Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Kuna wajuaj wameingilia huu uzi wahun af wanajifanya wajuaj na nyie modarater mmekaaa tu sasa sjui kaz yenu n nn watu tulikuwa tunapata update ya janga LA kidunia
Sio wajuaji ni hao moderators na akili zao wameunganisha nyuzi
 
Habari wakuu,nawasalimu kwa jina la corona.

Natumaini hadi sasa hamna member wa JF humu anaeshukiwa kuwa na huyu mdudu wa corona.

Natamani kujua huyu corona akiingia katika mwili wa mzungu inasemekana hachelewi kuonesha sign, hazizidi siku 14.

Vipi kuhusu Wahadzabe na Wasukuma weusi kwasababu inasemekana tunakinga mara dufu katika kupambana na magonjwa tofauti tofauti.

Je, huyu virus hawezi kuwa ndani ya mbongo ila akawa ametulia tu may be mwezi mzima anadunda tu mwisho wa siku baada ya muda tunakuja ugua kwa pamoja?

Kama China ni marafiki zetu basi watupe hata vipimo viwili witatu tupate kuvitumia kupima watu ambao wamekutana na watu waliotoka ktk nchi zenye mlipuko, wasindikiza watalii, n.k

Licha ya hivyo, kuna watu wenye mafua ya kawaida, na kikohozi ambacho koo linakauka na kuwasha, pamoja na kichwa kuuma kwa sana. Naona hao wangepatiwa huduma ya kwanza kama dawa zipo alafu tuone, je inakuaje?

Watu tumekua waoga kana kwamba ndo ugonjwa pekee unao sababisha kifo, kwa hali tulionayo kwa sasa duniani kinaweza pitishwa kitu chochote, chanjo itakayo tolewa itakua world wide hapo kinaweza pitishwa kitu chochote.

Cha muhimu ni kujilinda wewe na familia yako sio kwa corona tu na magonjwa mengineyo.
 
Incubation period kwa binadamu ni hiyohiyo bana wewe kwa binadamu.
 
Uwe mzungu, uwe mwafrika wote ni sawa tu kila mtu anaweza kupata haya mafua na homa, lakini wenye high risk ni wale wenye magonjwa yanayohusu kupumua kama pumu, TB, saratani ya mapafu nk. hata wavuta sigara nao wao wajiangalie pia.

Lakini watu wasikurupuke kusema wakipata ndio basi tena, asilimia kubwa watu wanapona tena hata bila dawa yoyote (msitumie maneno haya kujiambukiza kizembe).

Vijidudu hivi havina maisha marefu kwenye mwili wa binadamu, na ukishapata na ukapona haiwezi kukurudia tena kwa muda mfupi ujao, mwili wako unakuwa umejijengea kinga ya kuvizuia virusi hivi (Antibody). CHA MSINGI NI KUJIEPUSHA, NA USISAMBAZE KWA WENGINE.
 
Wanafanya niichukie JF kisa mapuuza yao ya kushindwa kuchukua hatua

Uzi ulikuwa Wa maana sana lkn kwasasa umekuwa Wa hovyo hovyo na sio kwamba wenye mamlaka hawaoni haya malalamiko ila wameamua kutupuuzia.
Kabisa mkuu changamoto ya biashara,wateja wakishaongezeka dharau huwa zinazidi.

Msinipige ban lakini[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Update AFRCA

SOUTH AFRCA

jumla ya kesi zote ni 116
kesi mpya 31
wagonjwa walio active ni 116


MOROCCO
jumla ya kesi zote 49
kesi mpya ni 5
waliopata nafuu na kuruhusiwa 1
active kesi ni 46
jumla ya vifo ni 2

KENYA
jumla ya kesi zote ni 7
kesi mpya ni 3
Active kesi ni 7
hakuna kifo

SENEGAL
jumla ya kesi zote 31
kesi mpya 4
waliopata nafuu na kuruhusiwa 2
active kesi ni 29
hakuna kifo

TUNISIA
jumla ya kesi 29
kesi mpya 2
waliopata nafuu na kuruhusiwa 1
active kesni ni 28
hakuna kifo

BURKINA FASO
Jumla ya kesi zote ni 20
kesi mpya 1
active kesi ni 19
kifo ni 1 ambacho ndo kifo kipya leo na cha kwanza nchini humo

CAMEROON
Jumla ya kesi zote ni 10
active kesi ni 10
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriazi

NIGERIA
jumla ya kesi ni 8
kesi mpya 5
walopata nafuu na kuruhusiwa 1
active kesi 7
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriazi

RWANDA
Jumla ya kesi ni 8
kesi mpya 1
active kesi 8
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriaz

DRC
Jumla ya kesi 7
kesi mpya 4
active kesi 7
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriazi

GHANA
jumla ya kesi ni 7
active kesi ni 7
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriaz

IVORY COAST
jumla ya kesi ni 6
kesi mpya 2
walopata nafuu na kuruhusiwa 1
Active kesi ni 7
hakuna kifo hakuna mgonjwa siriaz

update zaidi zinakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Nchi nyingi Africa naona hakuna vifo VP wa Burkina Faso ni native black???[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40]
hapo sijajua bado 7bu hizi taarifa ni zile official za nchi husika ambazo zinakuwa zimepelekwa WHO ambao zinakuwa zinapatillkana katika Site zao hivyo ulitaka kujua habari za nchi husika inabidi uzame kwenye mitandao ya nchi husika.

Nafuata nyayo za mkuu FRANC THE GREAT Yeye hapa alikuwa analeta habari OFFICIAL zilizo confirmed na wizara ya afya ya nchi husika sio za kuungaunga.

Hivyo ngoja tuelekeze rada BURKINAFASO tupate info zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gambia, Djibouti, Zambia records first case

Dijbouti ni mhispinia aliyeingia hv karibuni

Wakati zambia ni wapenzi wawili wakizambia ambao walikuwa mapumzikoni ufaransa kwa siku 10 wakarudi zambia march 15 ambapo waliwekwa kalatini tokea tu airport walivyowasili mpk walipoanza onesha dalili wakapimwa wakakutwa wanao

Wakati Gambia ni mwanamke kutoka uingereza

Burkna Faso aliyekufa ni mwanamana mwenye umri wa miaka 62 ukiachana na corona tayari alikuwa mgonjwa wa kisukari ukimsumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…