Hahahahahah Unakuta aliepost hivi ni mkinga au Muha ambako mpaka serikali imeamua kuingilia kati maana ni mzozo. π€£Ni washirikina sijawahi ona,nilioa mwanamke wa kipare cha moto nimekiona,nimempa talaka lakini bado kaning'ang'ania tu mwange yule.
Kweli ila wengi wao bado ni wale wale, Mpare anaenda hotelin anauliza chips shingap wanamwambia 5000, anauliza na kachumbari je wakimwambia kachumbari ni bure, unasikia nipe tu hiyo kachumbari chips ntawachangia nikipata hela!!Maisha yamebadilika sana sikuhizi. Wapare waliostaarabika mbona wapo wengi tu. Hio mifano mnatolea ya Ma Layman huko Ndungu ni ya kizamani sana
1. Mkwizu/Mshana/Msangi anakuja home unadhani shemeji kumbe mnachangia K ya mkeo bila kujua. Pia, ni wachoyo wa kusaidia ndugu wa mume (hata vitu basic tu ikiwemo chakula).Watamu japo Malaya
Duh pole sana mkuuNi ukweli halafu ukipata hata kodi yake anachukia nakukuliza umepatahe hiyo kodi , halafu ukiwahi kumpa hakupendi kabisa jingine anakera sana , anapenda uwe na maisha ya chini ukila vizuri anachukia sana
Hahaha fix hiziπKweli ila wengi wao bado ni wale wale, Mpare anaenda hotelin anauliza chips shingap wanamwambia 5000, anauliza na kachumbari je wakimwambia kachumbari ni bure, unasikia nipe tu hiyo kachumbari chips ntawachangia nikipata hela!!
Asante eti wewe ni mmpare??Duh pole sana mkuu
Mi msukuma mkuuAsante eti wewe ni mmpare??
Wanawezana sana wakioana wenyewe kwa wenyewe. Mtu wa nje ya kabila Hilo utapata changamoto sana.Kwaio unataka kusema nikitaka kuoa nirudi upareni sio??
Wengi Wana roho mbaya pia wanafiki. Hawapendi kuona mwingine kafanikiwa hapo ndo suala la uchawi linaibukaMi binafsi katika wapare ambao nishakutana nao na kuishi nao sijawahi kuona mpare mwenye roho nzuri SIJAWAHI
Basi ni watu hatari sanaNi ukweli halafu ukipata hata kodi yake anachukia nakukuliza umepatahe hiyo kodi , halafu ukiwahi kumpa hakupendi kabisa jingine anakera sana , anapenda uwe na maisha ya chini ukila vizuri anachukia sana
π€π€π€π€π€Ngoja nifikirie
Niolewe na wapare mara mbili?Kama unataka kujaliwa olewa na mpare. Kama unataka uchumi mzuri lakini hakuna mapenzi olewa na mchaga. π
Kwakweli π€£ kuna siku nlikua napiga story na mdada ananisimulia rafiki ake anavomfanyia mambo meusi mengi mengi wamehamishiwa dom rafiki ake kishatangulia na kapata nyumba ameseto, ila anamuuliza mwenzie sa ukifika huku utafikia wapi? Nkamuuliza huyo rafiki ako ni mpare??? Akasema ndioπHahahahah basi una bahati mbaya sana aisee.
π§π π¨π£π π°ππ£πWamama wa kipare hawaoni shida kudinyana na vijana wadogo
Wale wa same Boyz watakuja kuthibitisha
Niolewe na wapare mara mbili?
πππ Msukuma wa mjini, hawa watu wengi nlikutana nao advance aisee wanasoma sio powa wengi walikua wanataka kwenda medical doctor na walienda......sisi kina 'arifu vipi' tukawa mawingaMi msukuma mkuu