sasa hapa umenieleza kitu, kumbe ukilipia 110000 wanakupa router bure ila utaendelea kulipia 110000 kila mwezi, kumbe ukilipia kiasi hicho baada ya hapo unalipia 70000. Ina ping ya ngapi hiyo?Fika kwenye ofisi za Airtel , Waambie unataka Router: Model X28 - 5G smart Box
Hakikisha unakuwa na:
- Nakala ya TIN number.
- Kiasi cha fedha TZS 270,000 ( hii fedha iweke kwenye moja ya laini zako za Airtel) | Hii ni ghrama ya router na package ya 10mbps kwa mwezi mmoja. Baada ya mwezi kwisha utaenedlea kulipia 70,000
Unaangalia nani kaconnect halafu unamuondoa nuda ukishaisha. Japo unlimited internet sio kitu cha kumnyima mtu.Natamani ingekua na option ya time limit baada ya kumuwekea
Na huu ndio mtego, Kilio cha wengi, Na ukiungwa 110K, huwezi kushuka kuja package ya chini 70K.110000 wanakupa router bure ila utaendelea kulipia 110000 kila
Basi nilikuwa sijui maana nimetumia ya rafiki yangu analipa kiasi hichoNa huu ndio mtego, Kilio cha wengi, Na ukiungwa 110K, huwezi kushuka kuja package ya chini 70K.
Nafuu inageuka kuwa gharama.
Ina ping ya ngapi hiyo?
Kumbe ni nzuri.
Shukrani sana mkuu. Hii ninaweza kuitumia kibiashara kwa kuvutia wateja kwenye eneo langu na hata kuuzia wateja wengine data?Fika kwenye ofisi za Airtel , Waambie unataka Router: Model X28 - 5G smart Box
Hakikisha unakuwa na:
- Nakala ya TIN number.
- Kiasi cha fedha TZS 270,000 ( hii fedha iweke kwenye moja ya laini zako za Airtel) | Hii ni ghrama ya router na package ya 10mbps kwa mwezi mmoja. Baada ya mwezi kwisha utaenedlea kulipia 70,000
Ndio waweza unga wengine, Maximum ni watumiaji 64.Hii ninaweza kuitumia kibiashara kwa kuvutia wateja kwenye eneo langu na hata kuuzia wateja wengine data?
Asante kwa kunielewesha kakaHamna haja ya kubadili password..
Kwenye setting kuna option ya kuweka data limit, mfano unamuwekea gb 2, akizitumia zikiisha tu hapati internet tena.
Halotel ni safi, kwa 95k unapata 40mbps, speed ni bomba saana, sijutii, ila router yao haina nguvu saana, nimeifunga ndani ila nikitoka nje, nikasogea kidoogo nyumba ya pili hakuna kitu.Kazi nzuri kwa fiber, naona Halotel wanafunga kwa bei ya kutupa sijui nani atupe experience.
Mkuu umetisha sana, Je una uzoefu kidogo kuhusiana na TTCL fiber, maana eneo ilipopita na nilipo mimi haizidi mita 40, wameichimbia chini, Je unawazungumziaje hao over Airtel in terms of cost na ubora wa huduma namna inavyotolewa?Ndio waweza unga wengine, Maximum ni watumiaji 64.
=
Picha nimeunga kwa watu kadhaa. Na kila mmoja anafurahia unlimited internet kwenye kifaa chake/ TV yake
View attachment 3070558
ππππππ ok nitatumia maelezo ya kwenye picha yako uliyoituma mkuu ,Kama file la mb 10 linatumia sekunde 8 ku download je? Sekunde moja nita download mb ngapi?
Sio wa mikoani tu,hata dar maeneo ya nje ya mji itachukua muda piaWa mikoani itachukua muda kupata hiyo fiber
41 minutes to be exact na inaweza kuzidi hadi lisaaa limoja 10mbps ni equivalent ya 1.25 mb/second kwa spidi hiyo kushusha gb 10 litachukua masaa mawili na nusu(theoretically) au zaidi na inaweza kuzidi hadi masaa matatu inategemeana na muda anaotumia hiyo net pia .Gb 3 siyo file kubwa, hata gb 10, 20, 30 siyo files kubwa hizo. Gb 3 zako unazishusha ndani ya nusu saa tu kwa hiyo speed, ikienda sana haizidi lisaa.
Nunue router za Airtel ni nzr. Laki mbili tu.Wa mikoani itachukua muda kupata hiyo fiber
Naunga mkono hojaSio wa mikoani tu,hata dar maeneo ya nje ya mji itachukua muda pia
Kuna bit na byte, kila byte moja ina bit 8, kwenye kifupi bit inakuwa na b ndogo na byte inakua na B kubwa.Hizi hesabu za wapi!?.. 10mbps = 10 megabytes per second. Per = / . (hii alama / inasimamia per kwenye hesabu). Hiyo kugawia 8 umeipata wapi!?.. Nakupa mfano 100 kilometers per hour = 100 km/h = 100 kmph. Aliyekwambia habari za kugawia 8 kakuingiza chaka.
Point yangu haikuwa hiyo, point yangu ni 10 Mbps = 10 mb/sec = 10 megabytes per second PERIOD na maana yake ni megabytes kumi kwa sekunde. Hayo ya sekunde 8 ni variations. 10 kmph = 10 km/hr = kilomita 10 kwa saa. Nilimkosoa sababu kaeleza as if 10 Mbps ni kitu tofauti na 10mb/sec ndo maana nimemwambia PER = na hii alama /.ππππππ ok nitatumia maelezo ya kwenye picha yako uliyoituma mkuu ,Kama file la mb 10 linatumia sekunde 8 ku download je? Sekunde moja nita download mb ngapi?
Kwa kukurahisishia
10mb=8 seconds
X=1 second
Cross multiplication hapo unapata
X=(10mb/8 seconds)= 1.25 mbs per seconds kitu kile kile nilichokiandika mwanzo .
Infact theoretically ni 1.25mb/sec ila ukiweka factors nyengine nyingi zinashusha hizo mb so max nitaipa kama 900kb/sec hadi 1024kb/sec.
We omba ya matumizi ya nyumbani (shared) then fungua kwenye biashara yako cha muhimu iwe unlimited, ukiomba ya biashara (dedicated) utashangaa unaambiwa milioni kadhaa kwa mwezi.Asante mkuu, kuna fiber ya TTCL karibu haizidi hata mita 40 toka nilipo. Sasa mkuu mimi nahitaji kwa ajili ya biashara, je ninaweza kuanza na ambayo siyo ya biashara alafu baadae nika upgrade kwenda ya biashara? Naomba ushauri wako lipi ni sahihi zaidi? Asante
Shukrani mkuu, kuna kitu nilikuwa nachanganya bits na bytes.πKuna bit na byte, kila byte moja ina bit 8, kwenye kifupi bit inakuwa na b ndogo na byte inakua na B kubwa.
Mtu akisema 8mbps inakuwa ni sawa 1mBps.
Wauza internet wanatumia bits ili ku inflate hizo figures zionekane kubwa ila computer OS kama windows na Android tunatumia bytes