badili password na kisha , nenda setting zuia tag weka only meYaan kwangu ndo tabu tupu, nilikuwa na mazoea ya kufungua facebook mbele ya watoto lakin kwa sasa nimeogopa. Marafik wengi wanaconnectiwa (tag) kwenye post za picha za ngono, mwanzon nilianza ku unfriend na ku unffolow yoyote waliyemtag na picha chaf, nimefanya hivyo lakin bado tu. Sasa kuna jipya tena, kuna ma kurasa ya animation (yaan picha kama za michoro vile) za uchi. Nimeyablock lakn yanamiminika kama maji. Hata mim nataka msaada kwa hilo.
Mbaya zaidi zinajiposti nimezikuta kwenye page ya mtu mmoja ana heshima zake, nimemuuliza kulikoni umepost picha za namna hii, akashangaa anasema yeye hajui kitu wala hajaingia humoKatika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.
Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook
Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Hapo haujanielewa, yaan wale marafiki zangu walioko facebook ndio utakuta wametajwa (tag) kwenye post za ngono. Kwahyo nikifungua tu nazikuta. Halaf na page za animation za ngonobadili password na kisha , nenda setting zuia tag weka only me
Kwel bana, yaan siku hiz had page za wachungaj nazo zinapost picha chaf, kuna mchungaj mmoja kapost porn za maana wakat yeye pege yake ilikuwa ya kupost mahubiri tu, wiki nzima anaomba radhi, halaf anafollowers nyomi. Ni aibuu!Mbaya zaidi zinajiposti nimezikuta kwenye page ya mtu mmoja ana heshima zake, nimemuuliza kulikoni umepost picha za namna hii, akashangaa anasema yeye hajui kitu wala hajaingia humo
Dah! Halafu bosi wake si kwamba anatumia tu, bali ni moja ya matajiri watano wa sayari hii.Facebook ni mtandao wa kishamba sana kwa namna ya interaction kati ya watu. Hauna privacy.
Ni mtandao ambao upo out of touch.
ndio ilivyo ila kuna settings ukiweza kuweka vizuri preview before tags sending hapo umewakonoa pia weka security alertNawe ukibonyeza una tag directly marafiki zako
yaan ni upuuzSasa hv unakuta ukiingia Fb unakuta mambo*** na ma k nje nje yanakulana.. ma sperm yamezngaa balaa
ingia kweny setting>tags> set preview and confirm tags before seen to publicYaan kwangu ndo tabu tupu, nilikuwa na mazoea ya kufungua facebook mbele ya watoto lakin kwa sasa nimeogopa. Marafik wengi wanaconnectiwa (tag) kwenye post za picha za ngono, mwanzon nilianza ku unfriend na ku unffolow yoyote waliyemtag na picha chaf, nimefanya hivyo lakin bado tu. Sasa kuna jipya tena, kuna ma kurasa ya animation (yaan picha kama za michoro vile) za uchi. Nimeyablock lakn yanamiminika kama maji. Hata mim nataka msaada kwa hilo.
NimeshangaaKwel bana, yaan siku hiz had page za wachungaj nazo zinapost picha chaf, kuna mchungaj mmoja kapost porn za maana wakat yeye pege yake ilikuwa ya kupost mahubiri tu, wiki nzima anaomba radhi, halaf anafollowers nyomi. Ni aibuu!