Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

badili password na kisha , nenda setting zuia tag weka only me
 
Mimi nilikuwa kila nikifungua face book naona hizo page za ngono. Kuna mtu akanitumia huu muongozo.

CHUKUA HII ITAKUSAIDIA SANA


Ndugu zangu Habari za Majukum
Sikuhuzi kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook.

Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwa jamii baada ya kuona picha na video zisizo na staha kwa mtu mwenye heshima zake,

Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au Picha chafu, fanya yafuatayo:-
👇🏽👇🏽

🖊️Ingia kwenye Settings ya Facebook Account yako kisha nenda Audience and Visibility halafu nenda Profile and Tagging.

🖊️Ukishafika hapo Profile and Tagging utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu Viewing and Sharing.

🖊️Kwenye 'Who can post on your profile' chagua 'Only Me' vivyo hivyo kwenye 'Who can see what others post on your profile' chagua 'Only Me.'

🖊️Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, 'Who can see posts you're tagged in on your profile' chagua 'Only Me'.

🖊️Aidha, pale kwenye option ya 'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it' napo chagua 'Only Me.'

Baada ya hapo account yako itakuwa Safe from being tagged

Sharing is caring.
Mfahamishe na mwenzako.
🚶🏻‍♂️🚶🏻‍♂️
 
Mbaya zaidi zinajiposti nimezikuta kwenye page ya mtu mmoja ana heshima zake, nimemuuliza kulikoni umepost picha za namna hii, akashangaa anasema yeye hajui kitu wala hajaingia humo
 
badili password na kisha , nenda setting zuia tag weka only me
Hapo haujanielewa, yaan wale marafiki zangu walioko facebook ndio utakuta wametajwa (tag) kwenye post za ngono. Kwahyo nikifungua tu nazikuta. Halaf na page za animation za ngono
 
Mbaya zaidi zinajiposti nimezikuta kwenye page ya mtu mmoja ana heshima zake, nimemuuliza kulikoni umepost picha za namna hii, akashangaa anasema yeye hajui kitu wala hajaingia humo
Kwel bana, yaan siku hiz had page za wachungaj nazo zinapost picha chaf, kuna mchungaj mmoja kapost porn za maana wakat yeye pege yake ilikuwa ya kupost mahubiri tu, wiki nzima anaomba radhi, halaf anafollowers nyomi. Ni aibuu!
 
Sasa hv unakuta ukiingia Fb unakuta mambo*** na ma k nje nje yanakulana.. ma sperm yamezngaa balaa
 
ingia kweny setting>tags> set preview and confirm tags before seen to public
 
Kwel bana, yaan siku hiz had page za wachungaj nazo zinapost picha chaf, kuna mchungaj mmoja kapost porn za maana wakat yeye pege yake ilikuwa ya kupost mahubiri tu, wiki nzima anaomba radhi, halaf anafollowers nyomi. Ni aibuu!
Nimeshangaa
 
Kuna Watu wenye ujuzi wa kuiingilia akaunti ya Mtu mwingine kisha wanaitumia kusambaza video za ngono.

Nimeona kuwa nikiona video za ngono toka kwa marafiki wetu wa facebook,

Nikiwauliza ikiwa ni wao wametag au kupost video hizo unagundua hawajui lolote kuhusu kilicho tokea.


TCRA msaada wenu wa haraka unahitajika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…