Ili hilo lisitokee tufute nafasi yake. Anafanya kazi nzuri ila viongozi wanamuangusha kwa scouting mbovu! Hawa viongozi hawana jipya tunahitaji maamuzi magumu kuibadili timu.Huwezi kumuondoa Ahmed Ally kwenye lawama wakati yeye ndo anawajaza mashabiki matumaini hewa.
Kuonge rahisiHivi mchezaji anapewa cross nzuri au pasi ndani ya 18 badala ya kuunga moja kwa moja anatuliza kwanza mpira chini auweke sawa halafu ndo apige,wakati huo mabeki wa timu pinzani wanasubiri nini? Halafu unasema huyo ndo mchezaji professional , Baleke, Saido na Onana wamepewa pasi na cross za kuunganisha tu wanaweka kwanza mipira vizuri ndo wapige mara unachukuliwa,pale ilitakiwa kuunga tu unaweka chini ujipange mabeki wanasubiri nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumfananisha Bajana na vitu vya kijingaAkina Onana nchi hii wapo wengi tena bora kuliko yeye. Lusajo anaweza kukupa kitu kuliko huyu Onana! Mimi nakomaa na mfano mdogo kwa huyu kiungo mpya si bora hata Aweso au Bajana?
Inawezakana kwa mchezaji mzuri ,Mayele ni mfano toshaKuonge rahisi
Kiungo mpya hadi sasa hajaonesha tofauti yoyote, bora Awesu kama ulivyosema.Wakuu,
Tuambiane ukweli familia, asilimia kubwa ya vipaji tunavyoleta Simba hapa Tanzania ni aina ya vipaji ambavyo ukifanya proper scouting vipo hapa hapa ndani.
Nafasi ya goal keeper haihitaji foreign player, Onana, Saido, Luis, Baleke na Phiri wote ni average players tunadanganyana tu.
Ni vizuri tulete mtu ambaye ni kipaji kisichopatikana ndani! Kama tunataka nusu fainali tuingie hasara ya kuondoa wachezaji wengi wa kigeni tusajili watu wenye record na wataoingia kwenye kikosi direct.
Kama mfuko hauruhusu kununua wachezaji wa maana tuache kupotezea muda mashabiki na kumkausha koo Ahmed Ally! Tunaumiza makocha vichwa kwa vipaji very average na wachezaji wenyewe tunawalipa fedha nyingi.
Haya tumetolewa nishai na Mlandege yenye vipaji vingi local na bajeti ndogo! Tuache kuimbiana mapambio na kufukuza makocha! Viongozi wabadilike.
Kuitaja nusu fainali club bingwa kwa mikakati hii ni kutufanya watoto. Wachezaji wengi wa kigeni tumepigwa! Huyo kiungo mpya hamuwezi hata Aweso! Upumbavu tu!
Simbaaaa #nguvumoja[emoji109]
Kipindi Onana anafunga wydadi mlshangilia mkampa sifa zote leo mnamwona ovyoI agree, Onana na Iddy Nado natembea na Nado! Huu ndio ukweli! Onana hana hatari yoyote kama Nado akiamua ku push!
Mashabiki wanaojazwa ndio wapumbavu tu,maana mpira ni mchezo wa wazi.Huwezi kumuondoa Ahmed Ally kwenye lawama wakati yeye ndo anawajaza mashabiki matumaini hewa.
Hawana jipya, kama wachezaji ni hawa nawaambia wanalunyasi wenzangu! Kwenye ligi tutapoteza game 1 na droo kadhaa ambazo zitachangia kupoteza ubingwa na tukizubaa tutaishia namba 3.Hivi mchezaji anapewa cross nzuri au pasi ndani ya 18 badala ya kuunga moja kwa moja anatuliza kwanza mpira chini auweke sawa halafu ndo apige,wakati huo mabeki wa timu pinzani wanasubiri nini? Halafu unasema huyo ndo mchezaji professional , Baleke, Saido na Onana wamepewa pasi na cross za kuunganisha tu wanaweka kwanza mipira vizuri ndo wapige mara unachukuliwa,pale ilitakiwa kuunga tu unaweka chini ujipange mabeki wanasubiri nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuWakuu,
Tuambiane ukweli familia, asilimia kubwa ya vipaji tunavyoleta Simba hapa Tanzania ni aina ya vipaji ambavyo ukifanya proper scouting vipo hapa hapa ndani.
Nafasi ya goal keeper haihitaji foreign player, Onana, Saido, Luis, Baleke na Phiri wote ni average players tunadanganyana tu.
Ni vizuri tulete mtu ambaye ni kipaji kisichopatikana ndani! Kama tunataka nusu fainali tuingie hasara ya kuondoa wachezaji wengi wa kigeni tusajili watu wenye record na wataoingia kwenye kikosi direct.
Kama mfuko hauruhusu kununua wachezaji wa maana tuache kupotezea muda mashabiki na kumkausha koo Ahmed Ally! Tunaumiza makocha vichwa kwa vipaji very average na wachezaji wenyewe tunawalipa fedha nyingi.
Haya tumetolewa nishai na Mlandege yenye vipaji vingi local na bajeti ndogo! Tuache kuimbiana mapambio na kufukuza makocha! Viongozi wabadilike.
Kuitaja nusu fainali club bingwa kwa mikakati hii ni kutufanya watoto. Wachezaji wengi wa kigeni tumepigwa! Huyo kiungo mpya hamuwezi hata Aweso! Upumbavu tu!
Simbaaaa #nguvumoja[emoji109]
Viongozi walitoa ahadi hawatosajili mchezaji asiyecheza national team! Sasa tumejaza wavhezaji ambao hata viitwe vikosi 3 bado hawaitwi. Average players!Formula moja Tu
Foreign player awe nationa team ya nchi yake ...angalau hata under ,23 ya nchi yake
Na ukweli utasimama daima. Siioni Simba ya kimataifa nusu fainali kwa wachezaji hawa wa kigeni.Wakuu,
Tuambiane ukweli familia, asilimia kubwa ya vipaji tunavyoleta Simba hapa Tanzania ni aina ya vipaji ambavyo ukifanya proper scouting vipo hapa hapa ndani.
Nafasi ya goal keeper haihitaji foreign player, Onana, Saido, Luis, Baleke na Phiri wote ni average players tunadanganyana tu.
Ni vizuri tulete mtu ambaye ni kipaji kisichopatikana ndani! Kama tunataka nusu fainali tuingie hasara ya kuondoa wachezaji wengi wa kigeni tusajili watu wenye record na wataoingia kwenye kikosi direct.
Kama mfuko hauruhusu kununua wachezaji wa maana tuache kupotezea muda mashabiki na kumkausha koo Ahmed Ally! Tunaumiza makocha vichwa kwa vipaji very average na wachezaji wenyewe tunawalipa fedha nyingi.
Haya tumetolewa nishai na Mlandege yenye vipaji vingi local na bajeti ndogo! Tuache kuimbiana mapambio na kufukuza makocha! Viongozi wabadilike.
Kuitaja nusu fainali club bingwa kwa mikakati hii ni kutufanya watoto. Wachezaji wengi wa kigeni tumepigwa! Huyo kiungo mpya hamuwezi hata Aweso! Upumbavu tu!
Simbaaaa #nguvumoja[emoji109]
Utamlipa utawezaFormula moja Tu
Foreign player awe nationa team ya nchi yake ...angalau hata under ,23 ya nchi yake