sasa boss hapa duniani kuna bishara yenye faida ya haraka zaidi ya madawa....dont be so persimist mwache jamaa ajaribu
Kama bado hajakuuzia, naomba nikuuzie yangu ina digit tano tu, (Tshs 200,000/=)... Njoo huku 255621046332Niuzie mimi 0658380898
Umewahi fanya hiyo biashara au unafata tu maneno ya vijiweni? Kwahiyo hao customer care ndiyo wanakuibiwa hiyo commision au?Na hako ka commission lazima wamkate VAT... Watumishi wa voda ni wezi kuliko wa mitandao mingine, voda customer care ni majambazi kuzidi hata Acacia.
Akumbuke asiingie hiyo biashara endapo ana matarajio makubwa...anaweza akawa anazungusha laki 8... Lakini kwa mwezi mzima akaambulia elfu 20 kama commission yake...kwahiyo azingatie sana aisee!. Bora awekeze kwenye hisa tu
Nataka mabandiko hata kwa kununua tuKama bado hajakuuzia, naomba nikuuzie yangu ina digit tano tu, (Tshs 200,000/=)... Njoo huku 255621046332
Kama nawe ni customer care, wewe ni jambazi tu. Mm ni wakala ambaye kila mara tunasumbuana na hawa RAIA...kwahiyo jizi ni jizi tu...njoo nikuuzie laini acha porojo hapa jukwaaniUmewahi fanya hiyo biashara au unafata tu maneno ya vijiweni? Kwahiyo hao customer care ndiyo wanakuibiwa hiyo commision au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasumbuana nao kivipi? Mbona unashindwa kunyoosha maelezo...sina haja na line za kuokoteza mitaani!Kama nawe ni customer care, wewe ni jambazi tu. Mm ni wakala ambaye kila mara tunasumbuana na hawa RAIA...kwahiyo jizi ni jizi tu...njoo nikuuzie laini acha porojo hapa jukwaani
Unajifunza kuzungumza, majizi sana nyie "km na wewe ni customer care". Naona povu linakutoka unatetea mtandao wako wa kijambazi. Ni wezi sana na hiyo ni njia moja tu ambayo mmeanza kugundulika, bado zingine zitashupaliwa hadi kukomesha uizi mnaofanyia mawakalaUnasumbuana nao kivipi? Mbona unashindwa kunyoosha maelezo...sina haja na line za kuokoteza mitaani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaibiwaje mkuu, mbona unarukaruka....Unajifunza kuzungumza, majizi sana nyie "km na wewe ni customer care". Naona povu linakutoka unatetea mtandao wako wa kijambazi. Ni wezi sana na hiyo ni njia moja tu ambayo mmeanza kugundulika, bado zingine zitashupaliwa hadi kukomesha uizi mnaofanyia mawakala
Hii biashara mkuu haihitaji hasira, hawa wahudumu ndio ambao wanawakandamiza RAIA..uizi wao kwa mawakala ni hivi;Unaibiwaje mkuu, mbona unarukaruka....
Kwa manufaa ya wengine ebu sema customer care wanakuibia vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina la nani
Sawa boss, mi nahitaji kwa jina langu
Nondo kaliKwanza
Mfanyakazi atakuoiga kama siyo wewe mwenyewe unayehamishia wateja pesa. Wafanyakazi wanasajili line wanakuwa wanatoa hudumu wewe line yako haifanyi kazi kabisa.
Pili,
Makapuni ya Simu wanakuibia ile Commission, hawakupi kama ukivyotakiwa kupewa.
Tatu,
Unakaribisha panya road na mbwa mwitu maana, wanasasambua sana humo kwenye vibanda hasa huku dar nasikia ni kawaida.
Nne,
Faida yake nasikia siyo kubwa kiviile, yaani usitarajie miujiza ya kipato kupitia hiyo biashara faida yake siyo kubwa na hasa ukirejea namba hizo juu zote zinasababisha faida kuwa ndogo.
Tano,
Kama una pesa ya mawazo na hesabu Kali. Usitarajie faida ndani ya siku au wiki ni uwekezaji unaohitaji mtu mvumilivu na aliye na vyanzo vinginevyo vya mapato.
Wengine watakuongezea mambo mengine maana, nami hayo yote nimeyasoma umu humu JF kuhusu uwekezaji.
Nikutakie uwekezaji mwema.