THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Babilon system ndio system gani...!?
Ni mfumo ambao upo kwa ajili ya manufaa yake na siyo mnufaika. Unafanya kazi muda wako ukiisha unakaa pembeni anakaa mwingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babilon system ndio system gani...!?
Kama sio wizi jaribu kufuatilia hela yako!Hifadhi ya Jamii sio wizi
Mfumo wa kifisadi na kinyonyaji!Babilon system ndio system gani...!?
😂Hifadhi ya Jamii sio
Haahaaaa😅😅😅
Hifadhi ya Jamii sio ufisadi wala unyonyaji, kifupi unaitaji Elimu kwenye hili.Mfumo wa kifisadi na kinyonyaji!
Hitachi ya Jamii sio ufisadi wala unyonyaji, kifupi unaitaji Elimu kwenye hilMfumo wa kifisadi na kinyonyaji!
Yes, wanachukua hazinaHawa wanachukulia hazina naona.
Uchuro kivipi. !?Mbona hamsemi mme na watoto ??
Mmezidi uchuro
Wewe umekuwa brainwashed!Hifadhi ya Jamii sio ufisadi wala unyonyaji, kifupi unaitaji Elimu kwenye hili.
Nikikwambia unawajua? na kwa nini wasote na wakati ni haki yao ile! umeshakutana na haya ktk familia yako?Umeshuudia kwanani..!? Kama warithi wake wapo wanayo haki ya kwenda kudai fao la URITHI
SawaWewe umekuwa brainwashed!
Haya basi tuite ni pyramid scheme!!
Unaweza Eleza sababu inayo wakwamisha kupata hilo fao..!?Nikikwambia unawajua? na kwa nini wasote na wakati ni haki yao ile! umeshakutana na haya ktk familia yako?
Ndivyo ilivyo.duh aiseeee
Hii sheria iko kabla ya Magufuli.Hii sheria si aliitunga shujaa kwa madai ya kwamba wastaafu wanakula pesa zinapotea kumbe nia yake azuie ondokeo la fedha pale apeleke kwenye miradi uchwara
Hii ni kwa hiki kikokotoo cha sasa labda ila kile cha kabla ya 2023 ni tofautiHii mifuko ina ujanja ujanja sana
Mtu kachangia mfuko kwa miaka 40.
Anastaafu akiwa na miaka 60. Ile anaanza kupokea pensheni tu anafariki baada ya mwezi mmoja
Mke na watoto wake hawaambulii chochote kutoka kwenye michango ya baba yao ya miaka 40
Wizi unadhihirika pale unapoambiwa upeleke documents tena na tena na tena!Unaweza Eleza sababu inayo wakwamisha kupata hilo fao..!?
Kwenye Mafao hakuna Fao gumu kulipata kama fao la URITHI/MIRATHI wengi huwa wanashindwa kulipata kwa kukosa kupeleka document muhimu zinazo itajika.
Kikokotoo cha sasa kimebadili namna ya malipo ya pension tu! Ambapo zamani mnufaika wa pension alikuwa anapata asilimia 25 kiinua Mgongo na Asilimia 75 Malipo ya kila mwezi.Hii ni kwa hiki kikokotoo cha sasa labda ila kile cha kabla ya 2023 ni tofauti
Hakuna mtu aliye wai kupewa mafao yake yote kwa mkupuo..!!sheria imebadilishwa 2018 hujui kwamba zamani watu walikua wanapewa pesa zao zote?
Umesahau jina la kikokotoo lilianzia lini?