...
tatizo umechukulia kuwa mtu akieleza huzuni aliyonayo basi atakua ni mlalamikaji
lazima tulalamike, ...
kama wewe unakula vizuri, unakunywa vizuri na unalala pazuri basi tambua kuna wengine hali zao ni kinyume chako, na wala si kwa sababu ni wazembe bali hakuna opportunities za kutosha
...
bado hujaelewa tu??
Ukitukana utatukanwa, kwani ulichoandika nani alikutuma? Sisi hiyo historia tumeisoma wee bado unatawazwa na mamaako na bado haikuleta mabadiliko mpaka Leo! Ukaona nawe ume hit kwa utumbo wako hapa na hutaki kukosolewa, TTB wameshindwa we kapuku utaweza wapi?Acha ujinga. Hujui uongealo. Ninakusamehe bure.
Povu la nini sasa wewe mwehu!? Halafu ujinga siyo tusi. Uelewa wako ni finyu.Ukitukana utatukanwa, kwani ulichoandika nani alikutuma? Sisi hiyo historia tumeisoma wee bado unatawazwa na mamaako na bado haikuleta mabadiliko mpaka Leo! Ukaona nawe ume hit kwa utumbo wako hapa na hutaki kukosolewa, TTB wameshindwa we kapuku utaweza wapi?
Angalia wengine hatukuzoea kutukana!
Hayo mengine Sina ujakikanyo but hili la mpingo kupatikana Tanzania pekee hapana sikweli...!Haya haya Sasa ninaanza kuwaletea facts kuhusu Tanzania. Tanzania nchi bora kabisa Africa Mashariki. Sasa nitakuwa nadondosha kimoja baada ya kingine na picha juu. Watani wetu wa jadi ruksa kutoa mapovu tutayafuta tu. Nitakuwa nachanganya Lugha yaani kiswahili na kingereza
Tanzania has the most expensive hardwood tree in the world; the Mpingo trees, also known as the African Blackwood trees.
Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.
View attachment 480717 View attachment 480718
Lie #1. In kenya the south eastern of the country has them trees however they are endangered because they are used for the wood carvingsHaya haya Sasa ninaanza kuwaletea facts kuhusu Tanzania. Tanzania nchi bora kabisa Africa Mashariki. Sasa nitakuwa nadondosha kimoja baada ya kingine na picha juu. Watani wetu wa jadi ruksa kutoa mapovu tutayafuta tu. Nitakuwa nachanganya Lugha yaani kiswahili na kingereza
Tanzania has the most expensive hardwood tree in the world; the Mpingo trees, also known as the African Blackwood trees.
Huu mti unaitwa mpingo, Ni noma unapatikana Tanzania pekee.
View attachment 480717 View attachment 480718
Hahaha!!! Yaani umeamua kuiweka Kenya. Huo Mpingo kenya unapatikana wapi?Hayo mengine Sina ujakikanyo but hili la mpingo kupatikana Tanzania pekee hapana sikweli...!
Mpingo unapatikana nchi tatu ktk Africa Tanzania Kenya na Msumbiji na unapatikana kwa wingi zaidi Mozambique
naomba unielekeze usitumie jazbaAcha nikwambie.
Kwanza umejicontradict hapo juu kuhusu malalamiko.
Pili. Fursa zipo nyingi sana. Sana. Na ni UZEMBE ikiwa mtu ni timamu mwenye afya asinufaike nazo. Huyo anaezuia wengine ni nani hata ana nguvu zaidi ya Mungu? Tafadhali usikufuru.
matusi sio hoja, jibu hoja kwa kutoa hojaPovu la nini sasa wewe mwehu!? Halafu ujinga siyo tusi. Uelewa wako ni finyu.
Weka proof hapa maana unaongea tu.Lie #1. In kenya the south eastern of the country has them trees however they are endangered because they are used for the wood carvings
hilo ni lengo lake, lengo langu ni tofauti na la kwakeHaha hoja huyo lengo lake ni kuharibu thread. Nimeshamueleza maelezo mengi mno. Halafu anarudia hicho hicho.