Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,754
- 8,750
Safi, mara moja moja tuwe tunaambiana ukweli kama hivi bhana......huyo barbacar sarr bado sijaona chochote mguuni mwake wala utimizaji wa majukumu kama DM wa uhakika mpaka sasa.
Saidoo yule ndo kila siku nawakumbusha viongozi wa simba wamtoe msimu huu.
Baleke pia atolewe, onana apelekwe timu yoyote kwa mkopo. Tubaki na phiri ndo then anunuliwe forward mpya wa kueleweka haijalishi kutoka ndani au nje ya nchi.
Fabrice Ngoma apewe kalipio kali la kuhakikisha anapandisha kiwango chake zaidi ya pale.
Mikson aambiwe aongeze zaidi juhudi mana ni kama kaanza kujipata kidogo.
Saidoo yule ndo kila siku nawakumbusha viongozi wa simba wamtoe msimu huu.
Baleke pia atolewe, onana apelekwe timu yoyote kwa mkopo. Tubaki na phiri ndo then anunuliwe forward mpya wa kueleweka haijalishi kutoka ndani au nje ya nchi.
Fabrice Ngoma apewe kalipio kali la kuhakikisha anapandisha kiwango chake zaidi ya pale.
Mikson aambiwe aongeze zaidi juhudi mana ni kama kaanza kujipata kidogo.