Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

halafu mkuu nikifatilia update zako wanaokufa asilimia kubwa wengi ni umri kuanzia miaka 60 kwenda mbele au hujagundua hilo mkuu
ina maana km hvyo wazee wanashindwa kupambana nao unawaathili zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli, watu wenye umri mkubwa wamekuwa na kiwango kikubwa cha vifo (fatality rate) na hilo ni kutokana na sababu mbalimbali isitoshe watu wenye umri mdogo sana pia wametajwa kati ya watu walioko hatarini zaidi.

Sababu nyingineyo, uwepo wa magonjwa mengineyo kwa baadhi ya makundi ya watu yanaweza kusababisha makundi hayo kuathirika zaidi na virusi vya Corona.

Pia, utofauti wa kimwili kati ya makundi ya watu kadha wa kadha kunaweza kuchochea jinsi gani mwili unavyoweza kukabiliana na aina fulani ya magonjwa. Hili linaweza kuchangia pia baadhi ya watu kuwa "Super-spreaders".

Licha ya hivyo, bado pia kuna uwezekano wa kiasilia wa makundi ya watu wenye umri tofauti tofauti kupata athari ama kupoteza maisha kutokana na virusi hivyo ila tu kuna baadhi ya makundi ya watu ambayo yanatajwa kuwa hatarini zaidi.
 
UPDATE: Israel imethibitisha kisa cha pili cha virusi vya Corona kutoka katika meli ya Diamond Princess.
 
UPDATE: Korea Kusini

Wanajeshi takribani 11 wa jeshi la nchi hiyo wamebainika kuwa na virusi vya Corona huku 7700 wakiwekwa karantini.
 
BREAKING: Korea Kusini imeripoti visa vipya 161 pamoja na kifo kipya kimoja (1). Jumla hadi sasa ni visa 763 na vifo saba (7).
 
UPDATE: 129 of the 161 new coronavirus cases in South Korea are related to the Shincheonji Church in Daegu.

President Moon Jae-in plans to hold a roundtable meeting with a group of infectious disease experts Monday on how to counter the rapid spread of the COVID-19 virus in South Korea.
 
NEWS ALERT: World reaches coronavirus 'tipping point': Time 'is running out to stop the pandemic', experts warn. [Daily Mail]
 
Ni saa takribani nne zimepita tokea ambapo Hubei ilipaswa kutoa ripoti yake ya siku huku pia ripoti ya Wizara ya afya ya China ikichelewa pia kwa saa zaidi ya mbili hadi sasa.

Tuendelee kusubiri!
 
UPDATE: Mpaka sasa ni visa 79,558 huku idadi ya vifo ikiwa ni 2,619 ulimwenguni kwa mujibu wa takwimu rasmi.

There are currently 79,558 confirmed cases worldwide, including 2,619 fatalities according to official numbers.
 
UPDATE: In the next two weeks, South Korea will test 37,000 people for the coronavirus: 28,000 people with cold symptoms plus 9,000 members of the Shincheonji Daegu church.
 
UPDATE: Mainland China
  • 77,345 cases so far
  • 2,592 deaths so far
  • 11,477 serious condition
  • 22,401 recovered
  • 5,365 suspected
 
Back
Top Bottom