Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

sasa boss hapa duniani kuna bishara yenye faida ya haraka zaidi ya madawa....dont be so persimist mwache jamaa ajaribu


Nami sijakataza asifanye ila aingie huko akiwa na hizo A, B, C za changamoto na aangalie vile atazizuia.
 
Umewahi fanya hiyo biashara au unafata tu maneno ya vijiweni? Kwahiyo hao customer care ndiyo wanakuibiwa hiyo commision au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi fanya hiyo biashara au unafata tu maneno ya vijiweni? Kwahiyo hao customer care ndiyo wanakuibiwa hiyo commision au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nawe ni customer care, wewe ni jambazi tu. Mm ni wakala ambaye kila mara tunasumbuana na hawa RAIA...kwahiyo jizi ni jizi tu...njoo nikuuzie laini acha porojo hapa jukwaani
 
Kama nawe ni customer care, wewe ni jambazi tu. Mm ni wakala ambaye kila mara tunasumbuana na hawa RAIA...kwahiyo jizi ni jizi tu...njoo nikuuzie laini acha porojo hapa jukwaani
Unasumbuana nao kivipi? Mbona unashindwa kunyoosha maelezo...sina haja na line za kuokoteza mitaani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasumbuana nao kivipi? Mbona unashindwa kunyoosha maelezo...sina haja na line za kuokoteza mitaani!

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifunza kuzungumza, majizi sana nyie "km na wewe ni customer care". Naona povu linakutoka unatetea mtandao wako wa kijambazi. Ni wezi sana na hiyo ni njia moja tu ambayo mmeanza kugundulika, bado zingine zitashupaliwa hadi kukomesha uizi mnaofanyia mawakala
 
Unaibiwaje mkuu, mbona unarukaruka....
Kwa manufaa ya wengine ebu sema customer care wanakuibia vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaibiwaje mkuu, mbona unarukaruka....
Kwa manufaa ya wengine ebu sema customer care wanakuibia vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii biashara mkuu haihitaji hasira, hawa wahudumu ndio ambao wanawakandamiza RAIA..uizi wao kwa mawakala ni hivi;
1. Comission wanayotoa haiendani na miamala unayoifanya kwa mwezi.....hadi mvutane vutane

2. Unaweza tumiwa Ujumbe wa malipo ya comission lakini pesa yenyewe hawaitumi. Kwahiyo usipoangalia salio inakuwa imekula kkwako

3. Watu wengi sana hukupigia simu na kujitambulisha kwamba wanapiga simu toka makao makuu aidha vodacom/Tigo, hapa kuna njia nyingi za kuibia endapo hutowagundua mapema

4..hawa watoa Huduma hupeana namba ya simu ya kwako (Wakala), wanapanga namna ya kukuibia ila watawapa watu wengine namba ili wawasiliane na wewe...kwa malengo ya kukutapeli
 
Nondo kali

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asante mkuu,
Nami nilijifunza humu jf .

Japo, hiyo biashara pana baadhi ya wamiliki imewatoa lakini nasikia hawatoi siri jinsi walivyofanya.

Mfano, nimesikia wanacheza fault na wale watu wa mauzo ili wawaongezee camission wengine wanaiba salio kutoka ofisi za Simu direct.

Hiyo ya kuiba salio la pesa wanafanya kama ilivyokuwa wizi wa vocha katika miaka ya 1990's 2000's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…