Fahamu dawa na mambo yatakayoweza kukupatia mwanamke umtakae..

mkuu umeongea vema sana yote kwa yote ni ili kufanikisha dhamira iliyokusudiwa na mhusika.mkuu kuna kabinti nmetumia njia hzo.ulizoziorodhesha hapo juu lakini hazijatenda hisani zozote kwangu zaidi ya maumivu tu.mkuu.unaweza hisani ukafanikisha kusudi ila baada ya muda everthing change
 
Kuna vitu hajaandika chunguza mtu huyo Kama yupo single ndo ufanye hayo ila Kama anamtu jua unatakiwa ujue udhaifu wa kwenye mapenzi aliyopo sasa ili wewe uitekeleze umroe Kama sangara,kumbuka hakuna Vita isiyo na mbinu.
 
Nitapingana nawe hapo kwenye humbleness!! Baadhi ya mambo kuna wanawake mkuu wanapenda mtu anaejikweza hii huwapa Hali ya kutaka kukujua vizuri na huo ndio mwanya wa kumtanua!!, Wewe uliowasema hapa Ni wale wapole ndio haswa hupenda watu wasiojikweza!!..
Kaa ukijua watu wanatofautiana ila unatakiwa kujua tofauti zao chunguza utaelewa!.. wanawake hupenda maneno sana na hapa ndipo karata yako unaweza itumia kisawasawa
 
Ahsante kwa maelezo yako.. Shida sometimes ni ngumu kujua wanawake wanataka nini..
 
Ahsante kwa maelezo yako.. Shida sometimes ni ngumu kujua wanawake wanataka nini..
Ni ngumu kujua wanataka nini ila Ni virahisi kujua anataka Nini!! Ukiwakombini wote watakuchanganya ila mmojammoja utajua tu anataka nini .. tatizo nililonalo juu ya wanawake Ni ktk kuwaamini😜
Wanawake nawapenda ila siwaamini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…