Ezekiel Kamwaga: Taratibu tatizo la Ushoga linakuzwa sana japo lipo mbali sana kati ya matatizo yanayotukabili

Nlikua nakuona mtu wa maana Sana kaka, kumbe wa hovyo kabisa
 
W
Ukanda wa Africa Mashariki una watu wengi sana wenye akili ndogo. Watu wenye akili ndogo ndio huwa wanapenda kujikita kwenye petty issues na maisha binafsi ya watu wasiowahusu.
Wallah your GAY
 
Kimsingi kunapesa nyingi zimemwaga kwaajili ya hii ajenda wanufaika watajuta baadae
 
Kama sio delicious basi mtumiaji ila anazuga kwa nakala ndefu
 
Pamoja na kuwa tunamatatizo mengi ila haituzuii sisi kama raia au taifa kuukemea ushoga. Yeyote anayefikiria kuwa ushoga sio tatizo kiivyo na hatupaswi kushughulika nao atakuwa anatukosea sana sababu hakuna muda sahihi wa kuanza kukemea ushoga na tusipoziba ufa tutajenga ukuta.
 
Ushoga ni tatizo kubwa sana na ni laana.. mtu mwenye akili zake timamu hawezi kuutetea asilani abadan!
 
Mleta mada akili yake anaijua mwenyewe.
 

Kati ya nyie na nchi zilizohalalisha ushoga zipi zina uchumi mkubwa na zimeendelea?

Unaweza kupinga ushoga ila jenga hoja zenye mashiko. I don't condone ushoga ila sababu zenu nyingi ni za kijinga.
 
Tuwe tunatumia akili kufikiri na siyo kama kutumia makalio aise.Yule mtafiti ameonyesha kuwa Kuna nguo na perfume vimetengezwa mahususi kabisi tutoa hormoni za kike na kumwingia Mtoto wa kiume kumbadirisha awe shoga.kwako hili unaona ni sawa TU.we huoni ni tatizo? We huoni ni sawa na dawa za kulevya zinazoharibu Mtoto wa Africa awe zezeta Ili mzungu aje abebe rasimali za Nchi? Mie nakwambia ningekuwa ndiye raisi hawo Wote wanaopromote ushoga na kamata na kutwanga risasi
 
Binafsi unawajua mashoga na wasagaji wangapi? Sio wa kusimuliwa.
Amandla...
 
Nyie ndio mlioamini kuwa Bill Gates ameweka microchip katika chanjo za Covid.

Amandla...
 
Ukanda wa Africa Mashariki una watu wengi sana wenye akili ndogo. Watu wenye akili ndogo ndio huwa wanapenda kujikita kwenye petty issues na maisha binafsi ya watu wasiowahusu.
Nyie watu wenye akili kubwa mnashughurika na yanayo wahusu?, au nyie ndio mawakala wa ushoga?,au shoga kabisa?,
 
Kwa hiyo tunasubiri mpaka litakapokuwa karibu. Yaani kwa lugha nyingine bwana ezekiel anasubiri hadi kijana wake wa kiume siku amuage nyumbani kuwa anaenda kulala kwa bwana wake.
Kisa tu anaripotia BBC!. Tayari kaanza kuhamasishwa ushoga,
 
Kwa mtu makini, mcha Mungu au mwenye hofu ya Mungu ushoga sio kitu cha kuacha kukemea au sio kitu cha kuteteta kabisa! Huu ni ushetani na upumbavu wa hali ya juu!
 
Ukanda wa Africa Mashariki una watu wengi sana wenye akili ndogo. Watu wenye akili ndogo ndio huwa wanapenda kujikita kwenye petty issues na maisha binafsi ya watu wasiowahusu.
Kwa 100% unaonekana wewe ni mse**
Kumbuka Sodoma na Gomora, kumbuka wewe ni wa Jehenamu milele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…