Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Exposure ya Diamond ni ndogo, anahisi hapa Tanzania ana pesa nyingi, kumbe kuna watu

Mwanza Kule kuna watu wana mikwanja ,Arusha huko nako wapo Dar ndio kbsaaa na wote wala hajawakarbia kimkwanja hpo kuwa tu tajiri namba 1 wa Tz ni kimbembe kwake.

Kina Drogba, Akon ,Samwel Eto'o wanamiliki migodi mikubwa sana huko makwao na wamejengea vijiji vyao mahospital, shule, umeme endelevu lkn ht top 500 Africa hawapo.

Ronaldo, Messi, Mbappe, Mansour mmiliki wa Man city, Toddy Boehly mmiliki wa Chelsea wana mikwanja mirefu ila top 500ya matajiri wa dunia hawapo kbs, Jiulze kwa huyu msela wetu! Watu wakishatunza B10 Bank wanahisi tyr ni matajiri ooh!
wewe una bilioni ngapi? hata buku benki inawezekana huna🤣🤣
mtu hata mwenye uwezo wakusave hata milioni moja usimzarau anaweza kukushangaza

sembuse mondi mwenye bi kadhaa benki?anauwezo wakuanzisha biashara yoyote na ikasimama mapema tuu
 
Hawezi kuwa tajiri no 1 kwakuwa hajawahi kujiweka katika matajiri kwanza kabla ya kifikiria dunia inatakiwa awe tajiri no 1 Tanzania kwanza hapa penyewe bado anawaza duniani ona mantki yangu kama unataka ubishi endelea mm nakuacha ila kwa exposure yake hata aishi miaka 1000 hawezi kuwa tajiri no 1 duniani
Ulivyosema anajitafuta umenishangaza kidogo mtu anajitafuta anakuaje na media ambayo ni kubwa, record label, ananyumba nyingi amepangisha,kampuni ya betting, na ni ambassador wa makampuni makubwa kama airtel,Pepsi n.k unasemaje anajitafuta?
 
Aliyoyasema diamond yupo sahihi yote yanapatikana kwenye kitabu cha the magic of THINKING big elevate your thinking and believe in yourself and release your inner power.
 
Ulivyosema anajitafuta umenishangaza kidogo mtu anajitafuta anakuaje na media ambayo ni kubwa, record label, ananyumba nyingi amepangisha,kampuni ya betting, na ni ambassador wa makampuni makubwa kama airtel,Pepsi n.k unasemaje anajitafuta?

acha kukariri mkuu
 
Labda namba moja kwa utajiri Tandale au Madale

Tukimpa Salaah tu anamgalagaza hadi anaomba poo ,yaani hela ya airtel,pepsi,youtube ndiyo impe jeuri ya kuwa namba moja? Radio ,Wasafibet hapo kuna MAJENGEKA mengi sana ya kuwekwa FRONT kibiashara.

Kama Cristian anaingiza zaidi ya bilioni 8 kwa post moja tu insta lakini hayupo hata kwenye Top 1000.

Dayamondi una utajiri wa kibongo tu aliousema afande sele kwenye karata Dume.
 
Hyo ni plan yake...anataka hivyo akishindwa ni sawa lakin amejaribu...ulitaka asiwe na malengo?
Kuwa tajiri haliwezi kuwa lengo, Utajiri ni matokeo ya lengo, Sasa atuambie ana lengo gani ambalo ana amini litamfanya awe tajiri no 01 hapa Duniani
 
wewe una bilioni ngapi? hata buku benki inawezekana huna🤣🤣
mtu hata mwenye uwezo wakusave hata milioni moja usimzarau anaweza kukushangaza

sembuse mondi mwenye bi kadhaa benki?anauwezo wakuanzisha biashara yoyote na ikasimama mapema tuu
Wewe nae ni kiande km viande wengne mzee😁 mm kutokuwa na buku bank Haitoi ukweli kwamba hakun mtz atakuj kuwa Tajiri namba 1 duniani.

Huyo Mond pale Kawe hafui dafu, mnapamba ujinga tu.
 
Diamond karopoka bangi sio nzuri yaan kimantiki ni ngumu hawezi kuwa tajiri no 1 hata akiishi miaka 1000 kwa exposure yake
Sheria ya ulimwemgu inasema kama huwezi na hujawahi kupata 50 katika jambo lako usitegemee kupata 100
Tafuta 10 kisha 30 kisha 50 kisha 70 kisha 90 kisha 100
Sasa wewe hata matajiri 100 Tanzania haupo unataka uwe no 1 duniani
Kwanini asifikirie kuwa tajiri no kwanza Bongo kisha Africa
Mfano Dangote akisema nataka kuwa tajiri no 1 duniani unamuelewa sio Diamond wakina Pidddy Na Jay Z pamoja na kuwa exposure zote hata orodha ya kufikiria kuwa tajiri no 1 wanajua ngumu
Tunaishi kwa ndoto lkn sio ndoto hizo hayo ni matumizi mabaya ya akili au madawa
Huwezi kufikiria kupata 100 kama hujawahi kupata hata 50 pata kwanza 50 kuwa Tajiri no 1 Tz
Exposure Exposure Exposure
 
Nyie ndo mnashtukiaga mmepewa mirinda orange kwenye vikao vya ukoo kwa sababu mnakuwa masikini alafu wajuaji
 
Kama sijakosea nasikia wiki hii Bwana Elon Musk kupitia kampuni yake ya Space X wamefanya utalii wa kwanza kwenye space. Wataalamu naomba mje mseme wale mabilionea walioenda walilipa kiasi gani ? Kwa pesa za kitanzania ni sh ngapi ? Walifanya simulation kwa kipindi kipi ? Kuwa tajiri namba moja kwenye huu ulimwengu si mchezo, Ila kikubwa Mungu yupo na anajibu kadri ya unavyoomba na maono yako....
 
mtoa mada yupo sahihi ,ili mtu uwe tajiri kuzidi wengine kuna mambo mengi ya kuangalia...nayaelezea
1: level ya uchumi wa nchi uliyopo ..hii ina maana kuwa level ya uchumu wa tz inabidi iwe inaendana na uchumi wa dunia ya ulimwengu wa kwanza...hii ina maana awapite matajiri wote tz kama kina mo,bakhresa na wengineo ndo anaweza kuanza kuota ndoto za namna hii
2:aina ya kazi anayofanya,matajiri wengi duniani wanadeal na teknolojia sasa yeye sidhan kama ana ishu yoyote ya kiteknolojia anayojihusisha nayo
3:race yake....hapa kwa kuwa yeye ni mtu mweusi tena wa afrika ya mashariki ni ngumu watu weupe kumruhusu awe tajiri kuliko wao na wanaweza kumhujumu kwa namna yoyote asiingie kwenye list ya matajiri wa dunia japo 10 bora.nafkiri hii ni sera waliiweka wazungu kuzuia race zingine zisifanikiwekuwazidi wao...
4:elimu ...japo hii sababu haina mashiko sana kwenye utajiri wa mtu lakin ukiangalia matajiri wengi wana elimu angalau ya chuo kikuu...wachache chini ya hapo.sasa mwenzangu diamond nadhan ni form 4 na sidhan kama ana mpango wa kujiendeleza maana ukishakuwa na hela suala la kukaa chini kusoma inakuwa mtihani.
sababu zingine wadau watajazia nyama
 
mtoa mada yupo sahihi ,ili mtu uwe tajiri kuzidi wengine kuna mambo mengi ya kuangalia...nayaelezea
1: level ya uchumi wa nchi uliyopo ..hii ina maana kuwa level ya uchumu wa tz inabidi iwe inaendana na uchumi wa dunia ya ulimwengu wa kwanza...hii ina maana awapite matajiri wote tz kama kina mo,bakhresa na wengineo ndo anaweza kuanza kuota ndoto za namna hii
2:aina ya kazi anayofanya,matajiri wengi duniani wanadeal na teknolojia sasa yeye sidhan kama ana ishu yoyote ya kiteknolojia anayojihusisha nayo
3:race yake....hapa kwa kuwa yeye ni mtu mweusi tena wa afrika ya mashariki ni ngumu watu weupe kumruhusu awe tajiri kuliko wao na wanaweza kumhujumu kwa namna yoyote asiingie kwenye list ya matajiri wa dunia japo 10 bora.nafkiri hii ni sera waliiweka wazungu kuzuia race zingine zisifanikiwekuwazidi wao...
4:elimu ...japo hii sababu haina mashiko sana kwenye utajiri wa mtu lakin ukiangalia matajiri wengi wana elimu angalau ya chuo kikuu...wachache chini ya hapo.sasa mwenzangu diamond nadhan ni form 4 na sidhan kama ana mpango wa kujiendeleza maana ukishakuwa na hela suala la kukaa chini kusoma inakuwa mtihani.
sababu zingine wadau watajazia nyama

hicho kipengele namba 4 ni takataka.
 
Back
Top Bottom