nimekosea jina la hii shule nirekebishwe tafadhali) aliyekuwa na ushirika na al shababu walio ua wanachuo pale Galisa Kenya utakubaliana na mleta mada.
 
Hii ni hatari sana kwa usalama wa taifa
 
Mbona hujaleta kisa cha padre aliyepigwa nyundo
Udini unakusumbua wew mkatoliki na hii ni fiction Acha chuki na kupotosha ukweli
Chizi kaona jalala
 
kuna shule zingine za kidini toto kubwa la kiume Form three linainamishwa na Mwalimu na linapigwa Mbupu bila ya kujitetea
 
Hapa Sasa imejiweka pembeni kwa hapo mwanzo Bora umesema Polisi a Hata hakimu wasitumie bandiko kuwa ndiyo kigezo kikuu cha kuchunguza na kuamua kesi hii.

Kipande Hiki cha mahojiano yako na mwanafunzi "shuhuda" wa tukio la kusikitisha kina matobo mengi ya kudhibitisha kuwa kweli huyo "mshuhuda" kweli alishuhudia tukio hilo baya kama alivyoeleza.


Mfano, ameisha Toka Nje, lakini bado akafanikiwa kumuona kwa usahihi mkubwa "mtuhumiwa" akichukua kisu kutoka kitanda kingine!!! Hilo bweni limetengenezwa kwa vioo tupu na wakati huo Taa ndani ya bweni zilikuwa zinawaka sana kihivyo? Na je madirisha ya bweni hilo Yana pazia...? Maswali ni mengi, mleta mada!!!
 
Mwanafunzi Shuhuda: Ukweli ni kwamba huwa tunapewa Elimu hii ya Darasani kisha na ile ya Dini yetu ya Kiislamu ila kuna muda huwa tunapewa Mazoezi ya Kuwa Fiti na Kujilinda dhidi ya wale wanaocheza au wanaoitusi Imani yetu.
Naona umetunga tena uongo Ili upate komenti za vilaza wenzio.
 
Hiyo ni manslaugher kwa maelezo ya mleta mada hicho kisu kingekuwa kipo mbali labda ndio ingekuwa kaua kwa kukusudia
 
Huna haja ya kujibizana nao. Wakongwe tumeshaelewa umefanya kazi nzuri na uwakilishaji wako ni ule unaohitaji maksi 100%. Tanzania hakuna waandishi wa habari wa ukweli na umefanya kazi nzuri kuziba hilo pengo kwenye hii habari.
Asante sana Mkuu kwa hizi sincerely credits zako na kiukweli umenitia Moyo na kunipa Nguvu ya kuendelea Kuibua na mengineyo yaliyojificha na mtambuka kwa Watu ( JamiiForums Members ) kujua na Kuhabarika.
 
1. Umekutana nae wapi
2.kipindi hiki kila mtoto anaogopa ushahidi hususa katika hiyo kesi
3.Tatu sio rahisi mtoto yeyote akuelezee tukio la mauaji simple bila kumuandaa kisaikolojia
USIPENDE KUTUNGA TUNGA VITU VYA KIPUZI KAMA HIVI
Pumbavu.
 
Kuna mijitu mijinga inadanganywa inasema na ahsante
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Maelezo mengi hayana msingi wowote ule popoma we
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
K

Be kuna wapumbavu wanakuita baba mjinga na chizi kama wewe?
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Naona umetunga tena uongo Ili upate komenti za vilaza wenzio.
Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…