Hakuna wa kupaniki ila nashangaa unavyokazana kumvunja moyo.Mbona umepanic!.kwahiyo umetoka kwenye mtaji wa laki 5 umehamia laki 8 saizi.
Sijakata tamaa na hapa nipo kwenye biashara hiyo muda huu naziuza ni mpya niliomba mwezi wa kwanza ndo nmepewa leo yaan zipo mpya hata kwenye simu hazijawekwa. Na atakaenunua ndo atazitoa kweny vibati vyake na kuanza kuzitumia hivyo elewa sijafunga business natumia nlizonunua kwa watu kabla sijapata zangu.
Mtaji wa 500,000 hauwez mpa faida ya laki 6 kwa mwezi hata afanyaje
OK nitafutie wateja huko nauza till zote NNE zina jina moja ili niongeze mtaji. Ni mpya kabisa hazijawahi tumika yaan yeye mnunuzi ndo anakuwa wa kuzivunja toka kwenye vibati na kubadili passwordHakuna wa kupaniki ila nashangaa unavyokazana kumvunja moyo.
Nafikiri mleta mada ana akili timamu atachagua mbivu na mbichi.
Kwa leo naishia hapa
Bodaboda utalia kilio cha mbwa kokoBora uongeze pesa kidogo ununue badaboda,
Kuweka au kutoa?Halafu mkuu miamala mikubwa inamaliza float tu haina faida kabisa
koteKuweka au kutoa?
Mkuu kwenye makampuni we umezipata kwa sh ngapiHakuna changamoto pia sio kwamba nafunga business, ni kwamba nlinunua till kwa mtu ndio nafanyia kazi hizi nazouza nilipeleka maombi kwa makampuni husika toka tarehe 7/1/2018 ndo nmepewa leo. Naziuza ni mpya kabisa
Ya mpesa ukifika laki na mabango na kitabu utanistuaOK nitafutie wateja huko nauza till zote NNE zina jina moja ili niongeze mtaji. Ni mpya kabisa hazijawahi tumika yaan yeye mnunuzi ndo anakuwa wa kuzivunja toka kwenye vibati na kubadili password
Mpesa laki haiwezi fika mkuuYa mpesa ukifika laki na mabango na kitabu utanistua
Nipangie bei yako Mkuu ila iwe reasonable kimtindoMpesa laki haiwezi fika mkuu
Upo wapi?Nipangie bei yako Mkuu ila iwe reasonable kimtindo
Nipo Dsm hapa mbagalaUpo wapi?
Ok nakuja PMNipo Dsm hapa mbagala
Karibu mkuuOk nakuja PM
Mkuu mtaji sio tatizo mi huwa najua mzunguko wa kibiashara ndio faidaSawa sawa, kwa mtaji huo wa 1.5?
Mkuu Wateja wengi tulio nao huwa wanatoa na kuweka kiasi kidogo sanaMkuu utafanyaje muamala wa 2milions wakat una mtaji wa 500,000?. Si utamwambia mteja sina cash au sina float ili aende kwa mwingine?. Kuwa reality mtaji una umuhim sana ili ufanye miamala mingi otherwise utasubir wa 50,000 au 20,000 akija wa million huwez muhudumia
Ningekua na mtaji wa mtoa mada wallah ningejilipua sehemu smart kabisaMkuu mtaji sio tatizo mi huwa najua mzunguko wa kibiashara ndio faida
Mkuu asante kwa kumtia moyo mleta uziMtaji kwakweli mm kwangu ilikua mil 1 kila line kasoro airtel laki3
kwahiyo laki5 naweka kwenye simu laki5 cash
ina maana ilikua mtaji mil2.5
hapo line zishanunuliwa
ila mkuu mm binafsi niliikuta biashara imeshafika huko.. kwahiyo kama hio mil1.5 ni mtaji tu inatosha sana tu. utapanda kidogo kidogo