Samahani, ni sheria ipi inayotumika kwa wasio na vyeti ila wamepoteza aijra kwa kufukuzwa- Mtu akiacha kazi mwenyewe, hato lipwa fao la kukosa ajira (Hakuna fao atakalolipwa)
- Fao La kukosa ajira (Unemployment benefits linalipwa kwa mtu ambaye mkataba wake wa kazi umefika ukomo, au amefukuzwa kazi).
Nani anatakiwa kufuatlia michango yako? Shirika ndio wajibu wake huo. Na lilishaongelewa bungeni kuwa si jukumu la mwanachama. Unakuta Shirika halijapeleka michango miaka kibao na wanajua lakini wamekaa tu maofisini kula hela za mfuko. Mbona TRA wanafuatilia kodi ? Kwa nini wao washindwe?- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-
- Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
- Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.
2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.
3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!
4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>ππΏ
SABABU ZINAZO FANYA WATU KUTUMIA MUDA MWINGI KUFUATILIA MAFAO.
- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-
- Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
- Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.
2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.
3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!
4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>ππΏ
Sasa akilipwa 67% ikaisha halipwi tena?Kikokotoo cha sasa kimebadili namna ya malipo ya pension tu! Ambapo zamani mnufaika wa pension alikuwa anapata asilimia 25 kiinua Mgongo na Asilimia 75 Malipo ya kila mwezi.
Kwasasa ni asilimia 33% kwenye kiinua Mgongo na Asilimia 67% kwenye malipo ya kila mwezi.. Na hii sheria imeanza kutumia July 2022
Formula ya nini...!?Weka formula
Wewe utakuwa mnufaika wa zile pesa za wanachama mnazokopeshana bila ribaHifadhi ya Jamii sio ufisadi wala unyonyaji, kifupi unaitaji Elimu kwenye hili.
HUO URONGO BWANA- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-
- Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
- Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.
2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.
3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!
4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>[emoji1544]
SABABU ZINAZO FANYA WATU KUTUMIA MUDA MWINGI KUFUATILIA MAFAO.
- Tanzania kuna mifuko ya hifazi ya Jamii miwili:-
1. NSSF ( huu nikwa wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi )
2. PSSSF ( huu nikwa wafanyakazi walio ajiriwa na serikali pekee )
- SABABU ZINAZO SABABISHA WATU WENGI KUFUATILIA MAFAO KWA MUDA MREFU :-
- Mafao ni haki ya kila mwanachama wa mfuko, pindi anapo pata Janga la aina yoyote mfano uzee, kukosa ajira, kufiwa, na ulemavu.!
- Pindi upatapo janga lolote una haki ya kupata mafao ikiwa unasababu kamili za kupata hilo fao.
1. Mwanachama kutofuatilia michango yake kama ni kweli anachangiwa na muajiri wake. Ni haki ya kila mwanachama kuangalia Taarifa za michango yake ili kuhakiki kama muajiri wake anamchangia pesa, ili kuepuka usumbufu wakati wa kudai mafao.
2. Kukosa uelewa/Elimu juu ya nyaraka zipi na sababu zipi zinazoitajika pindi unapo kwenda kudai mafao, mfano fao la kukosa ajira nyaraka ya kwanza unayo takiwa kuwa nayo ni Barua ya kufukuzwa kazi/ukomo wa mkataba.
3. Office za NSSF/PSSSF kuwa mbali na makazi ya watu... mtu kusafiri umbali mrefu kwenda ofisini kudai mafao.! hii inaweza kutatuliwa kwa mifuko kuongeza office kupatikana kila wilaya au kuanzisha mfumo kwa wanachama kudai mafao yao kwanjia ya mtandao.!
4. Mwanachama kuto hakiki Taarifa zake kwa wakati....>>[emoji1544]
tufahamishe vizuri hao wategemezi wanatakiwa kuwa na umri gani ili walipwe huo urithi. maana nina jamaa yangu anaangaika kufuatilia mafao ya baba yake ambaye ashafariki wanamzungusha kila kukichaMstaafu aliye staafu baada ya kikokotoo kipya kuanza kutumika July 2022 ( Ambaye mafao yake yalitumia kikokotoo kipya ) huyu akifariki dependant wake watalipwa Mara 36 ya kile alicho kuwa anakipata kwa mwezi.
Tegemezi wanao tambulika kisheria ni Mjane au Mgane, pamoja na watoto ambao wako chini ya umri wa miaka 21tufahamishe vizuri hao wategemezi wanatakiwa kuwa na umri gani ili walipwe huo urithi. maana nina jamaa yangu anaangaika kufuatilia mafao ya baba yake ambaye ashafariki wanamzungusha kila kukicha