Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Kasema WAPALESTINA, WAISRAIL NA WAMAREKANI, hakusema wakiristo na Waislam

Sent using Jamii Forums mobile app
40% ya wapalestina ni wakristo na tena hao ndio waangalizi na watunzaji wa makanisa huko jerusalem,sema wengi wetu tumeaminishwa kila mwarabu au kila anaeongea kiarabu ni muislam,lebanon kwa mfano ina wakristo wengi zaidi ya israel,lakini sidhani kama kuna mbongo anaweza kuamini!
 
Yeah umeongea point [emoji817]
40% ya wapalestina ni wakristo na tena hao ndio waangalizi na watunzaji wa makanisa huko jerusalem,sema wengi wetu tumeaminishwa kila mwarabu au kila anaeongea kiarabu ni muislam,lebanon kwa mfano ina wakristo wengi zaidi ya israel,lakini sidhani kama kuna mbongo anaweza kuamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
40% ya wapalestina ni wakristo na tena hao ndio waangalizi na watunzaji wa makanisa huko jerusalem,sema wengi wetu tumeaminishwa kila mwarabu au kila anaeongea kiarabu ni muislam,lebanon kwa mfano ina wakristo wengi zaidi ya israel,lakini sidhani kama kuna mbongo anaweza kuamini!
Angalia ulivyo muongo😆😆😆😆😆😆😆😆
IMG_20200509_201021.jpg
😬😬😬😬😆😆😆😆
IMG_20200509_201021.jpg
 
Vifo vilivyotokana na Corona katika mataifa ya Amerika na Palestina mpaka kufikia leo hii 09/May/2020, kama ifuatavyo.

MAREKANI:
Confirmed 1, 325, 519
Dead 78,762
Recovered 223,930


PALESTINA:
Confirmed 275
Dead 2
Recovered 228


ISRAEL:
Confirmed 16,444
Dead 245
Recovered 11,313


Inshaallah nitaendelea kuwaletea Updates

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mujahideeen
 
Maambukizi ya muda wote ya corona ya Afrika mpaka sasa ni sawa na maambukizi ya siku tatu tu ya Amerika. Pia vifo vya muda wote vya Afrika vya corona ni vichache kuliko vifo vya Wamarekani vya siku mbili tu!! Halafu bado watu wanaaminishwa kuwa Afrika tutakufa sana!!! Hatufi labda wafe wao!! Wazungu wanasubiri kwa shauku sana kuona vifo vingi vya corona vinatokea Afrika! Watasubiri sana!!!!
 
Kwa kifupi kabisa,watasema Afrika nzima inaficha matokeo,nam watasema Afrika inaficha matokeo.
Hili ni janga hebu kwanza tupambaneni nalo liishe halafu baadae tuje kuchanganya story.
 
Maajabu zaidi Tanzania wanaokufa kwa COVID-19 tunaopata taarifa zao kwenye habari ni "WAFANYAKAZI WA UMMA, NGAZI ZA JUU TU".

Wana wana habari wana misamiati yao hivi ameizing ya kufikisha ujumbe, kama vile "AMEUGUA KWA MUDA MFUPI" au "ALIBANWA NA KIFUA CHA GHAFLA TU". Raia tunajua "ENHE KUMEKUCHA".
 
Mada yako ingekuwa ya msaada sana kwetu wasomaji wako,ungetueleza pia ni watu wangapi wamepimwa kwa siku, na kati ya hao waliopimwa ni wangapi wamepatikana na ugonjwa. Hiyo ingeleta maana zaidi.

Hata hivyo naungana nawe kwamba hata kama ungetoa namba hizo huenda (kwa sababu sijui), bado namba zetu za wagonjwa zingekuwa ni pungufu zaidi ya wao.
Na kama ungekuwa mdadisi mzuri (sio lazima uwe mwanasayansi), ungekwenda mbele kidogo na kujiuliza sababu ya matokeo ha ni nini hasa?

Najua kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako, majibu yako yangekuwa kati ya haya ninayopendekeza hapa chini:
- umahiri wa viongozi wetu kwa kuweka mipango imara ya kuzuia huo ugonjwa..

- sisi Mungu anatupenda sana, hasa baada ya kuhimizwa na kiongozi wetu kusali kwa siku tatu

- sisi watu wetu hawafi kwa wingi kwa sababu huduma za afya zetu ni imara zaidi kuliko za kwao

- viongozi wetu wamegundua 'nyungu' na wakatuhimiza. Ni kinga imara kwa huu ugonjwa

- n.k, n.k.

Kwa hiyo, kutokana na yote haya ingekuwa ni upuuzi na kupoteza muda kusikiliza ngonjera za wataalam, hata wa hapa kwetu, na wale wa kimataifa kama WHO, na kufuata taratibu walizokuwa wanatushauri tuzifuate.

Sasa basi, kwa vile imethibitika kwamba sisi COVID-19 haitutishi kwa lolote, hata uchumi wetu hautaathirika kwa lolote, kwa maana sababu kubwa ya kuchukua hatua tulizochukua zilikua ni mapambano ya kuulinda uchumi wetu.

Ninayo mengi ya kuungana mkono na wewe, lakini ngoja tuachie hapa kwa sasa; huku nikijipiga kifua kwa furaha ya kuwaonyesha wazungu (bila shaka mabeberu), umahiri wetu mpya.
 
Back
Top Bottom