FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
- #761
Kama ikifikia tarehe hizo na bado hali ikiendelea hivi, sidhani kama kutakuwa na namna nyingine zaidi ya kusimamishwa kwa michuano hiyo.Sasa ikiendelea hivi Euro cup 2020 itakuwepo kweli?Achilia mbali michezo ya olympic.Maana sasa tunaelekea mwezi March na huyu VIRUS anaonekana hawezi kabisa kuwa contained.