Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Facebook bado ni baba wa mitandao Tanzania

Hizo hesabu zako umezipigaje mkuu?

Unaweza kuzinyumbuisha kidogo?
Hizi data ni ujinga mtupu

Trillion 90 gawanya kwa milion 30 ambao ni watumiaji wa internet wote Tz

90,000,000,000,000/30,000,000 unapata 3,000,000!! Kwa io Ina maana Kila mtu anatumia gb 3,000,000 ndani ya miezi mitatu!

Gawa 3,000,000 kwa siku 90 unapata 33,333

Kwa io wanataka kutuambia Kila mtz anatumia gb 33,333 kwa siku kwa ajili ya Facebook


Ujinga tu
 
Gb 1 kwa sasa ni sh 2000

Hizo gb til. 90 x 2000?

Kumbe hawa washenzi tumewatajirisha kiasi hiki?
 
Hizi data ni ujinga mtupu

Trillion 90 gawanya kwa milion 30 ambao ni watumiaji wa internet wote Tz

90,000,000,000,000/30,000,000 unapata 3,000,000!! Kwa io Ina maana Kila mtu anatumia gb 3,000,000 ndani ya miezi mitatu!

Gawa 3,000,000 kwa siku 90 unapata 33,333

Kwa io wanataka kutuambia Kila mtz anatumia gb 33,333 kwa siku kwa ajili ya Facebook


Ujinga tu
Yes possible Kuna watu wanaotumia Gb za Facebook kupost videos live streaming n.k
 
Jf wenyewe wana Page za FB na IG ili kuwafikia watumiaji wengi
 
Hizi data zina walakini.
Maana ukigawa ni kwamba kila mtu hutumia GB 33,330
Ambapo ni wastani wa Tsh Milioni 33,000,000 kama GB 1 itauzwa 1000
 
Takwimu za TCRA zinaonyesha kwamba mtandao wa kijamii wa facebook unaimilikiwa na kampuni ya meta bado ndio mtandao unaotumiwa na watu wengi zaidi Tanzania kuliko mtandao wowote ule.

Kwa mujibu wa TCRA, kiwango cha data kinachotumika kwenye Mtandao wa facebook ni sawa na data zinazotumika kwenye mitandao mingine yote kwa pamoja.

Ushauri, kama wewe ni mfanyabiashara, wekeza zaidi Facebook na kuweka matangazo ya bidhaa zako zaidi Facebook kuliko kwenye WhatsApp Status na mitandao mingine.

View attachment 2510888
Acha tuendelee kutumia Twitter wachache........... vitoto vyote vinavyobalehe huko ndiyo wanaanzia maisha
 
Hizi takwimu nina wasiwas nazo. Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2.

Wastani tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Inawezekana kuna ma free WIFI kwenyenmaofisi huko watu wengi 24 7 wapo online na ni humo wanashinda.
 
Takwimu za TCRA zinaonyesha kwamba mtandao wa kijamii wa facebook unaimilikiwa na kampuni ya meta bado ndio mtandao unaotumiwa na watu wengi zaidi Tanzania kuliko mtandao wowote ule.

Kwa mujibu wa TCRA, kiwango cha data kinachotumika kwenye Mtandao wa facebook ni sawa na data zinazotumika kwenye mitandao mingine yote kwa pamoja.

Ushauri, kama wewe ni mfanyabiashara, wekeza zaidi Facebook na kuweka matangazo ya bidhaa zako zaidi Facebook kuliko kwenye WhatsApp Status na mitandao mingine.

View attachment 2510888
Jamii forum yangu haipo hapo jamani..
 
View attachment 2511113

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022
Hizi ni statistics za Tanzania au za dunia nzima?
 
View attachment 2511113

Watumiaji wa Facebook wametumia kiasi cha Gigabytes (GB) Trilioni 90.1 katika kipindi cha Robo ya mwisho ya mwaka 2022 (Oktoba - Desemba).

Mtandao wa YouTube unafuatia kwa Watumiaji wake kutumia kiasi kikubwa cha Intaneti kilichofikia Gigabytes (GB) Trilioni 34.97 kwa kipindi cha miezi 3.

Kwa mujibu wa Ripoti ya Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA), idadi ya Watumiaji wa Intaneti hadi kufikia Desemba 2022 ilikuwa Milioni 31.1.

TCRA 2022
Ripoti za kuvuta wawekezaji hizi ilabhakuna uhalisia hapo.
 
Kupost chochote kwenye mtandao Tanzania ni lazima uwe na leseni. Nchi nyingi watu wamechangamkia kupost YouTube bila ya kuwa leseni na inawalipa. Kwanini TCRA wameweka Sheria hizo ambazo zinabana watanzania kujitangaza na kunufaika na malipo kutoka youtube na kusaidia kukuza uchumi na mzunguko wa pesa.
 
Hizi takwimu nina wasiwas nazo. Hii ina maanisha kwa kila mtanzania anatumia zaidi ya Gb 1000 kwa jumla ya miezi 2.

Wastani tanzania nzima tupo mil. 60.. kwa hyo tukiangalia kimahesabu hapo kwa kila mtanzania anatumia gb1000 kwa miez 2.

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Umejiuliza wanaotumia wi-fi wanatumia MBs ngap kwa siku?

Mfano wew ukipata nafasi ya kutumia wi-fi huwa unatumia MBs ngap kwa muda mchache tu
 
Umejiuliza wanaotumia wi-fi wanatumia MBs ngap kwa siku?

Mfano wew ukipata nafasi ya kutumia wi-fi huwa unatumia MBs ngap kwa muda mchache tu
Hata kama.... Mzee gb 200000 kwa miez 2 sio mchezo.. kwa wastan kwa siku unatumia gb 9000 ... Je inawezekana

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana kuna ma free WIFI kwenyenmaofisi huko watu wengi 24 7 wapo online na ni humo wanashinda.
Ofosi gan kwa siku watu wanatumia gb 4500 kwq facebook peke yake... Yaan kwa wastan kwa aiku kila mtu anatumia gb 4500 kwa kila mtanzania

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Hata kama.... Mzee gb 200000 kwa miez 2 sio mchezo.. kwa wastan kwa siku unatumia gb 9000 ... Je inawezekana

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Hapana, siwezi kutumia GB 10,000 kwa mwezi. Lakini wao wanatumia neno watanzania kwa sababu takwimu ni za Tz.
Hata km yapo makampuni na taasisi zinazotumia FB kufanya mambo yao, bado watasema n watanzania
 
Hapana, siwezi kutumia GB 10,000 kwa mwezi. Lakini wao wanatumia neno watanzania kwa sababu takwimu ni za Tz.
Hata km yapo makampuni na taasisi zinazotumia FB kufanya mambo yao, bado watasema n watanzania
Changamsha akili yako mzee... Unajua gb 4500 kwa siku ni zaidi mili 5 kwa siku... Hv kampuni gani itoe garama hyo kwa ajili ya fb peke yake...

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom