Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Sisi tunapokea tu, wajehuku sisi niwakarimu tunaubinadamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
MPYA: Korea Kusini imethibitisha visa vipya 242 sanjari na vifo vipya sita (6) nchini humo.

Hadi hivi sasa nchini Korea Kusini;
  • Visa 7,755 vimethibitishwa
  • Vifo 60 vimethibitishwa
  • 36 wako katika hali mbaya zaidi
  • 288 wamepata ahueni

hivi korea kusini na russia hili janga limewapita kushoto ama ndio wanasiasa wanaruhusu kutolewa kwa habari wanazozitaka wao tu?
 
UPDATE: China

Visa vipya 15 pamoja na vifo vipya 11 vimeripotiwa na Wizara ya afya ya nchi hiyo hivyo kufikisha jumla ya visa 80,793.

Wagonjwa wapatao 4,257 wako katika hali mbaya zaidi huku idadi ya waliopata ahueni ikifikia 62,793.

Idadi ya vifo nchini humo vinavyohusishwa na ugonjwa wa virusi vya Corona (COVID-19) imefikia 3,169 hadi hivi sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…