Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

Facts! Foreign Players wa Simba wengi kawaida sana!

Ifike wakati ushabiki tuweke pembeni. Wachezaji wa kutoka nje ya Tanzania wanaostahili kuchezea Simba ni 3 tu; Ngoma, Inonga na Chama. Wengine wote wako level za Wachezaji wa KMC.
I agree, Idd Nado ni machine kuliko Onana.
 
Umeandika ushuzi wa hali ya juu.
Na mimavi juu...mpaka sasa Ni wachezaji wawili tu angalau tunaweza sema tuna professional player nao ni Ngoma na Inonga waliobaki unashika kichwa muda wowote wanachoma kibanda.
 
Ifike wakati ushabiki tuweke pembeni. Wachezaji wa kutoka nje ya Tanzania wanaostahili kuchezea Simba ni 3 tu; Ngoma, Inonga na Chama. Wengine wote wako level za Wachezaji wa KMC.
Nakazia ila chama now kaisha Hana faida
 
Tutalaumu sana wachezaji na viongozi lakini pia na scouting ya Simba ni mbovu misimu zaidi ya mitatu wanaleta wachezaji mizaha halafu hakuna kitu. Tubadili team ya scouting haraka sana kama ipo ni haifai
 
Ifike wakati ushabiki tuweke pembeni. Wachezaji wa kutoka nje ya Tanzania wanaostahili kuchezea Simba ni 3 tu; Ngoma, Inonga na Chama. Wengine wote wako level za Wachezaji wa KMC.
Umesema tuache ushabiki halafu unamuweka Chama? Be serious
 
Wakuu,

Tuambiane ukweli familia, asilimia kubwa ya vipaji tunavyoleta Simba hapa Tanzania ni aina ya vipaji ambavyo ukifanya proper scouting vipo hapa hapa ndani.

Nafasi ya goal keeper haihitaji foreign player, Onana, Saido, Luis, Baleke na Phiri wote ni average players tunadanganyana tu.

Ni vizuri tulete mtu ambaye ni kipaji kisichopatikana ndani! Kama tunataka nusu fainali tuingie hasara ya kuondoa wachezaji wengi wa kigeni tusajili watu wenye record na wataoingia kwenye kikosi direct.

Kama mfuko hauruhusu kununua wachezaji wa maana tuache kupotezea muda mashabiki na kumkausha koo Ahmed Ally! Tunaumiza makocha vichwa kwa vipaji very average na wachezaji wenyewe tunawalipa fedha nyingi.

Haya tumetolewa nishai na Mlandege yenye vipaji vingi local na bajeti ndogo! Tuache kuimbiana mapambio na kufukuza makocha! Viongozi wabadilike.

Kuitaja nusu fainali club bingwa kwa mikakati hii ni kutufanya watoto. Wachezaji wengi wa kigeni tumepigwa! Huyo kiungo mpya hamuwezi hata Aweso! Upumbavu tu!

Simbaaaa #nguvumoja[emoji109]
Tumpe nafasi kidogo Sarr
 
Kuweni na subira
Kwa jicho langu la kitaalam Onana ni bonge la mchezaji ila nadhani hawezi pressure
Bado una wasiwasi na kiwango cha Miquison
Una wasiwasi na Vabakar Sarr hujaona CV yake?
Una wasiwasi na Baleke?
Una wasiwasi na Phri?
Kuweni serios kidogo

Hata Yanga kipindi Mayele anakuja alicheza mechi 7 bila kufunga ila uvumilivu ulitulipa

Aziz Ki mambo yalimgomea hapo awali pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko Serious unaleta utani
 
Wakuu,

Tuambiane ukweli familia, asilimia kubwa ya vipaji tunavyoleta Simba hapa Tanzania ni aina ya vipaji ambavyo ukifanya proper scouting vipo hapa hapa ndani.

Nafasi ya goal keeper haihitaji foreign player, Onana, Saido, Luis, Baleke na Phiri wote ni average players tunadanganyana tu.

Ni vizuri tulete mtu ambaye ni kipaji kisichopatikana ndani! Kama tunataka nusu fainali tuingie hasara ya kuondoa wachezaji wengi wa kigeni tusajili watu wenye record na wataoingia kwenye kikosi direct.

Kama mfuko hauruhusu kununua wachezaji wa maana tuache kupotezea muda mashabiki na kumkausha koo Ahmed Ally! Tunaumiza makocha vichwa kwa vipaji very average na wachezaji wenyewe tunawalipa fedha nyingi.

Haya tumetolewa nishai na Mlandege yenye vipaji vingi local na bajeti ndogo! Tuache kuimbiana mapambio na kufukuza makocha! Viongozi wabadilike.

Kuitaja nusu fainali club bingwa kwa mikakati hii ni kutufanya watoto. Wachezaji wengi wa kigeni tumepigwa! Huyo kiungo mpya hamuwezi hata Aweso! Upumbavu tu!

Simbaaaa #nguvumoja[emoji109]
Matatizo ya Simba hayatokani na viongozi, bali yanatokana na mashabiki. Viongozi wanasajipi kwa lengo la kuwatuliza mashabiki na sio kuboresba timu.

Simba ilikuwa inahitaji namba 6, mkasajili Ngoma ambaye sio typically namba 6. Japo ameingia kwenye mfumo wenu, ila timu bado inahitaji namba 6. Babacar yawezekana akawa mzuri, ila hawezi kuclick ndani ya muda mfupi kama mnavyohitaji.

Timu imejaza winger kibao ambao ni mzigo. Kwa aina ya washambuliaji mlionao, wanahitaji sana mipira ya cross. Lakini hakuna winga hata mmoja mwenye kupiga cross, wote ni wale wa kupiga chenga kuingia 18, lakini finishing ni sifuri. Cross mpaka leo mnategemea Kapombe na Shabalala.

Simba inahitaji overhaul kama aliyokuwa anafanya Yanga kipindi kile. Walikuwa wanaleta wachezaji wengi, wakishindwa kudeliver, wanatimua na kuleta wengine. Mpaka msimu ule wa kina Bangala, ndio timu ikatulia. Tokea pale yanafanyika maboresho madogo madogo tu.

Mchezaji mmoja hatoshi kuibadilisha Simba. Na ni rahisi hata kwa mchezaji mzuri kuonekana mbaya.
 
Propaganda sana kama chama cha siasa. Kununua magazeti, mitandao na chawaz
Ukitaka kujua ni washenzi angalia ishu ya manzoki ilivyokua yaani sasa hivi yule Muhindi sio wa kumuamini janja janja nyingi.
 
Simba na Arsenal zimeanza kunipa presha, ngoja sasa HV nikae pembeni nifanye mambo yangu nisijepata kansa ya moyo.
 
Back
Top Bottom