Exclusive. Hatimaye Yusuph Manji amerejea rasmi Yanga na amemsajili Ibrahim Ajib

kama ni kweli nikizukumbuka zile outer cross zake na Bichwa la Tambwe na Diving Header za Chilwa mhhh ni balaa na hatari😀😀😀
Kwa beki ya kapombe,kotei,Mohammed, na juuko hizo auta atazipiga mazoezini
 
Yanga anacheza namba nane...Ajibu sio striker ..ule udambwi udambwi ..nanunua ticket za msimu
 

Kila mtu anayefahamu tabia za Manji alikuwa na uhakika kuwa Manji hakujiuzulu bali alikuwa akipima upepo. Manji pale Yanga ni kifichoni na kamwe hatoki japo kiuchumi ametetereka lakini hali ingekuwa mbaya zaidi akiwa nje ya Yanga. Kumbuka Manji alijiingiza Yanga wakati akiwa katikati ya shutuma nyingi kuhusiana na NPF na jengo la Plaza. Na kweli alipojiingiza shutuma zilipoa.
 
Angebaki bench lingemuhusu huyu..!!sio kwa straika hyu anaekuja kutoka ghana,jtatu anatambulishwa rasmi..hongera ajib kwa kuwa na machale!!
Hata kwa Blagnon mlisema hivyo hivyo
 
Mbona awasemi mkataba wake ni Tsh ngapi? au kakimbia bench Simba maana uzuri wa ngoma ucheze nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…