kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #1,341
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha komaaa umalze root hiyo ukanunue chumaWAJAMENI HII HONDULA INAZIDI KUNIPASUA KICHWA KABISA
yaani Map ina 800kb yaani hata 1mb haifiki pakua harakaMkuu umenishawish nkanunue bundle
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu nimegundua kitu. ukitaka ufike haraka na mda uckuache chukua mishe ndefu yaani km . hapa utapewa masaa mengi sana kuliko mda utakao wasiliyaani Map ina 800kb yaani hata 1mb haifiki pakua haraka
halafu ukione cha moto
Mimi nimeshanunua gari kubwa Injini ya Mwisho juu kabisa na Gear box lake sasa nachelewa masaa 4 badala ya vile vigari nachelewa kutwa ya masaa 14
mimi kule juu ilibidi kwanza nikakague njia nascania langu. nilipogundua kuwa ninaweza kupita fresh basi sasa imenibidi kuchukua misheMimi nimeshatoboa route inayowapa shida...saiz nasaka route ya juu kule
Sent using Jamii Forums mobile app
we hii ni map ya kb 827
apana mkuu nnaweka 1.36we hii ni map ya kb 827
Bwana hapo kweny makontena hayo nilikua mzinga mmoja hadi sjarud tenaHAPA
Jamani kwa mapumziko ya X-MAS na HAPPY NEW YEAR kuna Member wa ETS-2 humu ndani kawamwagia Puno Peru ya kufa mtu, naona wamewajibu Hondurus
ina 5.8Mb duh safari hii tunaingia 2020 kivyakevyake
uzi ulianzishwa 2017 Julai 17, na kcamp na haujadoda
huku kila mara ETS-2 analeta mabadiliko safi sana
mkipata nafasi na bundle mukawacheck Peru wanavyotaka kumjibu Hondulandia
Pambana utoboeView attachment 1301906
duh huku bado sijafika ingawa nipo Divine Champion hawajanipa Mji wa 3
wala Scania au Volvo siyaoni moja nijikongoje