Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Hii biashara ni nzur sana ukiwa sehemu nzuri yenye watu wengi,ukiwa na mtaji hata wa mil1 ukizungusha vzr huwezi kukosa laki4 na kuendelea kwa mwezi cha msingi uwe na wateja tuu,ishu sio mtaji mkubwa unaweza ukawa na mtaji mkubwa lkn sehemu uliopo haina wateja wengi utaishia kupata laki1.
 
Na hapo kwenye luku faida yake ikoje?
Hii biashara cha msingi ni location nzuri,ambayo ina movement ya watu, ukiwa na uwezo wa kuhudumia watu si chini ya 50 kwa siku una uhakika wa kupata commision kwa line moja,mfano tigo si chini ya 800000. Upande wa luku nayo ni hivi hivo,ukifanya miamala mingi ya kuuza units mwisho wa mwezi commision inakuwa kubwa
 
Hii biashara iko vizuri sana, mimi mwenyewe ndo kazi yangu, aisee iko vizuri mno,.
 
Hii biashara kumbe ni yakipuuz hiv unacheza na pesa ming kumbe faida kidogo? Nilkuwa naifanyia mpango nianze hebu waliopo kwenye biashara hii endeleen kutujuza
Mi naisi wengi tulikua na ii mipango nilikua nafikiri those mawakala wanapata profit ya kutosha ndomana kila hatua mbili wakala kumbeeeee loooooh
 
shida ya hii biashara pia ni mabukula,nishashuhudia washkaji wangu kama wa3 wakimalizwa mitaji yao na mabukula,yaani mtu anaweka milioni 2 kny account yake,anampa wakala hzo pesa,kesho yake asubuhi hazikuti hizo hela na transaction imeshafanyika,sa si uhanith huu
 
biashara ya uwakala wq tigo pesa, mpesa, airtell money nk inahitaji mtaji wa kiasi gani?
faida yake ikoje katika kila uwakala kwa mfano tigo pesa pekee kwa mwezi inaweza kuwa na faida gani?
 
mada nzuri,ingawa ishawahi jadiliwa hapa jf.lakini kwa kuwa kila zama zina mambo yake ngoja waje wadau wa biashara hizo ili watoe mwanga.
 
Sidhani kama hapo ni kujiajiri. Nionavyo mimi ni kwamba umeajiriwa na Zain (ZAP), Vodafone (M-PESA) na Tigo (TIGO-PESA)
Huyo ni mtu mwenye biashara huru km vile kuuza duka, pale unapo weka bidhaa za baharesa, je hapo umeajiriwa na bahresa?
Muajiriwa ni mtu ambae anapangiwa muda wa kufanyakazi pamoja na malipo, hapo upo huru kufungua na kufunga ofisi yako muda uutakao. Ndg kujiajiri haimaanishi kuanzisha biashara yako pekeyako bila ya mwingiliano na wafanyabiashara wengine.
 
Nilikuwa naitafuta sana kujua
 
Daah napata kigugumizi aisee maana majibu yanachanganya kwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…