Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

Fahamu kiundani kabila la Wapare na Wanawake wa kipare

Wapare kwa ubahili hawajambo lakini wanataka waonekane wanaishi vizuri, anaweza kununua mchele nusu akaula Mwezi mzima! Yes kivipi, yaani anatoka nje na mchele wake anaupeta watu wamuone šŸ˜† akiingia ndani anasonga ugali na samaki viperege🤣 pia wanamboga yao ya majani yanayokaushwa yanasagwa kuwa unga, anyway ni moja ya experience niliokutana nayo miaka miwili na ushee nikiwa pale Same Secondary.
 
Kwa ukanda wa kaskazini Wapare tunaongoza kwa kujali familiĆ , kihisia, kiroho, kimwili na kiakili.
Tofauti na ndugu zetu Wachagga wao wapo mahiri zaidi kwenye huduma za Kimwili (kiuchumi).
šŸ¤”šŸ¤”šŸ¤”šŸ¤”šŸ¤”Ngoja nifikirie
 
Ni washirikina sijawahi ona,nilioa mwanamke wa kipare cha moto nimekiona,nimempa talaka lakini bado kaning'ang'ania tu mwange yule.
Ni wachawi sana wanatisha halafu wanasikitisha, nilipanga nyumba ya mmama mmoja hivi jamani alifunga njia za kupata hela , alikuwa analeta mapaka pale unapotarajia hela, kuolewa au jema lolote usiku anakuletea mizimu ya kwao wanakupigisha shoo hadi asubuhi . Mwanzoni sikuamini ila baada ya hali yangu kuzorota kiuchumi na kimahusiano niliachana na maisha ya kuishi kwake nikahamia kwingine.

Analeta pia majini yake kwa njia ya mijusi , mapaka bado mizimu ya kwao wanakuchezea hadi asubuhi.

So fukuza huyo mshenzi maana atakuulia ndugu zako hata wewe mwenyewe kaa mbali .
 
Ni wachawi sana wanatisha halafu wanasikitisha, nilipanga nyumba ya mmama mmoja hivi jamani alifunga njia za kupata hela , alikuwa analeta mapaka pale unapotarajia hela, kuolewa au jema lolote usiku anakuletea mizimu ya kwao wanakupigisha shoo hadi asubuhi . Mwanzoni sikuamini ila baada ya hali yangu kuzorota kiuchumi na kimahusiano niliachana na maisha ya kuishi kwake nikahamia kwingine.

Analeta pia majini yake kwa njia ya mijusi , mapaka bado mizimu ya kwao wanakuchezea hadi asubuhi.

So fukuza huyo mshenzi maana atakuulia ndugu zako hata wewe mwenyewe kaa mbali .
Eeeeeh ndio hivyo tena?
 
Wana sura nzuri sana,Wana rangi nzuri,Wana akili na wanapenda kusoma tatizo ni kuendekeza ubahili na kupenda makande.
Aisee kuna kamoja Halima kalikua katamu sana,mungu akape maua yake.
Tulikua tunagaragazana kuanzia kwenye michongoma mpk kufika home kwake hoi,home mwanamke anapiga makelele "mamaa nakufaa,mamaa weeh" majirani wanakuja kugonga mlango wanafkiri kuna mtu anauliwa
kumbe anakula fimbu.
demu ndo kwanza anawaambia niacheni nife kwa raha zangu🤣🤣🤣.
Halima sikusahau,sikumbuki hata tuliachana vipi
Ubahili wa papuchi aisee hakua nao
 
Wapare kwa ubahili hawajambo lakini wanataka waonekane wanaishi vizuri, anaweza kununua mchele nusu akaula Mwezi mzima! Yes kivipi, yaani anatoka nje na mchele wake anaupeta watu wamuone šŸ˜† akiingia ndani anasonga ugali na samaki viperege🤣 pia wanamboga yao ya majani yanayokaushwa yanasagwa kuwa unga, anyway ni moja ya experience niliokutana nayo miaka miwili na ushee nikiwa pale Same Secondary.
Maisha yamebadilika sana sikuhizi. Wapare waliostaarabika mbona wapo wengi tu. Hio mifano mnatolea ya Ma Layman huko Ndungu ni ya kizamani sana
 
Back
Top Bottom