Fahamu hili kuhusu Fao la Urithi/Mirathi
- Mtu akiacha kazi mwenyewe, hato lipwa fao la kukosa ajira (Hakuna fao atakalolipwa)

- Fao La kukosa ajira (Unemployment benefits linalipwa kwa mtu ambaye mkataba wake wa kazi umefika ukomo, au amefukuzwa kazi).
Samahani, ni sheria ipi inayotumika kwa wasio na vyeti ila wamepoteza aijra kwa kufukuzwa
 
Mstaafu aliye staafu baada ya kikokotoo kipya kuanza kutumika July 2022 ( Ambaye mafao yake yalitumia kikokotoo kipya ) huyu akifariki dependant wake watalipwa Mara 36 ya kile alicho kuwa anakipata kwa mwezi.
 
Kikokotoo kinacho-tumika kukokotoa mafao ya uzee, ndio hichohicho hutumika kukokotoa mafao ya mirathi na ulemavu wa muda mrefu.
 
Vitu viwili vinanafanya pensheni ya uzee kuwa kubwa au ndogo ni:-
1. Kiwango cha Mshaara.
2. Miezi ya uchangiaji katika mfuko.
 
Ukiacha kazi mwenyewe, hutolipwa fao la kukosa ajira. Fao la kukosa Ajira ni kwa wale tu walio fukuzwa kazi, ajira kufika ukomo au kampuni imefungwa.
 
Fao la Uzazi hulipwa kwa Mama aliye jifungua ( iwe mtoto kafariki au yuko hai ) na kachangia kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii kwa kipindi cha miezi 36 au Miaka Mitatu.
 
Mstaafu baada ya kuanza kupokea malipo ya kila mwezi, anatakiwa kujihakiki kama yuko hai kwenye mfuko wa hifadhi ya jamii, kila mwaka ili aendelee kupata malipo hayo, asipo fanya hivyo malipo hayo yatasimama.
 
Mishaara inayo chukuliwa kwenye kukokotoa pensheni ya uzee ni “Mshahara wa kukokotoa mafao ya pensheni ni wastani wa mishahara bora ya miaka mitatu (3) ndani ya miaka 10 kabla ya kustaafu”
 
1/580 kwenye kikokotoo cha pensheni ya uzee inajulikana kama Kikokotoo limbikizi na 12.5 inamaana ya Makadirio ya miaka ya kuishi baada ya kustaafu
 
Hiki kikokotoo kipya kitumike pia kwenye kukokotoa mafao ya wabunge, spika, waziri mkuu, na pia Rais wa nchi. Na kisitumike kwa wafanyakazi wa ngazi za chini pekee.
 
- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
  • Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
  • Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-

1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.

2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.

3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!

4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>🙌🏿

SABABU ZINAZO FANYA WATU KUTUMIA MUDA MWINGI KUFUATILIA MAFAO.​

- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
  • Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
  • Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-

1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.

2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.

3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!

4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>🙌🏿
Nani anatakiwa kufuatlia michango yako? Shirika ndio wajibu wake huo. Na lilishaongelewa bungeni kuwa si jukumu la mwanachama. Unakuta Shirika halijapeleka michango miaka kibao na wanajua lakini wamekaa tu maofisini kula hela za mfuko. Mbona TRA wanafuatilia kodi ? Kwa nini wao washindwe?
 
Kikokotoo cha sasa kimebadili namna ya malipo ya pension tu! Ambapo zamani mnufaika wa pension alikuwa anapata asilimia 25 kiinua Mgongo na Asilimia 75 Malipo ya kila mwezi.

Kwasasa ni asilimia 33% kwenye kiinua Mgongo na Asilimia 67% kwenye malipo ya kila mwezi.. Na hii sheria imeanza kutumia July 2022
Sasa akilipwa 67% ikaisha halipwi tena?
 
Malipo ni 33% kwa malipo ya awari ( Kiinua Mgongo ) na Asilimia 67℅ Malipo ya kila mwezi, Ambayo atalipwa kila mwezi mpaka atakapo fariki.
 
- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
  • Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
  • Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-

1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.

2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.

3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!

4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>[emoji1544]

SABABU ZINAZO FANYA WATU KUTUMIA MUDA MWINGI KUFUATILIA MAFAO.​

- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
  • Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
  • Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-

1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.

2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.

3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!

4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>[emoji1544]
HUO URONGO BWANA
 
Mstaafu aliye staafu baada ya kikokotoo kipya kuanza kutumika July 2022 ( Ambaye mafao yake yalitumia kikokotoo kipya ) huyu akifariki dependant wake watalipwa Mara 36 ya kile alicho kuwa anakipata kwa mwezi.
tufahamishe vizuri hao wategemezi wanatakiwa kuwa na umri gani ili walipwe huo urithi. maana nina jamaa yangu anaangaika kufuatilia mafao ya baba yake ambaye ashafariki wanamzungusha kila kukicha
 
tufahamishe vizuri hao wategemezi wanatakiwa kuwa na umri gani ili walipwe huo urithi. maana nina jamaa yangu anaangaika kufuatilia mafao ya baba yake ambaye ashafariki wanamzungusha kila kukicha
Tegemezi wanao tambulika kisheria ni Mjane au Mgane, pamoja na watoto ambao wako chini ya umri wa miaka 21
 
Back
Top Bottom