Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Hakuna kisa kipya wala kifo USA? Kumbuka hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo, hao alliens uliwaona wapi?
Na je unauhakika gani kama alliens ni canivores?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya hewa ya Iran ipoje? Kuna joto huko maana ile nchi sehemu kubwa ni jangwa kitu kama hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
UPDATE: Oman imeripoti visa vya kwanza viwili (2) nchini humo. Wanawake wawili waliowasili nchini humo wakitokea nchini Iran.
na OMAN kuna joto kishezi bongo haioni ndani kiasi kila nyumba bila AC hamkai ndani
sasa nataka tuone ule nadharia kwenye joto havisurvive je ni kweli !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…