Ezekiel Kamwaga: Taratibu tatizo la Ushoga linakuzwa sana japo lipo mbali sana kati ya matatizo yanayotukabili

CHADEMA washajipigia mihela kutoka kwa mashoga sasa hivi wako zào kimya. Karibu vyama vyote vya upinzani Afrika wanalaani matamko ya VP Kamala lakini CHADEMA wao kimya. Hiki chama kitaendelea kupata adhabu kwenye sanduku la kura kwa muda usiojulikana.
 
Hauna unalojua. Unashindwa kuitetea hoja yako. Shida yenu vijana wa siku hizi mnadhani kwa sababu mnajua kiingereza basi wengine wote ni idiots. Utasemaje kuwa utakuwa unapoteza muda kutafuta kitu ambacho umesema kwa uhakika kipo? Si nenda moja kwa moja kwenye chapter inayohusika?

Nimekuuliza basic question kuwa uwapo wa mashoga unakuathiri vipi umeshindwa kujibu.
Acheni kuwa mavuvuzela.

Amandla...
 
MASHOGA MASAGAJI YAMEANZA KUSEMA TUNAKUZA SANA KUONGELEA USHOGA.... Mapumbavu yanataka tuendelee kukaa kimya yaharibu watoto na vijana... Huyo Ezekiel Kamwaga naye achunguzwe mwanaume gani ana nawiri vile
 
Siku tukija kushtuka kuwa walipokea fungu kimkakati tutakuwa tushapotea sana.

Tupo hapa tutakuja kuambizana siku sio nyingi. Naungana kabisa na Ezekiel Kamwaga.
 
Kamwaga kwa ili hapana ,heri tuwe masikini kuliko kuwa mashoga
 
Ana hoja kuhusu viongozi wetu lkn Hana hoja kuhusu ushoga.

Ameonyesha akili halisi za kitanzania. Watanzania hatushughuliki na chanzo cha tatizo tunasubiri Hali imekuwa mbaya tunaanza kuhangaika na matokeo ya tatizo.

Ni kweli tuna tatizo la ajira, lkn tunaelekea yanayoendelea mpaka huko shule za msingi na sekondari watoto na vijana kulawitiana.?

Kwanini ushoga siyo agenda? Tuiache ushoga ushamiri halafu tuuache, tushughulije na ajira, Zitakuwa ajira za mashoga kwa wakati huo.

Ajira Ni tatizo na ushoga Ni tatizo pia linalochipukia kwa kasi. Lazima kila mtu apaze sauti.

Kuna wakati mtu unakuwa na mashaka na maandishi fulani. Ukajiuliza huyu naye Ni mmoja wao anayewasapoti au vipi.

Huku mtaani vijana wa kiume wanakulana haswaa. Kizazi kinakwenda kuangamia.
 
Wewe na huyo shoga mwenzio tutawashughulikia. Ushoga hautakiwi Tanzania.
 
Wabunge, VIONGOZI wa Serikali,wa DINI na MADHEHEBU wako busy kuonyesha ni kwa jinsi gani wanakerwa na USHOGA...

Kweli wanaonyesha wana UCHUNGU na HASIRA sana juu ya USHOGA ila wanachokifanya hakisaidii kumaliza wala kupunguza USHOGA maana hakuna hata mmoja anawaeleza WANANCHI na WAUMINI jinsi ya kukinga na kuokoa watoto na kizazi kijacho kuguswa na hii laana..

Mzazi uliwahi saa 8 kwenda Kanisani kwa MWACHA au MWAMPOSA kukemea pepo la USHOGA kabla mwanao hajarudi toka shule ambako hujui alishindaje na usiku yuko kulala chumba kimoja na mjombake au babaye mdogo mpaka saa 8 unaporudi nyumbani!!! Halafu unategemea asiliwe ndogo kweli????

Viongozi wa dini kazi ni kukemea tu mapepo zaidi ya hapo mnatuambia TUCHUKUE KADI ZA WATOTO za PARTNERSHIP za malaki eti MUNGU atapokea maombi yenu....😂😂😂😂

Hivi mnapotuambia kwamba TAIFA liombe kwa nguvu zote, kwani hiyo miaka yote USHOGA si ulikuwepo na waombaji pia walikuwepo?

PAMOJA NA HAYO ILA AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO..
 
Serikali ichague, iwaue wote au ikae kimya

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tukimaliza kuwaua mashoga tutawaua wanawake wote wenye ndevu, kisha wanaume wote wenye maziwa na shape za kike kama mzee kizota, kisha tutageukI wote wenye makengeza, kisha wafupi wote, wenye matende na mabusha wote , warefu wote, wanaume wote wenye sauti nyororo, wake wote wanaotembea kMa madame nk
Hapa nani atapona?
 
Tukupe 500/= uanze biashara ndugu mchangiaji?
 
Bora umuambie huyooo.
 
Hawana hoja zaidi ya mihemko isiyo na maana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huna hojaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku tukija kushtuka kuwa walipokea fungu kimkakati tutakuwa tushapotea sana.

Tupo hapa tutakuja kuambizana siku sio nyingi. Naungana kabisa na Ezekiel Kamwaga.
Watu hawawezi kukuelewaa hapaaa, wamejaa mihemko isiyo na maana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…