Fadhili Maganya: CCM Tutatumia Silaha Nzito Sana Kuushinda Kitakatifu Upinzani. Hatuna Huruma na Mpinzani Dhaifu.

Fadhili Maganya: CCM Tutatumia Silaha Nzito Sana Kuushinda Kitakatifu Upinzani. Hatuna Huruma na Mpinzani Dhaifu.

Ndugu zangu Watanzania,

CCM yaendelea kuunguruma maeneo mbalimbali Nchini, CCM yaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, CCM yaendelea kujiweka karibu na watu, CCM yaendelea kutuma ujumbe mzito kwa Upinzani dhaifu na usio na mipango wala mikakati ya ushindi, CCM yaendelea kuonyesha utayari wa Mpambano wa uchaguzi Mkuu, CCM yaendelea kusogeza vifaa vya kivita ya kisiasa katika uwanja wa mapambano.

CCM yaendelea kuwaandaa askari wake , CCM yaendelea kuteka na kusambaratisha ngome zote za Upinzani, CCM yaendelea kuteka mijadala yote ya kisiasa hapa Nchini, CCM yaendelea kuwa tumaini kuu la watanzania, CCM yaendelea kuonyesha misuri yake kisiasa, CCM yaendelea kuvuma angani na ardhini ,baharini na hata katika fukwe.

Kupitia Mwenyekiti wake wa jumuiya ya wazazi wa CCM Taifa Mheshimiwa Fadhili Maganya. CCM imetuma ujumbe mzito sana tena wa kimamlaka kwa vyama vya upinzani ambavyo vimeonyesha kuwa dhaifu na kujikatia tamaa hapa Nchini na kusubiri huruma tu ya kubebwa mgongoni.

Huu hapa chini ndio ujumbe wake👎

👉Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ametahadharisha vyama pinzani kuwa chama chao hakiendi kirahisi wala kuonea huruma mpinzani aliye dhaifu katika uchaguzi wa mwaka huu (2025) kwa kuwa wamejipanga kikamilifu kuendelea kushika dola.

Maganya ameeleza hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mara baada kupokewa kwa ziara ya siku tatu mkoani humo.

"Tunataka tuwapige kweli kweli,hatuwezi kuchukua mambo kirahisi kwa hiyo tuwaambie vyama rafiki tunataka tutumie silaha nzito na za kisayansi kuhakikisha tunawashinda kitakatifu na hatutajali kwamba tutumie silaha gani,sisi tutatumia bomu kuua nzi"amesema Maganya

Amewataka wanaCCM kutokuwa na wasiwasi na kwenda kuisemea vizuri serikali kwa kuwa imetekeleza kikamilifu Ilani yao.

Aidha Maganya amesema Chama cha Mapinduzi hakikutaka kuchelewa kumtangaza mgombea wao wa Urais ili kuwa wanachama utulivu wa akili ili kufikilia namna ya kutekeleza Ilani nyingine ya uchaguzi ya mwaka 2025-2030.View attachment 3251344

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Polisii,Tiaiesesi,Ami,Disii,Arasii,tumee nk ndo silaha kuu za nzi wa chooni
 
CCM Ina shinda kwa haki na kwa halali kabisa. Hii ni kutokana na sera na ajenda nzuri ambazo huzibeba na kuzinadi kwa wananchi pamoja na utekelezaji mzuri wa ilani yake inayogusa maisha ya watanzania wengi.
Uongo wa mchana kweupe sera gani hizo za kupoteza watu
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM yaendelea kuunguruma maeneo mbalimbali Nchini, CCM yaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, CCM yaendelea kujiweka karibu na watu, CCM yaendelea kutuma ujumbe mzito kwa Upinzani dhaifu na usio na mipango wala mikakati ya ushindi, CCM yaendelea kuonyesha utayari wa Mpambano wa uchaguzi Mkuu, CCM yaendelea kusogeza vifaa vya kivita ya kisiasa katika uwanja wa mapambano.

CCM yaendelea kuwaandaa askari wake , CCM yaendelea kuteka na kusambaratisha ngome zote za Upinzani, CCM yaendelea kuteka mijadala yote ya kisiasa hapa Nchini, CCM yaendelea kuwa tumaini kuu la watanzania, CCM yaendelea kuonyesha misuri yake kisiasa, CCM yaendelea kuvuma angani na ardhini ,baharini na hata katika fukwe.

Kupitia Mwenyekiti wake wa jumuiya ya wazazi wa CCM Taifa Mheshimiwa Fadhili Maganya. CCM imetuma ujumbe mzito sana tena wa kimamlaka kwa vyama vya upinzani ambavyo vimeonyesha kuwa dhaifu na kujikatia tamaa hapa Nchini na kusubiri huruma tu ya kubebwa mgongoni.

Huu hapa chini ndio ujumbe wake👎

👉Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ametahadharisha vyama pinzani kuwa chama chao hakiendi kirahisi wala kuonea huruma mpinzani aliye dhaifu katika uchaguzi wa mwaka huu (2025) kwa kuwa wamejipanga kikamilifu kuendelea kushika dola.

Maganya ameeleza hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mara baada kupokewa kwa ziara ya siku tatu mkoani humo.

"Tunataka tuwapige kweli kweli,hatuwezi kuchukua mambo kirahisi kwa hiyo tuwaambie vyama rafiki tunataka tutumie silaha nzito na za kisayansi kuhakikisha tunawashinda kitakatifu na hatutajali kwamba tutumie silaha gani,sisi tutatumia bomu kuua nzi"amesema Maganya

Amewataka wanaCCM kutokuwa na wasiwasi na kwenda kuisemea vizuri serikali kwa kuwa imetekeleza kikamilifu Ilani yao.

Aidha Maganya amesema Chama cha Mapinduzi hakikutaka kuchelewa kumtangaza mgombea wao wa Urais ili kuwa wanachama utulivu wa akili ili kufikilia namna ya kutekeleza Ilani nyingine ya uchaguzi ya mwaka 2025-2030.View attachment 3251344

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
😃😆😃😆 Haya majitu ndo yanafanya Afrika ionekane ni kichwa cha mwendawazimu na bara lisilojiweza
 
Ndugu zangu Watanzania,

CCM yaendelea kuunguruma maeneo mbalimbali Nchini, CCM yaendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya mamilioni ya watanzania, CCM yaendelea kujiweka karibu na watu, CCM yaendelea kutuma ujumbe mzito kwa Upinzani dhaifu na usio na mipango wala mikakati ya ushindi, CCM yaendelea kuonyesha utayari wa Mpambano wa uchaguzi Mkuu, CCM yaendelea kusogeza vifaa vya kivita ya kisiasa katika uwanja wa mapambano.

CCM yaendelea kuwaandaa askari wake , CCM yaendelea kuteka na kusambaratisha ngome zote za Upinzani, CCM yaendelea kuteka mijadala yote ya kisiasa hapa Nchini, CCM yaendelea kuwa tumaini kuu la watanzania, CCM yaendelea kuonyesha misuri yake kisiasa, CCM yaendelea kuvuma angani na ardhini ,baharini na hata katika fukwe.

Kupitia Mwenyekiti wake wa jumuiya ya wazazi wa CCM Taifa Mheshimiwa Fadhili Maganya. CCM imetuma ujumbe mzito sana tena wa kimamlaka kwa vyama vya upinzani ambavyo vimeonyesha kuwa dhaifu na kujikatia tamaa hapa Nchini na kusubiri huruma tu ya kubebwa mgongoni.

Huu hapa chini ndio ujumbe wake👎

👉Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Taifa Fadhili Rajabu Maganya ametahadharisha vyama pinzani kuwa chama chao hakiendi kirahisi wala kuonea huruma mpinzani aliye dhaifu katika uchaguzi wa mwaka huu (2025) kwa kuwa wamejipanga kikamilifu kuendelea kushika dola.

Maganya ameeleza hayo mjini Makambako mkoani Njombe wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mara baada kupokewa kwa ziara ya siku tatu mkoani humo.

"Tunataka tuwapige kweli kweli,hatuwezi kuchukua mambo kirahisi kwa hiyo tuwaambie vyama rafiki tunataka tutumie silaha nzito na za kisayansi kuhakikisha tunawashinda kitakatifu na hatutajali kwamba tutumie silaha gani,sisi tutatumia bomu kuua nzi"amesema Maganya

Amewataka wanaCCM kutokuwayna wasiwasi na kwenda kuisemea vizuri serikali kwa kuwa imetekeleza kikamilifu Ilani yao.

Aidha Maganya amesema Chama cha Mapinduzi hakikutaka kuchelewa kumtangaza mgombea wao wa Urais ili kuwa wanachama utulivu wa akili ili kufikilia namna ya kutekeleza Ilani nyingine ya uchaguzi ya mwaka 2025-2030.View attachment 3251344

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nyie kima ni wapuuzi sana halafu mnajazana upumbavu wa kila aina mnapoonana
 
Bila tume huru ya uchaguzi mtaendelea kushinda kila uchaguzi..
Ndo maana tumewaacha mjipigie kura na kuchaguana wenyewe

Wanyia tumepata hasara kuzaliwa kiazi mbatata kama wewe!
 
Siku watu wakichoka mambo yakibadilika sijui mtakimbilia wapi, itakua ni kuangamiza takataka zote za kijani. Naamini utawakana wenzio ili ubaki salama bahati mbaya utakua umechelewa.
 
Siku watu wakichoka mambo yakibadilika sijui mtakimbilia wapi, itakua ni kuangamiza takataka zote za kijani. Naamini utawakana wenzio ili ubaki salama bahati mbaya utakua umechelewa.
Watanzania wana imani kubwa na CCM na ni chama kilichokidhi matarajio ya watanzania
 
Bila tume huru ya uchaguzi mtaendelea kushinda kila uchaguzi..
Ndo maana tumewaacha mjipigie kura na kuchaguana wenyewe

Wanyia tumepata hasara kuzaliwa kiazi mbatata kama wewe!
Toa ujinga wako hapa wewe Chizi
 
🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸 kiziwi .☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️☠️💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀💀📢📢📢📢📢📢
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa CCM ni chama kikubwa ila kwenye fair play kinaogopa,wekeni uwanja sawa then msitumie vyombo vya dola kwenye uchaguzi kuiba kura,tbc,channel 10 na Startv ni mali yenu pluc vyombo vya dola kwel mmeshida mapema kabixa.
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuwa CCM ni chama kikubwa ila kwenye fair play kinaogopa,wekeni uwanja sawa then msitumie vyombo vya dola kwenye uchaguzi kuiba kura,tbc,channel 10 na Startv ni mali yenu pluc vyombo vya dola kwel mmeshida mapema kabixa.
CCM haitegemei vyombo vya dola kupita .sera bora za CCM ndio imekuwa chachu ya kuendelea kupendwa ,kuaminika na kuungwa mkono na mamilioni ya watanzania
 
Back
Top Bottom