jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 536
- 3,289
Hizi hesabu za wapi!?.. 10mbps = 10 megabytes per second. Per = / . (hii alama / inasimamia per kwenye hesabu). Hiyo kugawia 8 umeipata wapi!?.. Nakupa mfano 100 kilometers per hour = 100 km/h = 100 kmph. Aliyekwambia habari za kugawia 8 kakuingiza chaka.Mbps= megabits per second
Ukitaka kupata mb/seconds unagawa mbps kwa 8 kwa maana kwamba 10mbps=1.25 mb/sec hii spidi ni ndogo kwenye ku download files kubwa ila kwa ku stream , video confrence ,picture uploading & downloading ni spifi nzuri.
Mbps= megabits per second
Ukitaka kupata mb/seconds unagawa mbps kwa 8 kwa maana kwamba 10mbps=1.25 mb/sec hii spidi ni ndogo kwenye ku download files kubwa ila kwa ku stream , video confrence ,picture uploading & downloading ni spifi nzuri.
tigo wanasema wakitoka dar wanaenda dodomaWa mikoani itachukua muda kupata hiyo fiber
mkuu umempinga halafu ukaweka screenshot ya kuungana naye. hapo kwenye that means 10 mb file will take 8 seconds to download ikiwa ina maana kama maelezo yako wewe unayepinga yangekuwa sahihi lingechukua sekunde 1
Yah wako mpaka mbweniWametandaza fiber mbweni pia, speed nzuri hela ndogo. Hopefully watamantain ubora.
Nipe link ya file kubwa nijaribu, na nikupe real time screenshot. Nitatumia IDMmfano movies za ukubwa wa GB 3 na kuendelea ni mzuri?
Hio ni Upload Speed sio Download speed. Kwenye matumizi ya ku download 10 Mbps = 10 megabytes per second. Watu wengi wanatumia zaidi internet ku download na ku stream. Na 10 Mbps maana yake ni 10 megabytes per second. Per = /. Hiyo ni kwenye units zote, kilometers, miles, kilogram, newtons, liters etc. mfano 10 liters per hour = 10 liters/hour = 10 lph . Hiyo ni kanuni ya kihesabu. Mambo ya download na upload ni story nyingine.mkuu umempinga halafu ukaweka screenshot ya kuungana naye. hapo kwenye that means 10 mb file will take 8 seconds to download ikiwa ina maana kama maelezo yako wewe unayepinga yangekuwa sahihi lingechukua sekunde 1
Hivi speed ya internet (mb/s) inapungua kutokana na idadi ya watumiaji ? Let say una access ya 100mb/s mkitumia watu 10 inakuwa 10mb/s au inabaki ileile 100mb/s ???Hiyo ni sawa mkuu nasema ile kuuza unless labda unawauzia wanakuwa eneo hilo la biashara yako kama inavyokuwa kwa internet caf'e. ila yote yanawezekana ni mawao yangu. mimi tigo walikuwa wamenishauri tuungane na majirani tulipie kifurushi cha 210000 so watupatie mbs 100 which means kila mmoja atakuwa amelipa 70000 lakini mbs 100 ukigawa kwa tatu so ni kama mtu anapata mbs 30.3 which kwa download speed itakuwa kama mbs 4 hivi. sema majirani hawasomeki.
Asante mkuu, kwa mfano nikihitaji huduma kama hii yako naweza kuipata kwa ghrama kiasi gani?Bill yako ni timebased kwa speed unayolipia, mfano 10mbps au 40mbps, na sio data based, GB fulani kwa mwezi hapana, , Ni Matumizi ni bila kikomo cha GBs. (Mimi mtumijia wa Airtel 10mbps) bila shaka na hawa fiber ni time based, na sio data based. Hivyo ondoa shaka katika matumizi.
=
View attachment 3070380
Kwa siku 15 hadi sasa , Mwezi huu August, nimetumia 237GB, Matumizi yangu, si makubwa, kwa mwezi huwa ni kati ya 500-600GB kwa mwezi.
Kama unataka WiFi kwa ajili ya movies na matumizi ya ghetto lako chukua hiyo 10mbps inatosha. Movies si hata zikichelewa unaweka laptop usiku inalala inapakua hata files kumi na ngapi.Mkuu vipi hyo 10 mbps unaonaje speed yake kwenye kudownload mafile makubwa mfano movies za ukubwa wa GB 3 na kuendelea ni mzuri?
Unlimited ya Airtel kwa ajili ya biashara unahitajika uwe na leseni yake, kisha ulipie deposit ilikuwa 200,000 kwanza. Upewe router ambayo ina battery ndani hata umeme ukikata unatumia kwa masaa kama 5-6. Malipo kwa mwezi ni 70,000 ila nimesahau kama ni 10 au 20mbps.Naam mkuu. Nashukuru kwa maelezo yako, je inaweza kugharimu kiasi gani hiyo unlimited wi-Fi?
aisee ndo uzuri wa kushindana. TTCL wao wapo wapo tu hivi wateuzi wa wakurugenzi wa ttcl huwa hawaoni
Asante mkuu, kuna fiber ya TTCL karibu haizidi hata mita 40 toka nilipo. Sasa mkuu mimi nahitaji kwa ajili ya biashara, je ninaweza kuanza na ambayo siyo ya biashara alafu baadae nika upgrade kwenda ya biashara? Naomba ushauri wako lipi ni sahihi zaidi? AsanteUnlimited ya Airtel kwa ajili ya biashara unahitajika uwe na leseni yake, kisha ulipie deposit ilikuwa 200,000 kwanza. Upewe router ambayo ina battery ndani hata umeme ukikata unatumia kwa masaa kama 5-6. Malipo kwa mwezi ni 70,000 ila nimesahau kama ni 10 au 20mbps.
Ukichukua isiyo ya biashara utalipia 110,000 kila mwezi ila nasikia hutangulizi ile 200,000.
Kwenye fiber hapo sasa ujue kwanza kama kuna nyaya zinapita karibu yako na ni za kina nani, sio uende TTCL kuomba kufungiwa wakati nyaya zao zinaishia 10km kutoka ulipo mwishowe uwe muanzisha nyuzi humu za kuwalaumu.
TTCL inakubali, nilikuwa nazungumzia kwa Airtel router ndio wana package ya biashara na nyumbani.Asante mkuu, kuna fiber ya TTCL karibu haizidi hata mita 40 toka nilipo. Sasa mkuu mimi nahitaji kwa ajili ya biashara, je ninaweza kuanza na ambayo siyo ya biashara alafu baadae nika upgrade kwenda ya biashara? Naomba ushauri wako lipi ni sahihi zaidi? Asante
Je hiyo ya TTCL inaweza kuwa na package za kibiashara pia mkuu?TTCL inakubali, nilikuwa nazungumzia kwa Airtel router ndio wana package ya biashara na nyumbani.
TTCL unalipia 54,000 kwa mwezi kama bado ndio hiyo. Hakuna gharama ya ziada kwenye kufunga. Unafanya application online, kama ipo karibu basi chunguza jirani gani anayo umuulize hata effectiveness. Kuna baadhi ya lines zinakatika hovyo labda miundombinu yao ina usumbufu. Hata hivyo TTCL wana usumbufu kiasi ninavyojua, ni public company hata wakicheza bao ofisini mishahara wanapata tu.
Kuna threads nyingi humu kuwa ttcl wanaringa yani kukufungia eti ni kama wanakupa msaaadaTTCL inakubali, nilikuwa nazungumzia kwa Airtel router ndio wana package ya biashara na nyumbani.
TTCL unalipia 54,000 kwa mwezi kama bado ndio hiyo. Hakuna gharama ya ziada kwenye kufunga. Unafanya application online, kama ipo karibu basi chunguza jirani gani anayo umuulize hata effectiveness. Kuna baadhi ya lines zinakatika hovyo labda miundombinu yao ina usumbufu. Hata hivyo TTCL wana usumbufu kiasi ninavyojua, ni public company hata wakicheza bao ofisini mishahara wanapata tu.
Hamna haja ya kubadili password..Hii password nabadili mimi?
Ushamba mzigo ujue😅
Asante mkuu, kwa mfano nikihitaji huduma kama hii yako naweza kuipata kwa ghrama kiasi gani?
Gb 3 siyo file kubwa, hata gb 10, 20, 30 siyo files kubwa hizo. Gb 3 zako unazishusha ndani ya nusu saa tu kwa hiyo speed, ikienda sana haizidi lisaa.Mkuu vipi hyo 10 mbps unaonaje speed yake kwenye kudownload mafile makubwa mfano movies za ukubwa wa GB 3 na kuendelea ni mzuri?