DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
Ndivyo malipo ya Pension ya livyo.. Mnufaika analipwa mara mbili, awamu ya kwanza ni mkupuo na yapili ni malipo ya kila mwezi.!Kwani hawezi kuchukua zote kwa mkupuo? Badala ya kulipwa kila mwezi. Je, ni hiari ya mtu au lazima?
Kwanini....!?Kweli watunga sheria ni WAUAJI.
Babilon system ndio system gani...!?Babilon System haipo kwa ajili ya kumnufaisha muajiriwa/mstaafu.
Hifadhi ya Jamii sio wiziHiyo mifumo ni ya wizi mtupu!!
Hifadhi ya Jamii sioHiyo mifumo ni ya wizi mtupu!!
Haahaaaa😅😅😅Dawa ni wastaafu kukopa ikiwezekana hiyo monthly pension ibaki 10K tu kwa mwezi.
Wanasiasa wabinafsi mno.
Sio wezi ni sheria zilizojadiliwa na bunge letu na kupitishwa kwa kura nyingi za ndiyooooooo!Je, wajua mnufaikwa wa Fao la Uzee (Old Age Pension) akishachukua kiinua mgongo na kuanza kulipwa monthly pension (Malipo ya kila mwezi) na baada ya miezi miwili/mitatu+ akafariki, Dependant wake wanakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye Mfuko?
Kwa PSSSF tegemezi watakuwa hawana kitu cha kwenda kudai kwenye mfuko (hawana kitu cha kulipwa)
Kwa NSSF watalipwa Funeral Grant (Msaada wa mazishi pekee)
Yes, Ndivyo sheria ilivyo.Hii mifuko ina ujanja ujanja sana
Mtu kachangia mfuko kwa miaka 40.
Anastaafu akiwa na miaka 60. Ile anaanza kupokea pensheni tu anafariki baada ya mwezi mmoja
Mke na watoto wake hawaambulii chochote kutoka kwenye michango ya baba yao ya miaka 40
Umeshuudia kwanani..!? Kama warithi wake wapo wanayo haki ya kwenda kudai fao la URITHIVibaka wakubwa hawa yaani nimeyashuhudia haya. Mwingine anakufa amebakisha mwezi mmoja astaafu lakini kupata stahiki zake sasa dooh!
Wanajeshi michango yao inakwenda wapi NSSF au PSSSF....!?Wanajeshi familia inalipwa pension ya mwaka mmoja halafu basi . Sijui kwann wasifanye hivi kwenye kila sekta.
Mbona hamsemi mme na watoto ??Hii mifuko ina ujanja ujanja sana
Mtu kachangia mfuko kwa miaka 40.
Anastaafu akiwa na miaka 60. Ile anaanza kupokea pensheni tu anafariki baada ya mwezi mmoja
Mke na watoto wake hawaambulii chochote kutoka kwenye michango ya baba yao ya miaka 40
Hawa wanachukulia hazina naona.Wanajeshi michango yao inakwenda wapi NSSF au PSSSF....!?