Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,600
Basi tushirikishe kile unachokifahamu wewe
stress zinaua watu taratibuMavi. Umeandika mavi.
Umekazania homework homework homework!!!
Naungana na Deception Hao Waliopona Wameponaje MKUU Wakati tuna ambiwa yakwamba virus havina dawa kwamaana inatakiwa ukipata maradhi husika ponayako nikufa tu No More...?!sio hiyo 98% tu .. jiulize ni magonjwa mangapi ya virus yaliyoko dunian ? tena mengine ni deadly kweli kweli ... Hakuna tiba hakuna nini lakini watu wanapona
home work, nenda kasome , utajua n kwa namna gani wataalamu wanakabiliana nayo , na pia utajua ni kwann hakuna dawa ya kirusi chochote kile
Sent using Jamii Forums mobile app
Same old stories given new names....
Mnakumbuka Swine na Birds flu?
Haya mambo yanahitaji mtu mfuatiliaji sana kung'amua ukweli ulivyo,maana ni mchanganyiko wa mambo mengi sana....wakubwa wa dunia wakitaka ku accelerate agenda zao fulani huwa wanatumia mbinu kama hizi danganyifu....
Hebu tujiulize,huo uhatari wa corona unatokea wapi kama kati ya watu 100 wanaoambukizwa wanakufa watu 2 tu,na tunaambiwa corona haina dawa wala kinga?
je,hao watu 98 kati ya 100 walioambukizwa corona wanaponaje wakati corona haina kinga wala tiba?
Zitendeeni haki akili zenu,nguvu ya MEDIA ni kubwa sana na imeshikiliwa na watu wakubwa sana duniani,wakitaka kuidanganya dunia kwa jambo lolote lile ili kutimiza malengo yao, its just a matter of seconds,watu karibu wote duniani wataamini.
Sasa hivi watu hawajiulizi kabisa,wanaongea tu kama misukule wakisema eti corona ni ugonjwa hatari sana,hii ndio nguvu ya media.
Death rate ya corona(tuchukulie ipo),ni just 2%...yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa watu 2 tu ndio hufa..
Je,mnajisahaulisha kwa makusudi kabisa kuhusu death rate ya malaria na magonjwa mengine halisi kabisa? Je,watu hawafi klwa malaria kila siku iendayo?
Idadi ya watu wafao kwa malaria na rate ya uambukizwaji wa malaria inafanana na corona?
Zitendeeni haki akili zenu.
Unaweza kuwa sahihi, ila ungefafanua zaidi ni kwanini watengeneze drama zinazo wadhuru watu wao?walioambukizwa ni 438,waliokufa ni 7;
Les do maths... 7/438 x 100=1.59 uki round off unapata 2%
Haya ndio ninayosema....yaani kati ya watu 100 wanaoambukizwa hufa 2 tu,keep in mind kwamba tumeambiwa corona haina kinga wala tiba.
Do you still buy huu upuuzi?Bado unasema corona ni hatari?
Hao watu 98 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?
Twende kwenye case hii halisi kulingana na data ulizotoa....
Hesabu za kutoa 438-7=431.... yaani kati ya watu 438 walioambukizwa wamekufa 7 tu,lakini wamepona watu 431...Je,hao watu wengi sana 431 wameponaje wakati corona haina kinga wala tiba?
Yaani watu 431 kati ya 438 wamepona halafu mijitu bado inang'ang'ania kwamba corona ni hatari sana...MEDIA ina nguvu sana.
Hivi watu wanasahau kwamba kipindi cha kubadili majira ya mwaka watu wengi sana huugua/huambukizwa magonjwa/homa zitokanazo na/kama malaria,mafua nk na wengi sana hufa kwa rate kubwa kuliko huu upuuzi wa corona?..au kwasababu hili halipewi nguvu ya media na wakubwa wa dunia?
Zitendeeni haki akili zenu.
Mkuu kuna baadhi ya watu linapokuja sualazima lamaslahi yaowao maadam wao hawadhuriki namaslahi yao hayatetereki basi kuuwa mtu ama watu hua kawaida sana haijalishi watuwawapi ikibidi hatawakwake watakufa tuuh.....Unaweza kuwa sahihi, ila ungefafanua zaidi ni kwanini watengeneze drama zinazo wadhuru watu wao?
Lengo la hiyo drama ni nini?
Nan muhusika mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uelewa wako uliwahi sikia kuwa UKIMWI ni ugonjwa au ni hali? na mtu mwenye ugonjwa au hali hiyo anapougua kinachotibiwa ni nini?Naungana na Deception Hao Waliopona Wameponaje MKUU Wakati tuna ambiwa yakwamba virus havina dawa kwamaana inatakiwa ukipata maradhi husika ponayako nikufa tu No More...?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafua yanasababishwa na nini?Baada ya kutambua kwamba hakuna kirusi chochote chenye dawa,then jiulize hiyo asilimia 98 ya walioambukizwa wanaponaje.
Itendee haki akili yako.Just take few minutes to think,usikimbilie kunijibu kwanza,just think about that.
Ukimwi Niugonjwa Nandio Maana Wagonjwa Wanatumia Dawa Ila Tuna Ambiwa Ukimwi Hauna Dawa Sawa Hauna Dawa Kwahio Dawa Tunazokula Kwaajili Ya Waathirika Zinamaana Ipi ?!.....Kwa uelewa wako uliwahi sikia kuwa UKIMWI ni ugonjwa au ni hali? na mtu mwenye ugonjwa au hali hiyo anapougua kinachotibiwa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
ukimwi hauna dawa zaidi ya kufubaza virusUkimwi Niugonjwa Nandio Maana Wagonjwa Wanatumia Dawa Ila Tuna Ambiwa Ukimwi Hauna Dawa Sawa Hauna Dawa Kwahio Dawa Tunazokula Kwaajili Ya Waathirika Zinamaana Ipi ?!.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila dawa kama zipo zakufubaza kwa dunia yasansi nateknolojia iliopo unahisi inadhindikana dawa ya kuua ama wanatuua kwamakusudi kutekeleza mipango na mikakati yao maallum
Ila muhimu nikwamba wanao tuuwa kwabahati mbaya amakwamakusudi nawao zao zaja.....New world order
Unaweza kuwa sahihi maana kuna conspiracy nyingi sana kuhusu hii dunia.Mkuu kuna baadhi ya watu linapokuja sualazima lamaslahi yaowao maadam wao hawadhuriki namaslahi yao hayatetereki basi kuuwa mtu ama watu hua kawaida sana haijalishi watuwawapi ikibidi hatawakwake watakufa tuuh.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kizuri kama ukiamua jifunza mkuu , upeo wako wa kufikiri usidhani dunia ndio imeishia hapo , siko kwenye mood ya kuandika ila nitaandika summary kwa uchache sana zikufungue kidogo , na ukitoka hapa ukasomeNaungana na Deception Hao Waliopona Wameponaje MKUU Wakati tuna ambiwa yakwamba virus havina dawa kwamaana inatakiwa ukipata maradhi husika ponayako nikufa tu No More...?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi tushirikishe kile unachokifahamu wewe
soma hiyo comment , utapata mwanga kias fulaniHakuna kitu kizuri kama ukiamua jifunza mkuu , upeo wako wa kufikiri usidhani dunia ndio imeishia hapo , siko kwenye mood ya kuandika ila nitaandika summary kwa uchache sana zikufungue kidogo , na ukitoka hapa ukasome
Kwamba hatuna dawa wala kinga ila mtu anaponaje ponaje , leo ukiugua ugonjwa wowote unaosababishwa na parasites, bakteria au worms au fangasi , unapata dawa hakuna shida .. ila upande wa virusi hua inatokea nini ??
naomba ieleweke kwanza hii ni virusi wote sio korona pekee ,sio jamii moja , virusii wote hakuna dawa, na hii husabishwa na sifa yao kuu , wanaishi mazingira yote , mfu na hai , lakn pia wana uwezo mkubwa sana wa kutengeneza resistance na mambo mengine kadhaa wa kadhaa (ukasome)
HUA KINAFANYIKA NINI SASA ENDAPO MWILI WAKO UKIVAMIWA NA VIRUSI
hua kuna counter measure zinatumika ..mfano , virusi kwa asilimia kubwa hua wanashambulia mifumo mbali mbali ya mwili , ambayo mwsho wa siku husababisha hiyo mifumo ifeli au wewe kupata magonjwa nyemelezi , so hua wanafanya nini
- Kwenye seli zako za mwili , ili ziweze pokea kitu chochote, iwe kirusi au bakteria lazima kuwepo mlango wa kuingia , milango hii huitwa receptors au protein, na kama unavyo faham , virusi hua vinafanya kazi vikiwa ndani ya seli , ..wataalamu wanacho fanya hapa , hua wanaua hizo receptors , ili kirusi kisiendelee kuvamia seli , so hapo seli zako tayari ziko salama, immune system yako inasalimika
pia , dawa ya kuwaua hatuna ila tunaweza wazuia wasiendelee ongezeka ndani ya mwili ...hatua nyingine hiyo
kuwaua hawawezi ila wanaweza wafubaza hivyo unawapunguzia uwezo wao wa kutenda kazi na kulela madhara
pia , vinanyimwa uwezo wa kuendelea kufanya madhara endapo wakitoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
..wanatibu magonjwa nyemelezi ambayo mara nyingi ndio yanayo ua watu kwasababu kirusi kishamaliza mfumo wa ulinzi wa mwili, na mambo mengine mengi mengi... preventive measure kibao huko nje
sehemu kubwa ya vita dhidi ya kirusi inategemea wewe mwenyewe immune system yako ikoje , kama ni imara , wakafanya counter measures hizo unapona
na mambo mengine mengi mengi tuuu , nadhan kwa kias fulan nimekufungua macho ni namna gani wana dili na ebola , corona na the likes na inakuaje watu wanapona , na hata kwa vile virusi vilisivyo pona , wanapambana kuvinyamazisha kwa mifumo hii hii , hadi vitulia tulii , unaishi miaka 20 unavyo .
anyway..endelea kuungana na huyo jamaa, mnadhani upeo wenu wa kufikiri ulipo ishia basi na dunia imeishia hapo hapo , muwe na siku njema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kizuri kama ukiamua jifunza mkuu , upeo wako wa kufikiri usidhani dunia ndio imeishia hapo , siko kwenye mood ya kuandika ila nitaandika summary kwa uchache sana zikufungue kidogo , na ukitoka hapa ukasome
Kwamba hatuna dawa wala kinga ila mtu anaponaje ponaje , leo ukiugua ugonjwa wowote unaosababishwa na parasites, bakteria au worms au fangasi , unapata dawa hakuna shida .. ila upande wa virusi hua inatokea nini ??
naomba ieleweke kwanza hii ni virusi wote sio korona pekee ,sio jamii moja , virusii wote hakuna dawa, na hii husabishwa na sifa yao kuu , wanaishi mazingira yote , mfu na hai , lakn pia wana uwezo mkubwa sana wa kutengeneza resistance na mambo mengine kadhaa wa kadhaa (ukasome)
HUA KINAFANYIKA NINI SASA ENDAPO MWILI WAKO UKIVAMIWA NA VIRUSI
hua kuna counter measure zinatumika ..mfano , virusi kwa asilimia kubwa hua wanashambulia mifumo mbali mbali ya mwili , ambayo mwsho wa siku husababisha hiyo mifumo ifeli au wewe kupata magonjwa nyemelezi , so hua wanafanya nini
- Kwenye seli zako za mwili , ili ziweze pokea kitu chochote, iwe kirusi au bakteria lazima kuwepo mlango wa kuingia , milango hii huitwa receptors au protein, na kama unavyo faham , virusi hua vinafanya kazi vikiwa ndani ya seli , ..wataalamu wanacho fanya hapa , hua wanaua hizo receptors , ili kirusi kisiendelee kuvamia seli , so hapo seli zako tayari ziko salama, immune system yako inasalimika
pia , dawa ya kuwaua hatuna ila tunaweza wazuia wasiendelee ongezeka ndani ya mwili ...hatua nyingine hiyo
kuwaua hawawezi ila wanaweza wafubaza hivyo unawapunguzia uwezo wao wa kutenda kazi na kulela madhara
pia , vinanyimwa uwezo wa kuendelea kufanya madhara endapo wakitoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine
..wanatibu magonjwa nyemelezi ambayo mara nyingi ndio yanayo ua watu kwasababu kirusi kishamaliza mfumo wa ulinzi wa mwili, na mambo mengine mengi mengi... preventive measure kibao huko nje
sehemu kubwa ya vita dhidi ya kirusi inategemea wewe mwenyewe immune system yako ikoje , kama ni imara , wakafanya counter measures hizo unapona
na mambo mengine mengi mengi tuuu , nadhan kwa kias fulan nimekufungua macho ni namna gani wana dili na ebola , corona na the likes na inakuaje watu wanapona , na hata kwa vile virusi vilisivyo pona , wanapambana kuvinyamazisha kwa mifumo hii hii , hadi vitulia tulii , unaishi miaka 20 unavyo .
anyway..endelea kuungana na huyo jamaa, mnadhani upeo wenu wa kufikiri ulipo ishia basi na dunia imeishia hapo hapo , muwe na siku njema
Sent using Jamii Forums mobile app